Inawezekana dada yako au hata mama yako alishajaribu ndo maana wataka na mimi nikajaribu,hapana! tumetofautiana sana,mi Mwenyenzi Mungu kanipa uwezo wa kufikiri na kufanya maamuzi sahihi,zaidi kanipa elimu na kazi nzuri sina sababu ya kujaribu kuwa malaya manake hata kwake sitakuwa na la kujibu safari yangu duniani ikiisha. Sijakuomba ushauri na sijitetei kwakuwa Jamii forums si baba yangu wala mama,wala mume wala Mungu........ni sehemu ambayo niko kwa ajili ya kubadilishana mawazo,kujifunza,kupokea taarifa na kutoa maoni yangu kwa kile nachofikiri.Wape ushauri wanaotaka,si mimi,nikiomba waweza toa.......
Neno la Mungu linasema wote tumepungukiwa na utukufu wa Mungu,am not exceptional because of a single post at JF and i will never be.Nimeshasema samahani na hilo pia Mungu ameliona. Tofauti na wewe I hate nobody na Mungu anisaidie,and i think you should seek forgiveness for hating wanadamu ambao wote tuna mapungufu! and you should be fair,kwakuwa yupo aliyenitukana kabla,sikuanza tu kusema hayo hapo juu ila kwa kuwa mimi ni mwanamke,mbele za Mungu tu sawa.
Unajua hata kuomba msamaha ni ujasiri, nafurahi kwa kuelewa hivyo, but leo JF imekosea the above quote u replied is not mine, i hate nobody.
Who is Mary Chitanda????????
kama unakili kwamba uwezo wake ni mdogo unadhani nini kimemfikisha hapo alipo? mbona hatujakusema wewe? kila mmoja anapewa haki yake regardless kwamba ni mama au baba. Ndio sababu anasenwa na makamba pia kwani yeye ni demu pia?!
"Tarehe 10.12.2010 CHADEMA wenyewe walimwandikia barua Mwanasheria Mkuu wa serikali kuomba ufafanuzi wa kisheria kuhusu wajumbe wa halmashauri kisheria na katika majibu yake kupitia barua yenye kumbukumbu na. JC-A.130-74 ya 16.12.2010 aliwapa ufafanuzi kuwa ni maamuzi ya chama husika kuamua mbunge wake wa viti maalumu atawajibika halmashauri ipi.
"Na hii waliuliza baada ya wao CHADEMA kuamua wabunge wake wawili, Bi. Grace Kiwelu na Bi. Lucy Owenya wawakilishe Halmashauri ya Hai na Mkurugenzi wa Wilaya hiyo kuwakatalia, lakini baada ya ufafanuzi huo wale wabunge waliruhusiwa,
Alisema kwa mujibu wa sura ya 287 ya kifungu cha 35 1 D wabunge wa viti maalumu wanatokana na idadi ya kura za chama husika, lakini ni wapi wafanye kazi zao ni uamuzi wa mamlaka husika ya chama kilichowateua na kutoa mfano kuwa kwa upande wa CHADEMA kazi hiyo hufanywa na Kamati Kuu.
Fuatilia hilo then tunaweza endelea jadili.