Wife ana makusudi sana aisee...!!!

Wife ana makusudi sana aisee...!!!

Mie nipo mpendwa, nawasoma tu waume wa siku hizi. Hope we hauko hivyo kaka yangu!!

Hahahaha, hizi ni hatua za makuzi tu mbona ???
Mtoto wa kiume akifika 21-25 anakuwa na uwezo wa kutafuta pesa na kufanya kazi sana,
Lakini ulimwengu wa mapenzi unakuwa bado mpya sana kwake tofauti na mtoto wa kike.
Ndiyo maana tunashauri kabla hujaingia kwenye mahusiano chukua muda kujiafanyia tathmini binafsi.
 
Yan hapa nipo kwenye harusi. Ameniweka na mdogo wa rafiki yake ni mzuri hatari. Yan binti mwenyewe ndo kwanza tumejuana hapa hapa.

Yeye yupo kwny kamati, so hajakaa akatulia. Amemwambia huyo binti ahakikishe nisiwe bored. Jamani jamani jamani. Daaaah...!!! Basi sawa. Ngoja niwe mpole tu aisee...!!!
Ulitaka akuache na dume mwenzio au.....
 
Yan hapa nipo kwenye harusi. Ameniweka na mdogo wa rafiki yake ni mzuri hatari. Yan binti mwenyewe ndo kwanza tumejuana hapa hapa.

Yeye yupo kwny kamati, so hajakaa akatulia. Amemwambia huyo binti ahakikishe nisiwe bored. Jamani jamani jamani. Daaaah...!!! Basi sawa. Ngoja niwe mpole tu aisee...!!!
Ebu tupia kapicha kake tumwone
 
Back
Top Bottom