Wife ana makusudi sana aisee...!!!

Wife ana makusudi sana aisee...!!!

Wakati wa kudance ndio wakati mzuri wa kubambia bambia! From there you can read the signs kama unatakiwa au hutakiwi. Usiingie kichwa kichwa mkuu!
 
Acha zako za kunyapia dem wangu!! Nakuja hapo sasahivi!!! Au vipi ni deal na mkeo? Daddeeek!!
 
Hahahaha, hizi ni hatua za makuzi tu mbona ???
Mtoto wa kiume akifika 21-25 anakuwa na uwezo wa kutafuta pesa na kufanya kazi sana,
Lakini ulimwengu wa mapenzi unakuwa bado mpya sana kwake tofauti na mtoto wa kike.
Ndiyo maana tunashauri kabla hujaingia kwenye mahusiano chukua muda kujiafanyia tathmini binafsi.
Siku hizi hatua hizo zimekuwa ndefu sana, balehe haziwaishi.
 
Siku hizi hatua hizo zimekuwa ndefu sana, balehe haziwaishi.

Hahahahaha ni malezi tu; katika balehe kikubwa ni Saikolojia.
Wazazi wengi wanashindwa kufahamu kwamba dunia imebadilika sanaa!
Kijana wa miaka ya 2000 na 2017 ni watu wawili tofauti kabisa kimtazamo wa maisha! (Kisaikolojia)
Mzazi usipokubali au kujua huu ukweli basi huwezi mfundisha vizuri kijana wako kukabiliana na changamoto za ulimwengu huu mpya.
 
Hauna shem.

Haya kamata posho hiyo...
Fedha.jpg
 
Hahahahaha ni malezi tu; katika balehe kikubwa ni Saikolojia.
Wazazi wengi wanashindwa kufahamu kwamba dunia imebadilika sanaa!
Kijana wa miaka ya 2000 na 2017 ni watu wawili tofauti kabisa kimtazamo wa maisha! (Kisaikolojia)
Mzazi usipokubali au kujua huu ukweli basi huwezi mfundisha vizuri kijana wako kukabiliana na changamoto za ulimwengu huu mpya.
Umesema vyema, MALEZI. hakika kuna ombwe kubwa sana ktk hilo.
 
Back
Top Bottom