Why are you single?

Why are you single?

View attachment 682905

Binafsi najihisi mwenye kukosa bahati. Pesa sio tatizo sana kwangu wakati mwingine najiona mimi ndo mwenye matatizo!

Nimepitia mahusiano kadhaa lakini hayafikii malengo. Sijui mungu amepanga nini juu yangu thus why niko single. Lakini mi mwanaume bado napambana..

Je, kwanini wewe uko single?!
thus why= that is why
 
View attachment 682905

Binafsi najihisi mwenye kukosa bahati. Pesa sio tatizo sana kwangu wakati mwingine najiona mimi ndo mwenye matatizo!

Nimepitia mahusiano kadhaa lakini hayafikii malengo. Sijui mungu amepanga nini juu yangu thus why niko single. Lakini mi mwanaume bado napambana..

Je, kwanini wewe uko single?!
Yalinikuta yakunikuta mkuu..
Nna majuto na athari za kudumu ...
Hayanihitaji.....siyataki.
 
Binafsi nadhani niliumbwa kuwa single,maana nikijilinganisha na wenzangu aisee Nina nidhamu sana na kujali sana ninaokuwa nao ktk mahusiano lkn huishia kunitenda,wakati mijitu yenye tabia hovyo kabisa inaheshimiwa na kusikilizwa na wake zao,why me,nimeamua kukubali mm ni mwanaume niliyeumbwa kuwa single,labda sababu nilikuwa awali na ndoto za kuwa mtawa wa kiume,labda ile azma ndo inanitesa
Pole mkuu....
Hakuna azma ya kukutesa hapo hayo ni maamuzi na naamini yalichangiwa na vitu vingi. Huna haja ya kutubu maana huna kosa ......
Hii hali ukiikubali ujue tayari umeshatafuta tatizo jengine....nakwambia hivi kwa vile yameshanikuta....
Ikatae hali hiyo...jichanganye na watu na epuka sana kukaa peke yako...sijui jinsia yako ila jaribu kutia mkono kizani kuna siku utapata samaki au mkate sio tu uhofie kukamata nyoka au kushika jiwe !
Jiamini!
 
Pole mkuu....
Hakuna azma ya kukutesa hapo hayo ni maamuzi na naamini yalichangiwa na vitu vingi. Huna haja ya kutubu maana huna kosa ......
Hii hali ukiikubali ujue tayari umeshatafuta tatizo jengine....nakwambia hivi kwa vile yameshanikuta....
Ikatae hali hiyo...jichanganye na watu na epuka sana kukaa peke yako...sijui jinsia yako ila jaribu kutia mkono kizani kuna siku utapata samaki au mkate sio tu uhofie kukamata nyoka au kushika jiwe !
Jiamini!
Asante mkuu,najitahidi kujichanganya japo bado kuna mida najikuta najitenga,unajua sikutegemea km kuna siku ntaishi nnavyoishi maana ninapenda sana mahusiano na familia,
Najikaza na nnaendelea,mm ni mwanaume,japo kuwa nimebeba majukumu ya kulea wanangu nnaoishi nao km baba km mama maana sina namna, lkn ushauri wako umenitia nguvu mkuu
Barikiwa sana,
 
View attachment 682905

Binafsi najihisi mwenye kukosa bahati. Pesa sio tatizo sana kwangu wakati mwingine najiona mimi ndo mwenye matatizo!

Nimepitia mahusiano kadhaa lakini hayafikii malengo. Sijui mungu amepanga nini juu yangu thus why niko single. Lakini mi mwanaume bado napambana..

Je, kwanini wewe uko single?!
because I am ndo double?
 
Asante mkuu,najitahidi kujichanganya japo bado kuna mida najikuta najitenga,unajua sikutegemea km kuna siku ntaishi nnavyoishi maana ninapenda sana mahusiano na familia,
Najikaza na nnaendelea,mm ni mwanaume,japo kuwa nimebeba majukumu ya kulea wanangu nnaoishi nao km baba km mama maana sina namna, lkn ushauri wako umenitia nguvu mkuu
Barikiwa sana,
Asante mkuu kwa kupokea ushauri lkn naomba ujitahidi tena for the sake of your children's future pia....usiangalie kwako tu...side affect zipo tena ni tatizo endelevu...Mungu na akukidhie haja zako mkuu.... ila usihuzunike sn ni mapito tu hayo !
 
Asante mkuu kwa kupokea ushauri lkn naomba ujitahidi tena for the sake of your children's future pia....usiangalie kwako tu...side affect zipo tena ni tatizo endelevu...Mungu na akukidhie haja zako mkuu.... ila usihuzunike sn ni mapito tu hayo !
Amina
 
Back
Top Bottom