Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 563
- 1,364
Wakuu mulibwanji? Jana mtu kapgwa kono la nyani. Kuna ndugu yng mtoto wa aunt yng mdada alikuwa uko kijijini aliomba aje town ajiendeleze mambo yake ya ufundi na salon maana ndo alikuwa anayapenda. Nilimkubalia na nikamtumia nauli from dom to mwanza. Alipofka tu wiki iliyofata akaanza kwenda uko kwny mafunzo gharama kwa mwezi pamoja na material ya kujifunzia ilifkia elfu 90 nikajbana sn ikiwemo na kustisha mambo yng bnafsi.
Nililipia miez 3 ambayo ni shs lak 270 amekwenda miez miwili wiki iliyopta nashangaa ananiambia anataka kurud nyumban nikamuliza tatzo nn akadai anaenda kulima nikamuliza ulipokuja uliwaaga home kwmb msimu wa kilimo ukfka utarud kulima akasema hpn nikamuliza au wamekuita home ukalime akasema hapana au kuna tatzo lolote hapa nyumban akasema hpn ila ye ameamua tu kwenda kulima.
Nikampgia mama ake kuliza kama wamemuita au kuna tatzo gn mama mtu akabaki anashangaa tu kwann mwanae anataka rud uko wkt alitegemea apate mafunzo apate kaz awe anamsaidia sa anarud kufanya nn. Bnafs simzuii kwenda ila knachoniuma ni pesa yng na mbaya zaidi analazmisha kuondoka kwa muda aliojpangia yan leo au kesho wkt nauli natoa mimi nlipomwambia asubiri nitafute nauli akawa mkali sn ananijbu kunya anasema niseme mpk lini tapata iyo nauli nikamwambia mambo ya utafutaji mi sjui inaweza kuwa baada ya wk au mwez au miez mi sjui ila nikpata tu takusafirisha haraka sn.
Akajbu kama vp ye apge cm nyumban kwao wamtafutie nauli nikamwambia huko kwenu nakujua hivi wanatoa wp iyo elf 50 kwa uharaka ivyo maisha ya kijijini kweli nimemkatalia hakuna kupga cm kuomba nauli mi tampa, sjawai mnyima ktu, sjawai mtongoza, sjawai mnyima uhuru wake mahtaji yote anapata hapa kwangu mpk vocha hakuna kaz za kufanya hapa ukzngatia anatoka asbh mpk jion kuanzia j3 mpk jmos wife nae yuko busy na biashara muda mwingi hayupo hapa kuanzia j3 mpk jpil hapa kwangu hakuna watoto zaid tuna mtoto mdogo wa mwaka 1 ambaye huwa anatoka na mama ake.
Pia wife wng ni mtu wa kwao huko wanafahamiana vzr wanapga sn story ni mashost wa kufa mtu wananunuliana mpk zawadi kwaiyo nimejiridhisha wife hajamletea shda kbs na hata jana tu walikuwa wanafuliana nguo huku wanapga story. Knachoniuma ni hela yng, pia nitoe tena nauli kwa mtu ambaye nilitegemea angekaa akatulia afanikiwe awasaidie na huko kwao, kngne ni namna alivyokuwa ananijbu dry mpk nilitaman kumpga wkt huo wife hakuwepo kwaiyo hata wife sjamwambia khs nduguye huyo nipo najiuliza maswali mengi sn huyu binti kapatwa na nini, je nichukue hatua gn mi nataka nimfanyie makusudi tu nimuweke hapa mpk january tu na wala huko kwny mafunzo asiende kama kuna bwana ake amemuita bs amtumie nauli kwao nimeshawambia namtafutia nauli japo nao hawatak arud kwan anaenda kufanya nini, naomben ushauri wenu wakuu....!
Nililipia miez 3 ambayo ni shs lak 270 amekwenda miez miwili wiki iliyopta nashangaa ananiambia anataka kurud nyumban nikamuliza tatzo nn akadai anaenda kulima nikamuliza ulipokuja uliwaaga home kwmb msimu wa kilimo ukfka utarud kulima akasema hpn nikamuliza au wamekuita home ukalime akasema hapana au kuna tatzo lolote hapa nyumban akasema hpn ila ye ameamua tu kwenda kulima.
Nikampgia mama ake kuliza kama wamemuita au kuna tatzo gn mama mtu akabaki anashangaa tu kwann mwanae anataka rud uko wkt alitegemea apate mafunzo apate kaz awe anamsaidia sa anarud kufanya nn. Bnafs simzuii kwenda ila knachoniuma ni pesa yng na mbaya zaidi analazmisha kuondoka kwa muda aliojpangia yan leo au kesho wkt nauli natoa mimi nlipomwambia asubiri nitafute nauli akawa mkali sn ananijbu kunya anasema niseme mpk lini tapata iyo nauli nikamwambia mambo ya utafutaji mi sjui inaweza kuwa baada ya wk au mwez au miez mi sjui ila nikpata tu takusafirisha haraka sn.
Akajbu kama vp ye apge cm nyumban kwao wamtafutie nauli nikamwambia huko kwenu nakujua hivi wanatoa wp iyo elf 50 kwa uharaka ivyo maisha ya kijijini kweli nimemkatalia hakuna kupga cm kuomba nauli mi tampa, sjawai mnyima ktu, sjawai mtongoza, sjawai mnyima uhuru wake mahtaji yote anapata hapa kwangu mpk vocha hakuna kaz za kufanya hapa ukzngatia anatoka asbh mpk jion kuanzia j3 mpk jmos wife nae yuko busy na biashara muda mwingi hayupo hapa kuanzia j3 mpk jpil hapa kwangu hakuna watoto zaid tuna mtoto mdogo wa mwaka 1 ambaye huwa anatoka na mama ake.
Pia wife wng ni mtu wa kwao huko wanafahamiana vzr wanapga sn story ni mashost wa kufa mtu wananunuliana mpk zawadi kwaiyo nimejiridhisha wife hajamletea shda kbs na hata jana tu walikuwa wanafuliana nguo huku wanapga story. Knachoniuma ni hela yng, pia nitoe tena nauli kwa mtu ambaye nilitegemea angekaa akatulia afanikiwe awasaidie na huko kwao, kngne ni namna alivyokuwa ananijbu dry mpk nilitaman kumpga wkt huo wife hakuwepo kwaiyo hata wife sjamwambia khs nduguye huyo nipo najiuliza maswali mengi sn huyu binti kapatwa na nini, je nichukue hatua gn mi nataka nimfanyie makusudi tu nimuweke hapa mpk january tu na wala huko kwny mafunzo asiende kama kuna bwana ake amemuita bs amtumie nauli kwao nimeshawambia namtafutia nauli japo nao hawatak arud kwan anaenda kufanya nini, naomben ushauri wenu wakuu....!