monoclinic
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 262
- 323
uzaifu wetu wa tz ni pale tunaposhindwa kujadili hoja kuu na kuanza ku dili mi personal affairs za mtu...
ni rahisi sana kuwavuruga wa tz hasa pale ushabiki na mihemko ya kifikra inapokuwa mbele..
nadhan tujiulize aliyo sema dr ni kweli? au si kweli kwa hoja na ushahidi madhubuti
ni rahisi sana kuwavuruga wa tz hasa pale ushabiki na mihemko ya kifikra inapokuwa mbele..
nadhan tujiulize aliyo sema dr ni kweli? au si kweli kwa hoja na ushahidi madhubuti