William Ruto wa Kenya moja ya wakopaji maarufu barani Afrika kwa sasa

saidoo25

JF-Expert Member
Jul 4, 2022
602
1,407
WILLY RUTO WA KENYA MOJA YA WAKOPAJI MAARUFU BARANI AFRIKA KWA SASA.

George Michael Uledi.
Kyela,Mbeya.
Januari 9,2023.

Moja kati ya Propaganda kubwa ambayo ilikuwa inaendelea kutembea jana katika Magroup mengi ya CCM na Magroup mengi ya diaspora ni kipande cha picha ya Rais wa Kenya Mh Ruto eti akinukuliwa kuwa Kenya hatokopa tena mikopo kutoka nje.

Badala yake Kenya itatumia Rasilimali zake za ndani kwa kukusanya kodi zaidi na kuendesha Serikali na kujenga miradi ya Maendeleo kwa kutumia fedha zake za ndani!

Lengo kubwa la ujumbe ule wa jana ilikuwa ni kukosoa mikopo ambayo Mh Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan amekuwa akichukua kwa ajili ya miradi yetu mikubwa ya kimkakati ya maendeleo.

UKWELI UKOJE KUHUSU KENYA YA MH RUTO MPAKA JANUARY 2023.

I.Mwishoni mwa mwaka wa 2022 yaani mwezi Desemba, Serikali ya Kenya ya Mh Ruto ilitaka "top up" ya mkopo wa USD 1 Bilioni kutoka Banki ya Dunia,lakini WB wakaikatalia Kenya kupata "top up"!Wazee wa "top up"nadhani mnanielewa vizuri!

"..Ruto's government attempted to secure an additional USD 1 Bilion(KSH 121Bilioni)loan from the Word Bank but was rejected due to the Country high fiscal risk and budget shortfalls,Word Bank report revealed!

Badala yake Willy Ruto akakubaliwa kupokea USD 750 milioni tu (KSH 90.75) kutoka kwa wakopeshaji wengine kwa mwaka unaoishia June 2023.

Siku tatu nyuma,Mh Ruto amenukuliwa na Vyombo vya habari vya Kenya kwenye interview akiwatoa shaka Wakenya kuwa Nchi yake itaendelea kulipa madeni yake yote ya Nje kama kawaida baada ya kuwepo taarifa za Kenya kushindwa kulipa madeni yake!

"..We won't default on any loan "Ruto assures Kenya in Media interview.

II.Zaidi akasema kuwa Nchi yake itapunguza kukopa na kuweka nguvu zaidi kwenye kukusanya mapato ya ndani kwa ajili ya Maendeleo ya Kenya!

Kwa kifupi sio kwamba Serikali ya Ruto ya Kenya haitaki kukopa,ukweli unabaki kuwa Nchi ya Kenya haikopesheki kwa sasa!Rejea kukataliwa "top up" kwa Kenya na Banki ya Dunia mwaka jana 2022 Mwezi Desemba tu.

III.Wakati Serikali ya Mh. Samia Suluhu Hassan mpaka dakika hii ikitoa ruzuku kwenye Kilimo na maeneo mengine,Serikali ya Kenya ya Mh Rais Ruto imetangaza kusitishwa kwa ruzuku katika sekta mbalimbali kwa lengo la kunusuru Uchumi wake!

"..one of the Ruto's Plan for 2023 is ending subsidies so that to build the economy..", media reports revealed!

Watu wanadhani IMF, WB na lenders wengine duniani wanatoa"wanamwaga" fedha kwa Tanzania bila sababu za msingi.
Hakuna mkopeshaji ambaye anaweza kuweka fedha yake rehani ndio maana WB huyo huyo kamkatalia "top up" Kenya!

