Because wanaume wanapenda papuchiBecause wanawake hawaaminiki
Ngoja nikuletee shida zangu usolveSijawahi kuwa single, its bandika bandua. Mahusiano ni mazuri, napenda changamoto, napenda kuwa na mtu anayeniletea shida and i get satisfied niki solve. Mahusiano ni njia rahisi ya kujua uwezo wako wakukabiliana na changamoto (of cause zakujitakia).
KARIBU (KWA CAPITAL LETTERS)Ngoja nikuletee shida zangu usolve
Daaaah aiseeeeMimi nipo single hata cjui kwa nini
Huwezi kua single alafu bdo ukajiona upo sawa na kauli zenu zile eti the best is yet to come Mara cjui, I deserve the best...jamani eeeh... tukubali kila m2 ypo tofauti so tunatakiwa kukubali kupokea na kutoa pia...ukipendwa na ww penda,ukikosea ukasamehewa na ww usiwe mgumu kusamehe.. tatizo la wengi wetu ni Ego hasa sisi wanaume
sababu sina hela.
Mimi nipo single kwasababu wanawake hawanitaki.
Because wanawake hawaaminiki
Sababu nna kibamia
Kila lakherKwa sababu niliumizwa sana na kila nikikumbuka moyo unaumia
Wapo waliojaribu kunituliza moyo lakini sikuweza kuwapa moyo wangu wakakata tamaa na kuondoka
wanasema time heals lakini kwangu haijawa hivyo
naamini ipo siku nitapata daktari wa kunitibu ugonjwa huu sugu
nakusubiri daktari sina haraka
Tell meLovely mum
Maajabu..