Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,183
Ni kibaraka anayetumika bila kujijua,ni toilet paper,mwache ajifanye kuwasafisha watu huku yeye akibaki na kinyesi
anataka aitwe machachari
Ni kibaraka anayetumika bila kujijua,ni toilet paper,mwache ajifanye kuwasafisha watu huku yeye akibaki na kinyesi
Ni diwani au Mbunge wa kuteuliwa kutoka Tanga?Demokrasia ya CCM ni ya kipekee duniani diwani wa Tanga kwenda kupiga kura Arusha bado wanasema ni haki yake kama si maajabu ya uwendawazimu ni nini.
Nimekuelewa Philemon,napenda watu wanaweza fanya analysis....umeona kitu wasichoona wengi,mfumo dume! ndo maana hata ukimwambia mwanaume anayekupenda unataka ufanye siasa anakuambia chagua mimi au siasa????Anyway,wapo walioharibu na watakaoendelea kuharibu na ndo maana tunaonekana malaya na watu wa kupewa hata kama tuna uwezo na tunastahili hizo nafasi.Thanks.
Michelle, hicho usemacho ni sahihi kwenye taasisi zingine sio CCM. Nimelelewa kwenye CCM na nakielewa hiki chama. Huwezi kuwa na mafanikio kupitia CCM kama huna sifa zifuatazo
1. Huna urafiki wa karibu au wa kifisadi na kiongozi yeyote wa ngazi za juu
2. Huna uhusiano wa kifamilia na kiongozi wa juu
3. Kwa wanawake, LAZIMA uwe na undugu na au mke wa mkubwa au uwe NYUMBA NDOGO au KIMADA. Katika hili nina uhakika na ndio ukweli. Sipingani na ukweli unaouhubiri lakini tukubali ukweli pia
Nimekupata Mzito,ila nilisema hii tendency ya kusema hivi kuhusu wanawake haipo tu kwa CCM bali hata maofisini na vyuoni mtu ukiwa kiongozi au ukipanda cheo wanasema hivyo.From CCM perspective that is very true.
Ni diwani au Mbunge wa kuteuliwa kutoka Tanga?
Katika vitu vinakera ni pale mnapojadili mapungufu ya kiutendaji ya mtu kwa misingi ya jinsia.....Mi ningetegemea ajadiliwe kutokana na elimu,experience,uwezo wake wa kufikiri,exposure yake etc na hata tamaduni za chama chake na yeye mwenyewe.Kila mwanamke akikosea,eti chakula ya wakubwa,aliwaambia nani kuwa chakula ya wakubwa inapunguza ufanisi wa mtu wa kufanya maamuzi na kufikiri.........Mi naweza msema Mbowe kwenye jambo nikamlinganisha na mahusiano yake na wanawake???These are what we call cheap arguments za great thinkers,hao mnaosema ni chakula yao ndo waliomtuma na ndo mlipaswa muwajadili si yeye ambaye kabisa ukimsikiliza unaona katumwa. You can as well insult me,i care less...nimetoa maoni yangu.....ndo yale yale ya CCM eti HM eti msagaji,so what hata angekuwa,alishashindwa kutimiza wajibu wake akawa anasagana 24hrs au anatafuta watu wa kusagana nao 24hrs au anajadili usagaji ulivyo mzuri 24hrs?????
Katika vitu vinakera ni pale mnapojadili mapungufu ya kiutendaji ya mtu kwa misingi ya jinsia.....Mi ningetegemea ajadiliwe kutokana na elimu,experience,uwezo wake wa kufikiri,exposure yake etc na hata tamaduni za chama chake na yeye mwenyewe.Kila mwanamke akikosea,eti chakula ya wakubwa,aliwaambia nani kuwa chakula ya wakubwa inapunguza ufanisi wa mtu wa kufanya maamuzi na kufikiri.........Mi naweza msema Mbowe kwenye jambo nikamlinganisha na mahusiano yake na wanawake???These are what we call cheap arguments za great thinkers,hao mnaosema ni chakula yao ndo waliomtuma na ndo mlipaswa muwajadili si yeye ambaye kabisa ukimsikiliza unaona katumwa. You can as well insult me,i care less...nimetoa maoni yangu.....ndo yale yale ya CCM eti HM eti msagaji,so what hata angekuwa,alishashindwa kutimiza wajibu wake akawa anasagana 24hrs au anatafuta watu wa kusagana nao 24hrs au anajadili usagaji ulivyo mzuri 24hrs?????