Uchumi wa Tanzania inaonekana utakuwa "mtamu" zaidi ndani ya miaka 10 ijayo kwahiyo ni kichaa tu ambaye anaweza kuigomea Tanzania kukopa!Mradi wa Bomba la Mafuta Hoima -Tanga,Mradi wa mkubwa wa LNG wa gesi asilia,miradi ya Migodi mikubwa ya Kabanga + Nyanzaga iliyombio kuanza,returns za SGR,returns za Mradi wa Bandari ya Bagamoyo,Mradi wa Makaa ya Mawe ya Ruvuma ambayo now we are exporting!

Ni kichaa gani huko duniani anaweza kuitilia shaka uwezo wa Nchi ya Tanzania kulipa madeni hayo? Mpaka sasa Serikali ya awamu ya Sita imeendelea kulipa madeni hayo tena kwa kasi ya ajabu!

+255746726484.
 
WILLY RUTO WA KENYA MOJA YA WAKOPAJI MAARUFU BARANI AFRIKA KWA SASA.

George Michael Uledi.
Kyela,Mbeya.
Januari 9,2023.

Moja kati ya Propaganda kubwa ambayo ilikuwa inaendelea kutembea jana katika Magroup mengi ya CCM na Magroup mengi ya diaspora ni kipande cha picha ya Rais wa Kenya Mh Ruto eti akinukuliwa kuwa Kenya hatokopa tena mikopo kutoka nje.

Badala yake Kenya itatumia Rasilimali zake za ndani kwa kukusanya kodi zaidi na kuendesha Serikali na kujenga miradi ya Maendeleo kwa kutumia fedha zake za ndani!

Lengo kubwa la ujumbe ule wa jana ilikuwa ni kukosoa mikopo ambayo Mh Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan amekuwa akichukua kwa ajili ya miradi yetu mikubwa ya kimkakati ya maendeleo.

UKWELI UKOJE KUHUSU KENYA YA MH RUTO MPAKA JANUARY 2023.

I.Mwishoni mwa mwaka wa 2022 yaani mwezi Desemba, Serikali ya Kenya ya Mh Ruto ilitaka "top up" ya mkopo wa USD 1 Bilioni kutoka Banki ya Dunia,lakini WB wakaikatalia Kenya kupata "top up"!Wazee wa "top up"nadhani mnanielewa vizuri!

"..Ruto's government attempted to secure an additional USD 1 Bilion(KSH 121Bilioni)loan from the Word Bank but was rejected due to the Country high fiscal risk and budget shortfalls,Word Bank report revealed!

Badala yake Willy Ruto akakubaliwa kupokea USD 750 milioni tu (KSH 90.75) kutoka kwa wakopeshaji wengine kwa mwaka unaoishia June 2023.

Siku tatu nyuma,Mh Ruto amenukuliwa na Vyombo vya habari vya Kenya kwenye interview akiwatoa shaka Wakenya kuwa Nchi yake itaendelea kulipa madeni yake yote ya Nje kama kawaida baada ya kuwepo taarifa za Kenya kushindwa kulipa madeni yake!

"..We won't default on any loan "Ruto assures Kenya in Media interview.

II.Zaidi akasema kuwa Nchi yake itapunguza kukopa na kuweka nguvu zaidi kwenye kukusanya mapato ya ndani kwa ajili ya Maendeleo ya Kenya!

Kwa kifupi sio kwamba Serikali ya Ruto ya Kenya haitaki kukopa,ukweli unabaki kuwa Nchi ya Kenya haikopesheki kwa sasa!Rejea kukataliwa "top up" kwa Kenya na Banki ya Dunia mwaka jana 2022 Mwezi Desemba tu.

III.Wakati Serikali ya Mh. Samia Suluhu Hassan mpaka dakika hii ikitoa ruzuku kwenye Kilimo na maeneo mengine,Serikali ya Kenya ya Mh Rais Ruto imetangaza kusitishwa kwa ruzuku katika sekta mbalimbali kwa lengo la kunusuru Uchumi wake!

"..one of the Ruto's Plan for 2023 is ending subsidies so that to build the economy..", media reports revealed!

