Kagame ni adui namba moja wa amani na ustawi wa bara la afrika na dunia, umwagaji damu unaoendelea congo ni uchu na tamaa ya kagame kutaka kujilimbikizia mali na kulitawala bara la afrika akiwa mbele ya watusi. Remember, wakongo hawapigani congo, wanyarwanda ndio wanao ua wakongo kwa kisingizio cha uasi!!!!swali, kwanini jeshi la congo limeshindwa kujitetea?
mnamuonea wivu tu...! Imarisheni nchi zenu kama yeye muone kama mtamuona kagame ni adui.
Wakiamua kuingia Tz hatuna jeshi la kuwazuia. Mali waliyopora Kongo kwa miongo kadhaa sasa imetumika kuliwezesha jeshi lao kuwa la kisasa logistically.
Sioni tofauti yako na hawa wanaong'ang'ana kwenye katiba yao kuwa Tanzania ni nchi ya kijamaa. Ni uimara gani unaouzungumzia wa jeshi lililosheheni vifaa tulivyonunua vikiwa chakavu. Unapoongelea jeshi lililomtoa Amin, unaongelea jeshi tofauti kabisa na hili la leo. Nani kati ya makamanda wa jeshi kipindi hicho aangefikiria kupiga dili apate vijisenti vya kuficha Uswisi? Use yor brain man / woman.Acha uongo JWTZ siyo legelege hivyo, yaulize majeshi yaliyowahi kukabiliana na jeshi la Tanzania yatakwambia. Jeshi la Iddi Amini lilikua linasifika kwa ubora, ukiuliza kilichowakuta utaambiwa. Kuna Mbabe mmoja wa jeshi alishindwa uchaguzi akachukua madaraka kwa nguvu walipoenda JWTZ masaa 24 hayakufika. Tanzania wanaipenda sana hasa bandari zetu lakini wanajua uwezo wetu ndio maana wako kimya. Tanzania tuna mapungufu mengi lakini katika nguvu na mbinu za kivita tuko imara.
Na ikumbukwe kuwa watawala wa DRC ukiondoa Lumumba P, wote ni nduguKuna power vacuum DRC, nchi hii haijawahi kutulia toka alipouwawa Patrice Lumumba aliyekuwa waziri mkuu miaka ya 1960's na mojawapo wa nchi yenye war lords wengi wanaotumia utajiri wa madini kuihenyesha serikali ya nchi hiyo.
Acha uongo JWTZ siyo legelege hivyo, yaulize majeshi yaliyowahi kukabiliana na jeshi la Tanzania yatakwambia. Jeshi la Iddi Amini lilikua linasifika kwa ubora, ukiuliza kilichowakuta utaambiwa. Kuna Mbabe mmoja wa jeshi alishindwa uchaguzi akachukua madaraka kwa nguvu walipoenda JWTZ masaa 24 hayakufika. Tanzania wanaipenda sana hasa bandari zetu lakini wanajua uwezo wetu ndio maana wako kimya. Tanzania tuna mapungufu mengi lakini katika nguvu na mbinu za kivita tuko imara.
amini usiamini, vita ndani ya kongo ni kati ya majeshi ya kongo na rwanda!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kamwe wacongo sio wagomvi, wao ni muziki tu. Kinachoendelea congo ni kugombea mali za kwenye shamba la bibi. "Toka kuzaliwa kwake pale Berlin mwaka 1884 Congo haijawahi kuonja amani" alisema Prof. Wamba Dia Wamba. Chanzo cha vita ya Congo ni urafi wa wazungu kwenye mali asili zilizopo Congo. Rwanda inatumiwa na wazungu kudistabilise Congo na kurahisisha uporoja wa mali za wacongo.
Acha uongo JWTZ siyo legelege hivyo, yaulize majeshi yaliyowahi kukabiliana na jeshi la Tanzania yatakwambia. Jeshi la Iddi Amini lilikua linasifika kwa ubora, ukiuliza kilichowakuta utaambiwa. Kuna Mbabe mmoja wa jeshi alishindwa uchaguzi akachukua madaraka kwa nguvu walipoenda JWTZ masaa 24 hayakufika. Tanzania wanaipenda sana hasa bandari zetu lakini wanajua uwezo wetu ndio maana wako kimya. Tanzania tuna mapungufu mengi lakini katika nguvu na mbinu za kivita tuko imara.
Leo kuna ripoti kuwa Waasi wa M23 wanaosaidiwa na Rwanda wameteka mji wa GOMA.
Huu unaweza kuwa uwasi wa 3 au 4 hivi katika eneo hilo.
Kwa nini Jeshi la nchi kubwa kama Congo linashindwa kwa Waasi kirahisi? Hata Rwanda ni kimkoa kidogo ukilinganisha na Congo!
| Al Jazeera's correspondent reports from the stadium as crowds cheer the officers handing over their weapons |