mmh pole mwayaNiko single kwa kuwa mpenzi wangu wa kwanza,aliyekuja kuwa mke wangu baadae,alizalishwa mtoto wa pili na mtu mwingine.Ila aliamua kuanzisha ugomvi yeye mwenyewe baada ya kujishuku ingawa sijawahi kumwambia hadi leo kuhusu mtoto huyo.Watoto nawapenda sana na sitaki kuonesha kwamba yule mwingine ana baba tofauti na mimi.Ananitambua mimi kama baba yake,wala sijamwabia hata ndugu yangu mmoja.
Nimeamua kuishi single hadi leo.
Aisee pole sana mkuu pambanaNiko single kwa kuwa mpenzi wangu wa kwanza,aliyekuja kuwa mke wangu baadae,alizalishwa mtoto wa pili na mtu mwingine.Ila aliamua kuanzisha ugomvi yeye mwenyewe baada ya kujishuku ingawa sijawahi kumwambia hadi leo kuhusu mtoto huyo.Watoto nawapenda sana na sitaki kuonesha kwamba yule mwingine ana baba tofauti na mimi.Ananitambua mimi kama baba yake,wala sijamwabia hata ndugu yangu mmoja.
Nimeamua kuishi single hadi leo.
Kumbe fursa unayo acha kuchezea watoto wa watuNipo singo sababu mwanamke niliyempenda amenisaliti na nmeshindwa kupenda tena
Mda unazidi kwenda na natamani kuwa na mwenzi wangu wadogo zangu wote wameoa lakini naishia kuwagonga tu na kuenjoy sex kama Christian grey
Napambana mkuu, siunajua baada ya shela muda wowote mechi inachezwa bila songo mbingo,Nadhan huka yako kubwa ni kumvisha shela pambana mkuu
Ahahha shangaa eti kila mtu yupo single jf banaHivi wapenzi wenu wanajua mpo single humu? isiwe mnatuchuuza tu
Wengine wamejaza makontena hahaha alafu single...Ahahha shangaa eti kila mtu yupo single jf bana
Hata humu kuna watu wana tabia hiyo wanasema wapo single lakin wana mademu kibaoWengine wamejaza makontena hahaha alafu single...
Ndio tunawaonaa tuu...ndomana mapenzi yanadhidi kuwa magumu.Hata humu kuna watu wana tabia hiyo wanasema wapo single lakin wana mademu kibao
Pole itabidi ukatubu Kanisani.Binafsi nadhani niliumbwa kuwa single,maana nikijilinganisha na wenzangu aisee Nina nidhamu sana na kujali sana ninaokuwa nao ktk mahusiano lkn huishia kunitenda,wakati mijitu yenye tabia hovyo kabisa inaheshimiwa na kusikilizwa na wake zao,why me,nimeamua kukubali mm ni mwanaume niliyeumbwa kuwa single,labda sababu nilikuwa awali na ndoto za kuwa mtawa wa kiume,labda ile azma ndo inanitesa
B'COZ WATOTO WAZURI WOTE NAISHIA KUWAITA SHEMEJI.......View attachment 682905
Binafsi najihisi mwenye kukosa bahati. Pesa sio tatizo sana kwangu wakati mwingine najiona mimi ndo mwenye matatizo!
Nimepitia mahusiano kadhaa lakini hayafikii malengo. Sijui mungu amepanga nini juu yangu thus why niko single. Lakini mi mwanaume bado napambana..
Je, kwanini wewe uko single?!
Shikamoo kaka!B'COZ WATOTO WAZURI WOTE NAISHIA KUWAITA SHEMEJI.......
Hapana siwachezei bali nawaambiaga ukweli na wao wanakuwa tayari ingawa kwa kutegemea labda nitabadilikaKumbe fursa unayo acha kuchezea watoto wa watu