Watu wanadhani IMF, WB na lenders wengine duniani wanatoa"wanamwaga" fedha kwa Tanzania bila sababu za msingi.
Hakuna mkopeshaji ambaye anaweza kuweka fedha yake rehani ndio maana WB huyo huyo kamkatalia "top up" Kenya!

Uchumi wa Tanzania inaonekana utakuwa "mtamu" zaidi ndani ya miaka 10 ijayo kwahiyo ni kichaa tu ambaye anaweza kuigomea Tanzania kukopa!Mradi wa Bomba la Mafuta Hoima -Tanga,Mradi wa mkubwa wa LNG wa gesi asilia,miradi ya Migodi mikubwa ya Kabanga + Nyanzaga iliyombio kuanza,returns za SGR,returns za Mradi wa Bandari ya Bagamoyo,Mradi wa Makaa ya Mawe ya Ruvuma ambayo now we are exporting!

Ni kichaa gani huko duniani anaweza kuitilia shaka uwezo wa Nchi ya Tanzania kulipa madeni hayo? Mpaka sasa Serikali ya awamu ya Sita imeendelea kulipa madeni hayo tena kwa kasi ya ajabu!

+255746726484.
Ndugu Uledi wa Kyela Mbeya, tusaidie majibu haya kuhusu mikopo
1. Swali kubwa mikopo hiyo tuliyochukua watanzania imeidhinishwa na bunge?
2. Ukuaji wa ukusanyaji wa mapato ya ndani ya nchi unaenda sambamba na ukuaji wa mikopo tunayochukua kila leo?
3. Kwa kuwa kenya hawakopesheki kwa sasa, je tunataka na taifa letu lifike huko?
4. Hivi kinatuuma nini Kenya kupunguza ukopaji mikopo ku - Finance bajeti yao?
5. Huwezi kuwa na Taifa linalotaka kufanya mambo yote kwa siku moja na bila kujali bajeti likafanikiwa, mambo haya yanasukumwa na dhamira ovu nyuma
 
Ndugu Uledi wa Kyela Mbeya, tusaidie majibu haya kuhusu mikopo
1. Swali kubwa mikopo hiyo tuliyochukua watanzania imeidhinishwa na bunge?
2. Ukuaji wa ukusanyaji wa mapato ya ndani ya nchi unaenda sambamba na ukuaji wa mikopo tunayochukua kila leo?
3. Kwa kuwa kenya hawakopesheki kwa sasa, je tunataka na taifa letu lifike huko?
4. Hivi kinatuuma nini Kenya kupunguza ukopaji mikopo ku - Finance bajeti yao?
5. Huwezi kuwa na Taifa linalotaka kufanya mambo yote kwa siku moja na bila kujali bajeti likafanikiwa, mambo haya yanasukumwa na dhamira ovu nyuma
akikujibu haya maswali niite nimekaa pale.@ Mwigulu mwenyewe mpaka leo hajawahi kujibu hayo maswali anakimbiakimbia tu
 
WILLY RUTO WA KENYA MOJA YA WAKOPAJI MAARUFU BARANI AFRIKA KWA SASA.

George Michael Uledi.
Kyela,Mbeya.
Januari 9,2023.

Moja kati ya Propaganda kubwa ambayo ilikuwa inaendelea kutembea jana katika Magroup mengi ya CCM na Magroup mengi ya diaspora ni kipande cha picha ya Rais wa Kenya Mh Ruto eti akinukuliwa kuwa Kenya hatokopa tena mikopo kutoka nje.

Badala yake Kenya itatumia Rasilimali zake za ndani kwa kukusanya kodi zaidi na kuendesha Serikali na kujenga miradi ya Maendeleo kwa kutumia fedha zake za ndani!

Lengo kubwa la ujumbe ule wa jana ilikuwa ni kukosoa mikopo ambayo Mh Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan amekuwa akichukua kwa ajili ya miradi yetu mikubwa ya kimkakati ya maendeleo.