dada michelle,unayozungumza ni kweli ilibidi tumsasambue huyo mama kwa ufinyu wake wa mawazo bila kugusia suala la mahusiano yake na vigogo,ila kikubwa nnachotaka kukuambia mara nyingi watu wa dazaini yake(Mary Chitanda) huwa wanashindwa kuendelea na kile walichopewa na wakuu na badala yake huwa wanataka Vimba kichwa na kujitutumua waonekane wao na wao eti tu watakingiwa kifua,by the tusamehewe wa Afrika kwa mfumo dume,ila wanawake wa dzaini ya mtajwa hapo juu wanaweza wanyima wenzao wa jinsia yao nafasi ya kupewa madaraka kwa madudu wanayoyafanya otherwise if everithing remain ceteris peribus wanawake wanuwezo sawa na wanaume kiutendaji.
whether you like or Not uhusiano wa kimapenzi unaathiri utendaji usitake kujitetea hapa, kama unadhani utani jaribu.
naona thread inakwenda siko.
issue hapa ni mary chitanda msianze
ligi nyingine tafadhali. ni ushauri tu
Katika vitu vinakera ni pale mnapojadili mapungufu ya kiutendaji ya mtu kwa misingi ya jinsia.....Mi ningetegemea ajadiliwe kutokana na elimu,experience,uwezo wake wa kufikiri,exposure yake etc na hata tamaduni za chama chake na yeye mwenyewe.Kila mwanamke akikosea,eti chakula ya wakubwa,aliwaambia nani kuwa chakula ya wakubwa inapunguza ufanisi wa mtu wa kufanya maamuzi na kufikiri.........Mi naweza msema Mbowe kwenye jambo nikamlinganisha na mahusiano yake na wanawake???These are what we call cheap arguments za great thinkers,hao mnaosema ni chakula yao ndo waliomtuma na ndo mlipaswa muwajadili si yeye ambaye kabisa ukimsikiliza unaona katumwa. You can as well insult me,i care less...nimetoa maoni yangu.....ndo yale yale ya CCM eti HM eti msagaji,so what hata angekuwa,alishashindwa kutimiza wajibu wake akawa anasagana 24hrs au anatafuta watu wa kusagana nao 24hrs au anajadili usagaji ulivyo mzuri 24hrs?????
Wewe nae nakuona ni hao hao... kinachifikisha suala hili lijadiliwe na wanajamvi kwa mtazamo huo ni
1. EXTRA CONFIDENECE aliyonayo kulingana na hali iliyopo, kwa kuwa hakuwahi kuwa na fursa ya kujibu mjadalka mzito kama uliopo.
2.Mfumo wa ki CCM unaoweza kumfanya HATA mtu sitye na uwezo KUJIBU hata jambo LILILO NJE YA UWEZO WAKE.
3. Hali halisi ya YEYE KUWAKUILISHA KAMA DIWANI kwa kupitia ubunge wa kuteuliwa mkoa wa mwanza.(lifikilie ili kwa undani zaidi)
Ha ha ha ha ha ha kama mama yako alivyokuwa chakula ya mtu fulani ndivyo nilivyo mimi,kuna shida gani kuwa chakula ya mtu??mimi ni mwanamke na niliumbwa kuwa na uhusiano na mwanaume,mbona Rose Kamili ni chakula ya Dr Slaa..........tofauti na anavyoweza kuwa mama yako na dada zako,mimi ninae wangu mwenyewe anayenipenda na kunijali na kuniheshimu na hanitumi kwenye mambo ya kipuuzi kwa kuwa anajali heshima yangu mbele ya jamii si kama huyo uliyenilinganisha nae.na hana kiherehere kama chako cha urithi.Bug off,uzabinazabina wapelekee ******* wenzio.