Haya fanya kweliHapana siwachezei bali nawaambiaga ukweli na wao wanakuwa tayari ingawa kwa kutegemea labda nitabadilika
Sidhani kama tuaongelea fursa hapa maana fursa zipo nyingi sana ni suala la kuamua tu
Kutokana na umri naomba sana nipate busara za kuamua kuoa ndani ya miaka hii miwili (2018 na 2019)
Vipi mkuu kwa hyo ushajiandaa kuwa full bachelor au tayar we uko double..Wngne ni lifelong bachelors.mfano mzuri ni James Mattis.he only lives for his job... mi naamini hisia za kimapenzi ni 'nguvu' kama nguvu nyingine- unaweza ukai-focus elsewhere na ukaishi bila matatizo..of course kuna watu hasa hasa wanaume tunasemaga bila 'kunanihii' hujakamalika.its all a bunch of BS....wakina Nikola Tesla,Sir isaac newton waliishi vzuri tu.labda kina alan turing ndo walituangusha...
Unaonaje mkuu uvue tu ngozi ya kondoo ndani na nje...Binafsi nadhani niliumbwa kuwa single,maana nikijilinganisha na wenzangu aisee Nina nidhamu sana na kujali sana ninaokuwa nao ktk mahusiano lkn huishia kunitenda,wakati mijitu yenye tabia hovyo kabisa inaheshimiwa na kusikilizwa na wake zao,why me,nimeamua kukubali mm ni mwanaume niliyeumbwa kuwa single,labda sababu nilikuwa awali na ndoto za kuwa mtawa wa kiume,labda ile azma ndo inanitesa
NdioHata wewe...
Am here babe usipate shidaa..Currently i feel to love and to be loved.
Hope i gonna pick one with a bright future
Wapi sasaDaaah aiseee kumbe ur welcome..
Na utakufa mwenyewe...aisee mkuu mi nilizaliwa mwenyewe...
Nilishafanya hivyo lkn nmeamua kukaa single na watoto tu,acha wasome kwanza,japo usawa wangu kuna watu wanataka kuniondokea u single lkn siamini mtuPole itabidi ukatubu Kanisani.
Hamia kwa KENakatisha mahusiano kwasababu nimegundua wanaume wengi hawawez kukaa na mwanamke mmoja