Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,676
- 8,246
Chokochoko zote zinazotokea Congo zinaendeshwa na M7 akishirikiana kwa ukaribu kabisa na Kagame. Congo si ni member wa SADC aliyeingizwa kwa nguvu kwenye huo umoja? Si walikuwa wanasema nchi moja ikishambuliwa ni wote wameshambuliwa? Hivi mfano Angola, Botswana au Mozambique wakishambuliwa SADC watakaa kimya?
Midhali dhaifu yupo Magogoni akishauriwa na Banyamulenge Tanzania haiwezi kufanya lolote la msingi ni umburukenge tu, nchi zote zinafahamu hilo. Dhaifu na CCM waturudishie Tanzania yetu na 2015 lazima tuichukue tuondoe hii mikimbizi ambayo haitaki kukaa makwao. Tena utaisikia ikijisifu ati kwao kumeendelea na vineno kede kede , sasa kama kwenu kuzuri mnatafuta nini Tanzania? Wapo banyamulenge wengi tu tena siku hizi na Manyang'au ndio kwanza wanashadidia kupora rasilimali za Tanzania. Congo wata-sort out matatizo yao na wamarekani si ndio marafiki zao. Wacha wauane zaidi ndio watapata akili. Amani wanaisikia wakija Tanzania.
Midhali dhaifu yupo Magogoni akishauriwa na Banyamulenge Tanzania haiwezi kufanya lolote la msingi ni umburukenge tu, nchi zote zinafahamu hilo. Dhaifu na CCM waturudishie Tanzania yetu na 2015 lazima tuichukue tuondoe hii mikimbizi ambayo haitaki kukaa makwao. Tena utaisikia ikijisifu ati kwao kumeendelea na vineno kede kede , sasa kama kwenu kuzuri mnatafuta nini Tanzania? Wapo banyamulenge wengi tu tena siku hizi na Manyang'au ndio kwanza wanashadidia kupora rasilimali za Tanzania. Congo wata-sort out matatizo yao na wamarekani si ndio marafiki zao. Wacha wauane zaidi ndio watapata akili. Amani wanaisikia wakija Tanzania.