Willibrod Slaa amkacha Tido Mhando

Willibrod Slaa amkacha Tido Mhando

Status
Not open for further replies.
uzaifu wetu wa tz ni pale tunaposhindwa kujadili hoja kuu na kuanza ku dili mi personal affairs za mtu...

ni rahisi sana kuwavuruga wa tz hasa pale ushabiki na mihemko ya kifikra inapokuwa mbele..

nadhan tujiulize aliyo sema dr ni kweli? au si kweli kwa hoja na ushahidi madhubuti
 
Asante kaka! Nachojua tido iz a man of prestige anapenda sifa na kujiona he knws much kuliko walaji (audience) hapa inawezekana kabisa tatizo liko kwa tido.....

Unaona rafiki unless asingetangaza Jana
Hapo ni sawa
Coz hakuna mtu angemuuliza
coz si akutoa taarifa?

But kwa hili alitoa tangazo
Then amejikausha
It's like anajisemea kimoyo moyo kuwa watazamaji wetu
Si watajiongeza juu kwa juu!

Na kama sio yeye aliyetoa hilo tangazo pia ajitokeze hadharani ili akanushe!
 
...hahahaaa Kubenea hatari keshawavuruga hawa watu,sasa hivi hamna kuropoka tena,navyomjua Kubenea atasema mpk hela ya mihogo ya chai kabla ya kwenda Serena siku ile alipewa na nani.!
#olewakobabu!
 
Kipindi ni recorded ila ccm wamepuga bit kurushwa kwake
 
Ndiyo maana Tido alifukuzwa TBC haaminiki!
anajua kabisa kuwa Jana alitoa tangazo kuwa leo saa 3 asbh watu waone LIVE Azam two
atakuwepo na Slaa

Hata kama Slaa hakutokeza
Je ameshindwa nini haya kutoa feedback kwa umma?
huku akijua kabisa watu wengi huenda walikuwa pembeni ya tv zao

Hata kuwataka radhi watazamaji wao?
ama kutoa sababu iliyokuwa nje ya uwezo wao!

Kwa mbaaliii naona sababu ya yeye kutimuliwa TBC

slaa ndio kamuangusha. Kwani unajua sababu zilizofanya afukuzwe tbc?
 
Kumbe anawatesa anawatesa anawatesa eheeee!!!!!

Anajitesa mwenyewe.
Alikwenda kwenye mkutano aliouandaliwa na CCM sasa anaitwa kuulizwa ukweli na Tido ambaye siyo CCM wala UKAWA lazima akimbie tu.
Nilitarajia hayo.
 
uzaifu wetu wa tz ni pale tunaposhindwa kujadili hoja kuu na kuanza ku dili mi personal affairs za mtu...

ni rahisi sana kuwavuruga wa tz hasa pale ushabiki na mihemko ya kifikra inapokuwa mbele..

nadhan tujiulize aliyo sema dr ni kweli? au si kweli kwa hoja na ushahidi madhubuti

..sasa km mtu hajui garama za mkutano wake Serena alilipa nani ww unataka tujadili alichokisema?! hujioni akili yako ndio iko nyuma.!
 
Acha uongo wewe team lowasa. Nina uhakika Dr. Slaa atakuwepo kama kawaida.
Usidanganye watu
 
Habari nilizopewa kutoka Azam media ni kwamba aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Wilbrod Slaa ameshindwa kufika ndani ya studio za Azam media bila kuwepo kwa taarifa yoyote kutoka kwake.

Kuna jambo lipo nyuma ya pazia. Soon litajulikana.

Usalama kwanza mambo mengine baadaye
 
Habari nilizopewa kutoka Azam media ni kwamba aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Wilbrod Slaa ameshindwa kufika ndani ya studio za Azam media bila kuwepo kwa taarifa yoyote kutoka kwake.

Kuna jambo lipo nyuma ya pazia. Soon litajulikana.
Kipindi kiko recorded...Iweje unasema amemkacha?..

Kilisharekodiwa tangu last week...Leo kilikuwa kinarushwa hewani tu Chifu...

Huyo aliyekuletea hiyo habari amekupotosha na wewe bila kujiongeza umekuja kupotosha jamvini...

Wa kuulizwa ni Azam TV kwa nini hawajakirusha hewani?..
 
Unaona rafiki unless asingetangaza Jana
Hapo ni sawa
Coz hakuna mtu angemuuliza
coz si akutoa taarifa?

But kwa hili alitoa tangazo
Then amejikausha
It's like anajisemea kimoyo moyo kuwa watazamaji wetu
Si watajiongeza juu kwa juu!

Na kama sio yeye aliyetoa hilo tangazo pia ajitokeze hadharani ili akanushe!

..mna haraka sn hebu tulieni taarifa itatoka mnaweweseka nn.!
 
Tido si ndio aliyewalegeza 2010 kwenye mchakato majimboni wakamtimua unadhani wamesahau?
 
Chonde Dr Slaa usizidi kujidhalilisha! Jitahidi kulinda kaheshima kadogo ulikobaki nako. Huwezi kushindana na uma was watanzania ukashinda! Ishinde nafsi inayodanganyika.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom