Wife ana makusudi sana aisee...!!!

Wife ana makusudi sana aisee...!!!

Duhh pole sana aisehh ila naomba nikuulize wewe ni deo rulangalanga ambae uliwahi kufanya kazi barclays bank? Samahani lkn japo swali langu lipo nje ya mada !
 
Vipi huko kwenye kamati hakuna Jamaa anayemmendea mkeo?
 
Yan hapa nipo kwenye harusi. Ameniweka na mdogo wa rafiki yake ni mzuri hatari. Yan binti mwenyewe ndo kwanza tumejuana hapa hapa.

Yeye yupo kwny kamati, so hajakaa akatulia. Amemwambia huyo binti ahakikishe nisiwe bored. Jamani jamani jamani. Daaaah...!!! Basi sawa. Ngoja niwe mpole tu aisee...!!!
Mimi nisingetangaza mpaka nihakikishe yamebaki manyoya [emoji13] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Yan umezungukwa na mke wakat shemu anakuzuga hapo mkeo wako anapigwa huko .Wazungu wanasema one mistake one goal.Ukienda na shem wako tu na mke kashaliwa.Pole sana
 
Yan hapa nipo kwenye harusi. Ameniweka na mdogo wa rafiki yake ni mzuri hatari. Yan binti mwenyewe ndo kwanza tumejuana hapa hapa.

Yeye yupo kwny kamati, so hajakaa akatulia. Amemwambia huyo binti ahakikishe nisiwe bored. Jamani jamani jamani. Daaaah...!!! Basi sawa. Ngoja niwe mpole tu aisee...!!!
Tamaa ilimponza fisi..
 
Mwanakondoo aliyenona anakaa na fisi mwenye njaa
 
Afu uzazi utapatikanaje sasa??

Si njia kuu aka wake zenu? Jamaa hapa yuko tempted na mtu kakaa nae mezani, ndo sumu yenyewe ,
Kwani wewe utamcheat sky eclat akikuweka meza mojana shosti yake msupu?.
 
Juzi nilikuwa sehemu moja hivi,
Kuna jamaa yangu moja ana watoto wawili anawasomesha International School moja hivi.
Wana mkwanja mrefu sana na wanafanya kazi kwenye ofisi kubwa tu na mara nyingi yeye au mke wake anapitia watoto shule. Sasa siku moja wale watoto wakasubiri mzazi lakini hakutokea kabisa, wakaanza kulia sana shuleni pale: Bahati nzuri ile shule ilikuwa ni ya bweni hivyo matron akawakataza wasiondoke na akawepeleka walale hostel. Mzazi kupigiwa simu hapokei. Kesho asubuhi wanakuta mama kaja shuleni kachanganyikiwa kwasababu ameambiwa na House Girl kwamba watoto jana hukuwachukua. Sasa naskia amerudi kutoka kazini akalala tu, asubuhi imefika anamwambia house girl andaa watoto na akajibiwa mbona jana hukurudi nao ?? Ndiyo mama kuchanganyikiwa na kuanza kukimbilia shule na kukuta watoto wako darasani tayari. Hapa unategemea upate kijana mwenye kuweza kuwa responsible na ndoa yake ???
Duuuuh!! Hizi pesa zimetufanya tusahau kabisa jukumu kubwa la malezi, tuko busy mno yaani. Watoto wanajilea wenyewe wakisaidiwa na housegirls, walimu na media. Emagine mama anachoka hadi anasahau watoto, si balaa hilo!!!
Hali ni mbaya sana my kaka.
 
Back
Top Bottom