KERO Wilaya ya Tunduru - Ruvuma tuna uhaba wa Watumishi wa Afya, tuliopo tunaelemewa na kazi

KERO Wilaya ya Tunduru - Ruvuma tuna uhaba wa Watumishi wa Afya, tuliopo tunaelemewa na kazi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma tunakabiliwa na uhaba mkubwaa wa Watumishi wa afya inayosababisha kufanya kazi kuliko inavyotakiwa, mfano tunakosa hata muda wa kuwa na jamii, hali hiyo inatufanya tuchukie kazi na lawama zote zinakuja kwa Watumishi wakati tunafanya kazi kwa mazingira magumu na kujitoa.

Vituo vingi Tunduru hatuna usiri wa kueleza hisia zetu, hata tunapoweka andiko hili adhabu inaweza kuwa kwetu Watumishi wa kawaida ambao ndio tunafanya kazi kwa wingi.
 
Ombeni hiyo wilaya igawanywe, Tunduru ni Wilaya kubwa sana kijiografia na Iko idle sana, Umbali kutoka Tunduru Mjini kutafuta miji(Wilaya) zingine ni mrefu sana, hii hali inasababisha watu kujazana maeneo hayohayo na hivyo vituo vichache kupata huduma.
NB: Hivi hizi ajira mpya za januari/February Tunduru haipokea watumishi..?
 
Mbona wilaya ya Tunduru imepokea watumishi wa Afya 40, hizi ajira mpya za January??
Nweii hiyo Wilaya ni kubwa sana, yafaa igawanywe, at least hata halmashauri ziwe 3
 
Mbona wilaya ya Tunduru imepokea watumishi wa Afya 40, hizi ajira mpya za January??
Nweii hiyo Wilaya ni kubwa sana, yafaa igawanywe, at least hata halmashauri ziwe 3
Watu wa Tunduru wanasafiri umbali takribani KM 265 kufika Makao makuu ya mkoa wao(Songea),
KM 195 kufika Mji jirani wa kibiashara(Masasi)
 
Back
Top Bottom