EnheMmmh
I am single because i deserve better and i wont settle for less
hahaaa kweli aiseeeMungu anakuepusha na vizinga visivokuwa na sababu....tuliaa
hahaaaa aiseee hutaki stressI rather stay single than dating a bitch!
Ukiachana na kutegemewa, mimi mwenyewe bado napenda kuishi![]()
![]()
![]()
![]()
Jamani alisema kama utaulizwa hivo utajibu nn hahhahhaa me ndio nikajibu, siko single single single wii![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Baily njoo huku mdogo wangu.
Niko single sababu sijapata wa kuwa nae pamoja.
wanakuona ujuee ohooo,.

Jamani nahiai nilisoma vibaya mwanzo aliandika kama utaulizwa uko hivyo yapi yatakua majibu yako me siko single walaAaaah jamani madam S sio vizuri kumdangaya Kaka wa watu yaani ww uko single?
Sawa mkuu naona uko na mipango mizitoNiko single ..naninafurahia kuwa Hivi mpka pale wakati sahihi utakapo amua kuniletea mtu sahihi kwangu""
sipendi. purukushani za mahusiano mnoo
mapenzi nisehemu ya maisha tu..nasio kwamba nimaisha kamili..ukiachana na mapenzi bado kuna vitu vingi tu ambavyo mtu anaweza kuvishiriki navikampatia furaha
kwakweli nahuwa naona kuwa mapenzi yanaweza kuchangia kunitoa kwenye hiyo mipngoSawa mkuu naona uko na mipango mizito