Willibrod Slaa amkacha Tido Mhando

Willibrod Slaa amkacha Tido Mhando

Status
Not open for further replies.
Sasa nazidi kuelewa zaidi ni kwa nini Watanzania wana hali mbaya hivyo. Ni watu wanaodanganyika kirahisi mno. Hapa tayari wako watu wengi wamedhani ni kweli Dr Slaa amemkacha Tido Mhando.

Vile vile, ni Tanzania tu ndiyo yenye watu wanaoweza kudhani kwamba kikundi cha watu walioachishwa uongozi kwa sababu za kupokea rushwa na wizi kitakuwa ndio mkombozi wao.
 
Ameanza kufyatua matofali ya kujengea shule,kapiga bukta NA chepeo mkononi anachanganya mchanga
 
Kipindi kemehairishwa kutokana na sababu za kiitelejensia baada kuchambua mahojiano husika na kuona padri kachemsha. .big time !!
 
Sasa nazidi kuelewa zaidi ni kwa nini Watanzania wana hali mbaya hivyo. Ni watu wanaodanganyika kirahisi mno. Hapa tayari wako watu wengi wamedhani ni kweli Dr Slaa amemkacha Tido Mhando.

Vile vile, ni Tanzania tu ndiyo yenye watu wanaoweza kudhani kwamba kikundi cha watu walioachishwa uongozi kwa sababu za kupokea rushwa na wizi kitakuwa ndio mkombozi wao.

Mwenzetu tujuze kwa hakutokea?
 
Sasa nazidi kuelewa zaidi ni kwa nini Watanzania wana hali mbaya hivyo. Ni watu wanaodanganyika kirahisi mno. Hapa tayari wako watu wengi wamedhani ni kweli Dr Slaa amemkacha Tido Mhando.

Vile vile, ni Tanzania tu ndiyo yenye watu wanaoweza kudhani kwamba kikundi cha watu walioachishwa uongozi kwa sababu za kupokea rushwa na wizi kitakuwa ndio mkombozi wao.

Mwl. Unapambana na matokeo, hapo hutafanikiwa. Pambana na kisababishi...Ccm.
 
Haisaidii unakwenda medical school kwa miaka mitano shule ngumu, unashidwa kwenda intern mwaka mmoja..alafu unakosa cheti cha kupractice, haina maana hata kidogo na watanzania wngi ndo tulivyo, papara, mihemko na tamaa tunakua na maisha nusu nusu
Irrelevant example ,poor MD
 
Tido ni kichwa sio kama vijamaa vya star tv.

Dr.mihogo keshapoteza dira......tulipomshabikia alidhani tunamshabikia yeye kumbe chama cha cdm alipo susia chama akadhani tutamfata kumbe ni delila mshumbuzi ndo pekee atamfata

bora akawe mjasiriamali atuuzie na sisi mihogo...haaaahaaaa slaa kadoda ,kachacha,kachina n.k


viva ukawa
 
Swali lingine la msingi kwa nini Dr. Slaa wakati amerekodi kipindi siku ya Alhamis na clipp ya Tido na Dr. Slaa kutumika kwenye taarifa ya habari ya siku hiyo na kuulizwa swali je ni nani aliyelipia bill ya matangazo yake pale Serena. Majibu yake ni kuwa kwa nini hakuulizwa alipokwenda mara mbili USA na chama kilimpa 500,000? Kama hapo hatukumuuliza na alikaa mwezi mzima iweje leo tumuulize nani aliyelipia matangazo pale Serena?? Jibu alilohitimisha ni marafiki zake ambao ni hao watu wa TISS wanaomlinda!!

Lakini kabla kipindi hicho hakijarushwa hewani akaenda Star TV ya kada wa CCM na kuulizwa maswali nyanya ambayo nayo alishindwa kujibu na kuzidi kujichanganya.

Kwa maoni yangu, nadhani AZAM wamepigwa mkwara au wameamua kwa makusudi kumhurumia Dr. Slaa kutokana na jinsi ambavyo watu wangepokea majibu yake ya kipindi hicho ambacho lingekuwa ni jiwe lake la mwisho katika kaburi lake.

Pia ni ushauri mkubwa kwa Dr. Slaa, umeitesa sana CCM kwa hiyo CCM katika kukutumia kwako watahakikisha unakuwa huna maana kote kote, kwao kwa sababu watakuwa wanajua haumini tena na CDM hutaaminika maana hukuweka hata akiba ukidhani kazi uliyopewa imekwisha kumbe kama ni risasi ime missfire.
 
Habari nilizopewa kutoka Azam media ni kwamba aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Wilbrod Slaa ameshindwa kufika ndani ya studio za Azam media bila kuwepo kwa taarifa yoyote kutoka kwake.

Kuna jambo lipo nyuma ya pazia. Soon litajulikana.

Mihogo imeiva atakua amendakula mpaka kavimbiwa na atakua kasinzia dr.mihogo na mshumbuzi kasahau kumuamsha
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom