MkimbizwaMbio
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 868
- 331
Wewe nae nakuona ni hao hao... kinachifikisha suala hili lijadiliwe na wanajamvi kwa mtazamo huo ni
1. EXTRA CONFIDENECE aliyonayo kulingana na hali iliyopo, kwa kuwa hakuwahi kuwa na fursa ya kujibu mjadalka mzito kama uliopo.
2.Mfumo wa ki CCM unaoweza kumfanya HATA mtu sitye na uwezo KUJIBU hata jambo LILILO NJE YA UWEZO WAKE.
3. Hali halisi ya YEYE KUWAKUILISHA KAMA DIWANI kwa kupitia ubunge wa kuteuliwa mkoa wa mwanza.(lifikilie ili kwa undani zaidi)
Ha ha ha ha ha ha kama mama yako alivyokuwa chakula ya mtu fulani ndivyo nilivyo mimi,kuna shida gani kuwa chakula ya mtu??mimi ni mwanamke na niliumbwa kuwa na uhusiano na mwanaume,mbona Rose Kamili ni chakula ya Dr Slaa..........tofauti na anavyoweza kuwa mama yako na dada zako,mimi ninae wangu mwenyewe anayenipenda na kunijali na kuniheshimu na hanitumi kwenye mambo ya kipuuzi kwa kuwa anajali heshima yangu mbele ya jamii si kama huyo uliyenilinganisha nae.na hana kiherehere kama chako cha urithi.Bug off,uzabinazabina wapelekee ******* wenzio.
Dada nilikuona mstaarabu. Mbona na wewe umeanza kuchemka?
Kunywa maji upunguze Munkari.
Cha msingi anza kuhamasisha viti maalumu vifutwe na nafasi a upendeleo ziondolewe. Zinawadhalilisha sana