Will the Kabila Government Fall as rebels move toward Goma ?

Will the Kabila Government Fall as rebels move toward Goma ?

Unadhani hao un wakisaidia vita iishe wao watavuna wapi? Huoni kuwa kuna majeshi ya france na nchi zingine za ulaya-? Ushasikia wanaomba tz, kenya au zambia? Tafuta ile kitu aliyopiga biti jk ya mapanki ndo utajaribu kuujua ukweli. Kongo kukiwa na amani wazungu hawatapata faida yoyote kwani wanajua uchimbaji wa madini unaoendelea sasa hivi ndo faida yao. Kama nchi inakuwa na wanajeshi wasiolipwa mishahara unategemea nini?
 
Nataka kujua kama Kweli Kuna mkono wa Kagame pale congo anafanya hivyo kwa maslahi gani? au anasingiziwa tu
 
Jeshi la UN - MONUC mara zote limekuwa likilalamikiwa kuwa halina msaada kwa raia na wao hawaruhusiwi kuingilia vita ndani ya congo. Hilo jeshi ni waangalizi tu na hata kama raia wanauawa wao hawana cha kufanya then make no sense at all for their existence in DRC.

Upande huo wa congo uko mbali sana na Kinshasa iliposerikali na kiukweli huko hakuna serikali ni wababe wa kivita tu na wananchi ni kiguu na njia kila kukicha. Jeshi unatalikuta Katanga - Lubumbashi lakini KIVU ndio hata kabila halipoanzia na bila shaka Congo ni kubwa sana na serikali masikini haiwezi kuendesha nchi ya DRC, ni bora wakaigawa ili kuboresha utawala na kuwapa amani wananchi.
 
vita haiwezi kuisha DRC kama hawataamua kufanya kama walivyofanya Sudan
 
DRC hawana jeshi ni mautumbo matupu..wanajeshi wanapigana vita huku wana njaa..mishahara hawajalipwa unategemea nini ..to hell with them

Na ndio chanzo cha kuanzishwa M23, Kwani ni waasi waliokuwa intergrated kwenye jeshi la congo na kufika huko kukuta hali mbaya, wakaamua kuhasi.
Kifupi VITA inalipa kuliko utulivu kwa vijana wasio na ajira. Nasi tunaelekea huko!
 
Hao waasi wanasaidiwa na Rwanda lakini cha ajabu Rwanda ni kama sisimizi kwa Kongo DRC
 
Wacha maneno yako kabisa. Naona hii imegeuka blame game na mara zote tu inaonekana Kagame ndio scapegoat, mbona unakuwa hujiamini?

Si kwamba cjiamin naongea ukweli! Hakuna asiyejua lengo la Museven na Kagame nenda kagoogle m2 anaitwa Eric Kashambuzi
 
DRC hawana jeshi ni mautumbo matupu..wanajeshi wanapigana vita huku wana njaa..mishahara hawajalipwa unategemea nini ..to hell with them
Kuna ukweli kiasi kwamba Kongo wana Jeshi dhaifu, lakini wanaopugana mashariki si wakongo bali Jeshi rasmi la nchi ya Rwanda likiwa na malengo ya kulimega eneo lote la mashariki na baadae watangaze 'kuungana' na Rwanda. Rwanda inafanya sawasawa na kilichofanywa na Iddi Amin kule Kagera. Mji wa Goma waliouteka upo mpakani kabisa kiasi cha km 2 hivi.
Watanzania wasidhani wako salama sana dhidi ya jirani yao huyu mwenye uchu wa kuongeza eneo lake kwani ameanza kujipenyeza huko pia kwa kupenyezaa vikundi vya 'wafugaji' na katika idara kadhaa nyeti zikiwemo majeshi ya usalama, wizara mbalimbali na biashara ili watakapoamua wapate watu wa kuwaunga mkono.
Uganda ilipoteza karibu nusu ya wanajeshi wao walipotorokea Rwanda kwenda kuendesha harakati dhidi ya Habyarimana!
 
co koba peke ake 2ko wengi,we are in congo to protect the rwandesse n we will tek any measures to make them feel safe

just a protect ur fellow Tutsi and not Rwandesse we all knw hw FDNL will make u suffer
 
mhhh ee Mungu tunusuru, hao watoto wanasikitisha.
 
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeepfu,eeeeeeeepfu eeepfu...poleni ba ndugu ya congo,wacheni kuchapana masasi.
 
congo ni nchi ya kipumbafu sana..yaani wanajeshi walegevu kama utumbo wa bata ..haiwezekani waasi wateke goma kirahisi hivo..raisi kabila yupo tu anacheza miziki ya bakongo...
 
Kuna uwezekano mkubwa JWTZ kuongoza vikosi vya kuwafukuza hao waasi.
 
kuna mkono wa kagame na museveni
kwa ajili ya madini yaliyosheheni north kivu-ITURI,BENI,GOMA,BUKAVU
HAYO maeneo madini yako njenje hasa dhahabu.
dhahabu hii hupelekwa uganda na rwanda kwa ajili ya kuuza nje!!
VITA kuisha kongo ni mpaka hawa mapres..... wa rwand. na uga.da wafe!
RIP
 
kuna mkono wa kagame na museveni
kwa ajili ya madini yaliyosheheni north kivu-ITURI,BENI,GOMA,BUKAVU
HAYO maeneo madini yako njenje hasa dhahabu.
dhahabu hii hupelekwa uganda na rwanda kwa ajili ya kuuza nje!!
VITA kuisha kongo ni mpaka hawa mapres..... wa rwand. na uga.da wafe!
RIP

Thats true bway!
 
Back
Top Bottom