UKWELI UKOJE KUHUSU KENYA YA MH RUTO MPAKA JANUARY 2023.

I.Mwishoni mwa mwaka wa 2022 yaani mwezi Desemba, Serikali ya Kenya ya Mh Ruto ilitaka "top up" ya mkopo wa USD 1 Bilioni kutoka Banki ya Dunia,lakini WB wakaikatalia Kenya kupata "top up"!Wazee wa "top up"nadhani mnanielewa vizuri!

"..Ruto's government attempted to secure an additional USD 1 Bilion(KSH 121Bilioni)loan from the Word Bank but was rejected due to the Country high fiscal risk and budget shortfalls,Word Bank report revealed!

Badala yake Willy Ruto akakubaliwa kupokea USD 750 milioni tu (KSH 90.75) kutoka kwa wakopeshaji wengine kwa mwaka unaoishia June 2023.

Siku tatu nyuma,Mh Ruto amenukuliwa na Vyombo vya habari vya Kenya kwenye interview akiwatoa shaka Wakenya kuwa Nchi yake itaendelea kulipa madeni yake yote ya Nje kama kawaida baada ya kuwepo taarifa za Kenya kushindwa kulipa madeni yake!

"..We won't default on any loan "Ruto assures Kenya in Media interview.

II.Zaidi akasema kuwa Nchi yake itapunguza kukopa na kuweka nguvu zaidi kwenye kukusanya mapato ya ndani kwa ajili ya Maendeleo ya Kenya!

Kwa kifupi sio kwamba Serikali ya Ruto ya Kenya haitaki kukopa,ukweli unabaki kuwa Nchi ya Kenya haikopesheki kwa sasa!Rejea kukataliwa "top up" kwa Kenya na Banki ya Dunia mwaka jana 2022 Mwezi Desemba tu.

III.Wakati Serikali ya Mh. Samia Suluhu Hassan mpaka dakika hii ikitoa ruzuku kwenye Kilimo na maeneo mengine,Serikali ya Kenya ya Mh Rais Ruto imetangaza kusitishwa kwa ruzuku katika sekta mbalimbali kwa lengo la kunusuru Uchumi wake!

"..one of the Ruto's Plan for 2023 is ending subsidies so that to build the economy..", media reports revealed!

Watu wanadhani IMF, WB na lenders wengine duniani wanatoa"wanamwaga" fedha kwa Tanzania bila sababu za msingi.
Hakuna mkopeshaji ambaye anaweza kuweka fedha yake rehani ndio maana WB huyo huyo kamkatalia "top up" Kenya!

Uchumi wa Tanzania inaonekana utakuwa "mtamu" zaidi ndani ya miaka 10 ijayo kwahiyo ni kichaa tu ambaye anaweza kuigomea Tanzania kukopa!Mradi wa Bomba la Mafuta Hoima -Tanga,Mradi wa mkubwa wa LNG wa gesi asilia,miradi ya Migodi mikubwa ya Kabanga + Nyanzaga iliyombio kuanza,returns za SGR,returns za Mradi wa Bandari ya Bagamoyo,Mradi wa Makaa ya Mawe ya Ruvuma ambayo now we are exporting!

Ni kichaa gani huko duniani anaweza kuitilia shaka uwezo wa Nchi ya Tanzania kulipa madeni hayo? Mpaka sasa Serikali ya awamu ya Sita imeendelea kulipa madeni hayo tena kwa kasi ya ajabu!

+255746726484.
Ok tumekusikia,lakini nikuulize..Namba za simu za nini?

Halafu pia nikwambie....
Hiyo Ruzuku unayoiongelea kwamba inatolewa na serikali ya Tanzania kwa sasa,ni sawa na kutukaanga kwa mafuta yetu wenyewe.
Sababu ni Tozo itokanayo na makato yasiyo halali kwenye miamala yetu ya fedha.
Halafu tunarudishiwa na kuambiwa ni Ruzuku?

Kenya hawana Tozo.
Kenya hawana Almasi.
Kenya hawana Dhahabu kama Tanzania.
Kenya hawana Tanzanite.
Kenya hawana Ruby.

Lakini kenya wana Human Resources.

Wana Elimu inayopenya soko la kimataifa na kuzalisha Diaspora wenye kipato kizuri,na kurudisha pesa kwao ku changia ukuwaji wa Uchumi.

Ni aibu Tanzania kushindana na Kenya kwenye mikopo.

Acheni u-chawa wenu kisha mnaweka na namba za Simu kusikilizia kama mtatafutwa kupongezwa na kupewa maelekezo.
 
Kwa ajili ya ufafanuzi zaidi
Ufafanuzi zaidi unautoa kwenye Platform hii hii kutokana na Majibu au hoja za wachangiaji.

Sidhani kama kuna mtu atataka kukupigia na kutoa identity yake,ilhali anaona kabisa wewe ni kundi lile.
 
WILLY RUTO WA KENYA MOJA YA WAKOPAJI MAARUFU BARANI AFRIKA KWA SASA.

George Michael Uledi.
Kyela,Mbeya.
Januari 9,2023.

Moja kati ya Propaganda kubwa ambayo ilikuwa inaendelea kutembea jana katika Magroup mengi ya CCM na Magroup mengi ya diaspora ni kipande cha picha ya Rais wa Kenya Mh Ruto eti akinukuliwa kuwa Kenya hatokopa tena mikopo kutoka nje.

Badala yake Kenya itatumia Rasilimali zake za ndani kwa kukusanya kodi zaidi na kuendesha Serikali na kujenga miradi ya Maendeleo kwa kutumia fedha zake za ndani!

Lengo kubwa la ujumbe ule wa jana ilikuwa ni kukosoa mikopo ambayo Mh Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan amekuwa akichukua kwa ajili ya miradi yetu mikubwa ya kimkakati ya maendeleo.

UKWELI UKOJE KUHUSU KENYA YA MH RUTO MPAKA JANUARY 2023.

I.Mwishoni mwa mwaka wa 2022 yaani mwezi Desemba, Serikali ya Kenya ya Mh Ruto ilitaka "top up" ya mkopo wa USD 1 Bilioni kutoka Banki ya Dunia,lakini WB wakaikatalia Kenya kupata "top up"!Wazee wa "top up"nadhani mnanielewa vizuri!

"..Ruto's government attempted to secure an additional USD 1 Bilion(KSH 121Bilioni)loan from the Word Bank but was rejected due to the Country high fiscal risk and budget shortfalls,Word Bank report revealed!

Badala yake Willy Ruto akakubaliwa kupokea USD 750 milioni tu (KSH 90.75) kutoka kwa wakopeshaji wengine kwa mwaka unaoishia June 2023.

Siku tatu nyuma,Mh Ruto amenukuliwa na Vyombo vya habari vya Kenya kwenye interview akiwatoa shaka Wakenya kuwa Nchi yake itaendelea kulipa madeni yake yote ya Nje kama kawaida baada ya kuwepo taarifa za Kenya kushindwa kulipa madeni yake!

"..We won't default on any loan "Ruto assures Kenya in Media interview.

II.Zaidi akasema kuwa Nchi yake itapunguza kukopa na kuweka nguvu zaidi kwenye kukusanya mapato ya ndani kwa ajili ya Maendeleo ya Kenya!

Kwa kifupi sio kwamba Serikali ya Ruto ya Kenya haitaki kukopa,ukweli unabaki kuwa Nchi ya Kenya haikopesheki kwa sasa!Rejea kukataliwa "top up" kwa Kenya na Banki ya Dunia mwaka jana 2022 Mwezi Desemba tu.

III.Wakati Serikali ya Mh. Samia Suluhu Hassan mpaka dakika hii ikitoa ruzuku kwenye Kilimo na maeneo mengine,Serikali ya Kenya ya Mh Rais Ruto imetangaza kusitishwa kwa ruzuku katika sekta mbalimbali kwa lengo la kunusuru Uchumi wake!

"..one of the Ruto's Plan for 2023 is ending subsidies so that to build the economy..", media reports revealed!

Watu wanadhani IMF, WB na lenders wengine duniani wanatoa"wanamwaga" fedha kwa Tanzania bila sababu za msingi.
Hakuna mkopeshaji ambaye anaweza kuweka fedha yake rehani ndio maana WB huyo huyo kamkatalia "top up" Kenya!

Uchumi wa Tanzania inaonekana utakuwa "mtamu" zaidi ndani ya miaka 10 ijayo kwahiyo ni kichaa tu ambaye anaweza kuigomea Tanzania kukopa!Mradi wa Bomba la Mafuta Hoima -Tanga,Mradi wa mkubwa wa LNG wa gesi asilia,miradi ya Migodi mikubwa ya Kabanga + Nyanzaga iliyombio kuanza,returns za SGR,returns za Mradi wa Bandari ya Bagamoyo,Mradi wa Makaa ya Mawe ya Ruvuma ambayo now we are exporting!

Ni kichaa gani huko duniani anaweza kuitilia shaka uwezo wa Nchi ya Tanzania kulipa madeni hayo? Mpaka sasa Serikali ya awamu ya Sita imeendelea kulipa madeni hayo tena kwa kasi ya ajabu!

+255746726484.
Kumbe TZ ipo mzuri, lakini kwanini majority ni maskini kupata hata mlo mmoja kwa siku? Tatizo ni nini?Mbona hakuna uwekezaji mkubwa wa viwanda vikubwa ukilinganisha na maliasili kibao zetu na wajasili mali wetu.
Au labda tatizo ni siasa zetu,sijui ni ulaghai, au utoto wa siasa za mashindano?
 
Ndugu Uledi wa Kyela Mbeya, tusaidie majibu haya kuhusu mikopo
1. Swali kubwa mikopo hiyo tuliyochukua watanzania imeidhinishwa na bunge?
2. Ukuaji wa ukusanyaji wa mapato ya ndani ya nchi unaenda sambamba na ukuaji wa mikopo tunayochukua kila leo?
3. Kwa kuwa kenya hawakopesheki kwa sasa, je tunataka na taifa letu lifike huko?
4. Hivi kinatuuma nini Kenya kupunguza ukopaji mikopo ku - Finance bajeti yao?
5. Huwezi kuwa na Taifa linalotaka kufanya mambo yote kwa siku moja na bila kujali bajeti likafanikiwa, mambo haya yanasukumwa na dhamira ovu nyuma
Jibu hapa we chawize saidoo25
 
Ok tumekusikia,lakini nikuulize..Namba za simu za nini?

Halafu pia nikwambie....
Hiyo Ruzuku unayoiongelea kwamba inatolewa na serikali ya Tanzania kwa sasa,ni sawa na kutukaanga kwa mafuta yetu wenyewe.
Sababu ni Tozo itokanayo na makato yasiyo halali kwenye miamala yetu ya fedha.
Halafu tunarudishiwa na kuambiwa ni Ruzuku?

Kenya hawana Tozo.
Kenya hawana Almasi.
Kenya hawana Dhahabu kama Tanzania.
Kenya hawana Tanzanite.
Kenya hawana Ruby.

Lakini kenya wana Human Resources.

Wana Elimu inayopenya soko la kimataifa na kuzalisha Diaspora wenye kipato kizuri,na kurudisha pesa kwao ku changia ukuwaji wa Uchumi.

Ni aibu Tanzania kushindana na Kenya kwenye mikopo.

Acheni u-chawa wenu kisha mnaweka na namba za Simu kusikilizia kama mtatafutwa kupongezwa na kupewa maelekezo.
Leta majibu we chawize saidoo25
 
Back
Top Bottom