THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
Friends and Enemies,
Kwa tuliomsikiliza Wilbroad Slaa juzi pindi akihojiwa na kituo kimoja Cha redio amesikika akitoa kaul nyingi sana za dhihaka na kejeli Kwa serikali,Slaa akafikia hadi hatua ya kusema kwamba Rais AMEJIFICHA,hatoi kaul kana kwamba nchi hii haina Kiongoz.
Slaa lazima atambue kwamba kama anatafuta coverage na attention Kwa Rais au Serikali kupitia suala hili la DP World basi atambue fika kuwa coverage hiyo hatoipata,hatoipata Kwa wapinzani, hatoipata Kwa wananchi na hatoipata Kwa serikali.
Na hiyo ni kutokana na Jins alivyo changudoa katika masuala haya ya siasa na kujali Zaid tumbo lake huku akiegemea kwenye kutetea maslahi ya nchi.
Padre huyo aliefelisha Iman Yake Kwa mungu wake ameendelea kupayuka kuwa huu sasa ni wakati wa kuungana kupigania katiba mpya ambayo itatengeneza Taasisi imara za serikali na kutengeneza checks and balances za vyombo vya dola,huo ni unafiki wa kiwango Cha juu kabisa,hoja ya katiba ilikuja kipindi Cha mwendazake na yeye hakutaka kumsikiliza Wala kuipa uzito badala yake akasema kwamba haina umuhim Kwa sasa Kisha akachukua ubalozi na kuondoka zake.
Leo ubalozi umeisha,Njaa imepiga hodi mlangoni kwake anakumbuka sasa kuwa katiba mpya ni muhimu,nani atapoteza muda kumzingatia Slaa.
Uhuru huu ambao sasa anao autumie vizur,tunajua ana Njaa sana,ila akae akitambua kuwa Rais Samia ni Kiongoz wa nchi,Hana muda wa kukaa eti aje amjibu yeye Slaa,who are you Wilbroad Slaa eti had Rais ajifiche kuja kukujibu wewe,masuala yote ya nchi na serikali yupo msemaj wa serikali ambae kazi yake ni kutoa clarifications za mambo mbali mbali pale inapohitajika,usitafute kiki Kwa kushindwa kuhimili hizo Njaa zako.
Lastly,Huu mdomo mrefu unaourefusha Kwa Kiongoz wa Nchi,ungeweza kuwa na ujasiri huo mbele ya JPM na kusema kwamba nchi ipo kama vile haina Kiongoz??
Shika adabu zako Wilbroad Slaa,piga kelele uwezavyo kama unavyosema lakini chunga mipaka ya kauli zako,hakuna teuzi yoyote ambayo utaipata this time siyo Kwa wapinzani Wala serikalini.
Zama zako umezimaliza mwenyew e Kwa kuendekeza maslahi ya tumbo na Njaa zako.
Kwa tuliomsikiliza Wilbroad Slaa juzi pindi akihojiwa na kituo kimoja Cha redio amesikika akitoa kaul nyingi sana za dhihaka na kejeli Kwa serikali,Slaa akafikia hadi hatua ya kusema kwamba Rais AMEJIFICHA,hatoi kaul kana kwamba nchi hii haina Kiongoz.
Slaa lazima atambue kwamba kama anatafuta coverage na attention Kwa Rais au Serikali kupitia suala hili la DP World basi atambue fika kuwa coverage hiyo hatoipata,hatoipata Kwa wapinzani, hatoipata Kwa wananchi na hatoipata Kwa serikali.
Na hiyo ni kutokana na Jins alivyo changudoa katika masuala haya ya siasa na kujali Zaid tumbo lake huku akiegemea kwenye kutetea maslahi ya nchi.
Padre huyo aliefelisha Iman Yake Kwa mungu wake ameendelea kupayuka kuwa huu sasa ni wakati wa kuungana kupigania katiba mpya ambayo itatengeneza Taasisi imara za serikali na kutengeneza checks and balances za vyombo vya dola,huo ni unafiki wa kiwango Cha juu kabisa,hoja ya katiba ilikuja kipindi Cha mwendazake na yeye hakutaka kumsikiliza Wala kuipa uzito badala yake akasema kwamba haina umuhim Kwa sasa Kisha akachukua ubalozi na kuondoka zake.
Leo ubalozi umeisha,Njaa imepiga hodi mlangoni kwake anakumbuka sasa kuwa katiba mpya ni muhimu,nani atapoteza muda kumzingatia Slaa.
Uhuru huu ambao sasa anao autumie vizur,tunajua ana Njaa sana,ila akae akitambua kuwa Rais Samia ni Kiongoz wa nchi,Hana muda wa kukaa eti aje amjibu yeye Slaa,who are you Wilbroad Slaa eti had Rais ajifiche kuja kukujibu wewe,masuala yote ya nchi na serikali yupo msemaj wa serikali ambae kazi yake ni kutoa clarifications za mambo mbali mbali pale inapohitajika,usitafute kiki Kwa kushindwa kuhimili hizo Njaa zako.
Lastly,Huu mdomo mrefu unaourefusha Kwa Kiongoz wa Nchi,ungeweza kuwa na ujasiri huo mbele ya JPM na kusema kwamba nchi ipo kama vile haina Kiongoz??
Shika adabu zako Wilbroad Slaa,piga kelele uwezavyo kama unavyosema lakini chunga mipaka ya kauli zako,hakuna teuzi yoyote ambayo utaipata this time siyo Kwa wapinzani Wala serikalini.
Zama zako umezimaliza mwenyew e Kwa kuendekeza maslahi ya tumbo na Njaa zako.