Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 4,820
- 8,886
W.J. Malechela ni zero..
Ndo wale wale na vitambi vyao kwa vile tu
wamekaa njee ya nchi basi wanajiona wao ndo wao funny enough watapewa kiti cha mbele ..
Ndo baadaye wanajitundikia PHD fake na kujiita DR W.J Malechele .
AD una hasira wewe.....duh...'linchi' limekuchosha hili n watu wanavyorithishana vyeo...lol....mzima lakini ndugu?
Anyway....Dawa ni kuingia na wewe..usiwazirie nchi...wao watakula tuu..kodi zetu hawana huruma....lets all get involved....hakuna miracle....