Willibrod Slaa amkacha Tido Mhando

Willibrod Slaa amkacha Tido Mhando

Status
Not open for further replies.
Nyie watu bana, huenda ikawa hii ni dhambi ya CCM kuwapa elimu isiyowasaidia. Mnakuwa ni watu wa kuropoka hovyo na kuelekea kule wakubwa zenu wanawaamrisha!!!
Asubuhi napitia comment nyingi baada ya taarifa kuwa Slaa atakuwa Azam tv, watu mnaonesha kutopenda hicho kitendo na kudai mnapuuza hicho kitendo na hamtakiangalia kwa sababu mnajua ni CCM ndio wamelipia kipindi.
Sasa hivi mmepata taarifa za kipindi kutorushwa mnaonesha mlikisubiri kwa hamu maana mlijua Slaa angekabwa maswali na Tido!!
Hii akili huipati popote isipokuwa kwa watu wanaojidanganya wanaweza kuchambua vitu, bila kufahamu kuwa hawawezi na hawatoi nafasi ya kuoneshwa kuwa hawawezi.
Kipindi ni recorded na kuna watu walileta taarifa ya kuona vipande vya hayo mahojiano vilivuja, sasa kutorushwa kwake inatakiwa tuwaulize Azam ni nani anahusika, je ni CCM wameona yana Athari kwao ama UKAWA kuna point zimekuwa nzito kwao ama AZAM wameona mahojiano yamekiuka maadili?!!

Tulia wewe mbona unatetemeka na kukosa mwelekeo?
 
Slaa angemtafuta Polepole waende Chanel10 wakafanye yao kwa raha zao. kule hata Mkinga atampashavu dr
 
Hawezi maswali ya kiintelijensia ya tido. Ilikuwa aadhirike vibaya!
 
Kwani watu hawaelewi kwamba Dr Slaa analindwa na TISS na anaishi Serena hotel (sijui nani analipa bill)?
 
Slaa atazungumza chanel ten na star tv
Hawezi kwenda kwa tido mhando, maana pale atapigwa hardtalk anaweza kuZirai mana kuna maswali madogo madogo lakini ya msingi kama
1.ulisema unashindia mihogo umepata wapi hela ya kuitisha mkutano unakadiriwa kuwa na gharama ya milioni 300? Mchumba amesema mtajenga mashule nk je mla mihogo anaweza miliki shule?
2.ufisadi wa ccm umeanzia richmond na kuishia richmond tu.?
3.list of shame ilikuwa na majina mengi vipi kuhusu majina mengine utayazungumzia lini maana nao wanagombea na kufanya kampeni kama chenge nk
4.kwa nini mnataka tuamini umaskini wa tanzania umesababishwa na mtu mmoja tu, yaani lowasa
ccm imesababisha hali mbaya ya uchumi, elimu duni, afya mbovu nk unataka tuamini lowasa ndo kasababisha yote haya..?
mengine ya kiuchonganishi
5.bado unaamini ccm ni wezi wa kura..?! Maana mwaka 2010 ulikataa matokeo ukilalamika ccm walikuibia ushindi bado unaamini ccm ni wezi, je unawashauri nini ukawa safari hii.?
yaani slaa angenikuta mimi hapo studio, angetoka baruti, ila bora kamhepa tido maana kazi aliyotumwa ingekuwa ngumu sana

Ulivyo nyumbu unaona hayo maswali ni ya msingi,TIDO hawezi kujidhalilisha hivyo kwa kuuliza maswali ya kipumbavu hivyo
 
Nasikia kule home kwake li-Mushumbusi limeloweka nguo zake kwenye maji ili asitoke, hivyo mpaka dakika hii tunapogonga keyboard hapa JF babu yuko kwenye taulo.
 
"CCM mkitaka #KURA yangu semeni ukweli nani anahusika na hizi tuhuma? na wahusika wamechukuliwa hatua gani?
-Katiba pendekezwa nani aliyaondoa maoni ya wananchi ambayo yalikuwepo kwenye rasimu ya Warioba?
-Mabehewa feki
-Kiwira
-Richmond
-Epa
-Escrow
-Epa
-Dowans
-IPTL
-NET GROUP SOLUTIONS
-Usafirishaji wa wanyama nje ya nchi mfano twiga alipandaje ndege?
-Biashara ya pembe za ndovu
-Biashara ya madawa ya kulevya
-Meremeta
-Mikataba ya gesi na mafuta
-Uuzwaji wa nyumba za serikali
Nahitaji majibu ya hayo maswali siyo porojo tuuuuu.Ccm Slaa anaimaliza, mtakuja kulaumiana kwa sababu ya Huyu SLAA.
 
Kama mpaka wanao wa kuwazaa wanakuona baba yao hufai na huna faida yoyote juu yao itakua sisi wananchi wa kawaida?Lea kwanza familia yako hapo tutakuelewa.
 
Ka-babu kamezoea maswali rahisi ya wandishi vilaza kama wale walioulizwa wewe ni mwandishi wa chombo gani? Jibu likawa "naandikia blogu". Sasa maswali ya nguli wa habari, haki ya nani kasingeyaweza, maana maswali ya Tido Dunstan Mhando yamejaa mitego hujapata kuona, lazima kangekamatika tu!!
 
Nadhani wamezingatia gharama na faida (Cost benefit analysis) wameona igizo la Dr.Slaa linawanufaisha UKAWA zaidi kuliko kuwamaliza kama ambavyo walitegemea.Hata hivyo wamechelewa maana wananchi wamekwisha pima na kuona ni bora CCM itoke kuliko kuendelea kuwepo madarakani.
 
Lini mtoa mada maana nijuavyo mahojiano take na Tido yamerushwa Leosaa tatu asbi na pia jioni saa moja wanarudi.
Ufafanuzi pls
 
Kwani watu hawaelewi kwamba Dr Slaa analindwa na TISS na anaishi Serena hotel (sijui nani analipa bill)?

Hivi pale Serena ukitaka kupata mihogo inabidi aende uelekeo upi au inabidi hawara aende danta kule melini akanunue
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom