Wife ana makusudi sana aisee...!!!

Wife ana makusudi sana aisee...!!!

Alafu huwa mnauliza wanawake kwanini hawaolewi!!! Waume wenyewe ndio hawa!!!
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Sasa unataka mwanaume wakwako pekeyako??? Tz??? Labda
 
Yan hapa nipo kwenye harusi. Ameniweka na mdogo wa rafiki yake ni mzuri hatari. Yan binti mwenyewe ndo kwanza tumejuana hapa hapa.

Yeye yupo kwny kamati, so hajakaa akatulia. Amemwambia huyo binti ahakikishe nisiwe bored. Jamani jamani jamani. Daaaah...!!! Basi sawa. Ngoja niwe mpole tu aisee...!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kwani mkeo sio mzuri?? Au ulichagua tabia nzuri???
 
Dah...mtego huo...shtuka...isijekuwa wife naye analiwa huko...[emoji87]
 
Kweli nimeamini UKIONA CHOO KWENYE NDOTO, USIKITUMIE. Lazima utachafua shuka tu.

Jana usiku wakati harusi inaelekea ukingoni, wife alirudi na nikawa namuona anakagua simu ya yule binti aisee. Nikaona anaandika namba yng ili aone kama jina litatokea, au hata kama alinisevu kwa jina jingine lingetokea tu so long as namba ipo.

Sikuchukua namba.
 
Duuuuh!! Hizi pesa zimetufanya tusahau kabisa jukumu kubwa la malezi, tuko busy mno yaani. Watoto wanajilea wenyewe wakisaidiwa na housegirls, walimu na media. Emagine mama anachoka hadi anasahau watoto, si balaa hilo!!!
Hali ni mbaya sana my kaka.

1 Timothy 6:10 For the love of money is the root of all kinds of evil.
Money itself is not a bad thing at all, but THE LOVE OF MONEY will surely destroy you.
It will destroy your health, your marriage & family and if it doesn't kill you then surely you will be a slave of mammon.
Trust me my dear i have been a victim.
 
Kweli nimeamini UKIONA CHOO KWENYE NDOTO, USIKITUMIE. Lazima utachafua shuka tu.

Jana usiku wakati harusi inaelekea ukingoni, wife alirudi na nikawa namuona anakagua simu ya yule binti aisee. Nikaona anaandika namba yng ili aone kama jina litatokea, au hata kama alinisevu kwa jina jingine lingetokea tu so long as namba ipo.

Sikuchukua namba.
Haaa mkeo alikagua simu, umeamini yeye sio mjinga kiasi hicho kumuweka hapo pole na hongera ungeleta taflani hata kabla hujafanya chochote cha maana
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Yan hapa nipo kwenye harusi. Ameniweka na mdogo wa rafiki yake ni mzuri hatari. Yan binti mwenyewe ndo kwanza tumejuana hapa hapa.

Yeye yupo kwny kamati, so hajakaa akatulia. Amemwambia huyo binti ahakikishe nisiwe bored. Jamani jamani jamani. Daaaah...!!! Basi sawa. Ngoja niwe mpole tu aisee...!!!
Mzee wa Hat Trick
 
Ishinde tamaa ya mwili isikutawale ni rahisi Sana.....umalaya haujawahi kumwacha mtu salama
 
Haaa mkeo alikagua simu, umeamini yeye sio mjinga kiasi hicho kumuweka hapo pole na hongera ungeleta taflani hata kabla hujafanya chochote cha maana
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Alikagua simu ya huyo binti aisee.
 
Hapana mkuu. Nipo tu nagonga Heineken zangu kwa mbaaaali...!!! Ntamuandikia namba yng. Halafu yake ntaikariri
Naona umedhamilia mkuu ww ni fisi hata ukiachiwa mke wa mdogo wako utataka umtafune maana x kwa trick hizo za kuhifadhi no kwa mukichwaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Huko kwenye kamati kuna jitu linamgonga mkeo....

Badala na wewe uwe busy unakimbilia MMU...

LOFA .

Hii inawezekana, ishanitokea haikuwa kamati ya harusi bali ya hafla flani hivi, kaka mmoja alinibana mwanzo mwisho kunisaidia pale nilipozidiwa wakati yeye alikuwa kamati nyingine. Na alijitoa kweli kunisaidia maana kuna mahali ilifika nilichoka ila yeye alikava kila kitu. Siku ya hafla yenyewe hakuja na mkewe kwa sababu anazozijua mwenyewe kila mara alitaka kamera man atupige picha mimi na yeye kisingizio tumependeza kuliko wanakamati wote.

Kiutu uzima nilimuelewa sana, sema hakuwa na bahati.... siku hiyo sikuwa na nyegge kabisaa na sikuwa na upako wa kunywa mvinyo. Hivyo aliishia kupiga picha tuu na hafla ilivoisha mie yuleeeeeh nikamuacha akapambane na wife wake home hehehehehee.
 
Back
Top Bottom