Who is Benson Bana?

hehehe... chadema kazi mnayo, kila mtu kwenu hayupo sawa.. unless awe chadema
 
It doesn't cost if you keep quite when you know nothing. Watu wanaoshabikia ujinga wa Bana na CCm ni zaidi ya wapumbavu. Ukweli halisi kwa ccm ni tete. Believe me nimetoka kijijini si zaidi ya wiki moja iliyopita. watu wamebadilika hata wale wasiotarajiwa. CCM wauzoee ukweli huu na wajiandae kuondoka.
 
hehehe... chadema kazi mnayo, kila mtu kwenu hayupo sawa.. unless awe chadema

Njiwa,hiyo siyo kweli!Kinacholalamikiwa hapa siyo Dr Bana,bali ni namna alivyofanya utafiti wake!Utafiti alioufanya unamapungufu makubwa kulingana na vigezo vya kufanya utafiti!sasa na wewe kama unaamini alikuwa sahihi unatakiwa kutoa hoja ambazo zitaonyesha ni kwa namna gani Dr Bana alikuwa sahihi katika utafiti alioufanya kwa kuzingatia vigezo vinavyopaswa kutumika!Neno Chadema linatoka wapi?Acha kujichangana na Kuiota chadema kama mnyama anayetisha!jaribu kujenja hoja!
 
Who is Benson Bana...
Kwa nje namuona kama kinara mpya wa wahadhiri vibaraka Tanzania...

Anayetafuta vyeo kwa kuidhalilisha taaluma yake...

Anayewatii mabwana zake kwa kudhalilisha tasnia nzima ya utafiti Tanzania...

Msomi bandia, anayedhililisha demokrasia Tanzania...

Kwa wale wanaomfahamu zaidi tabia na Historia yake, naomba wamuelezee "Dk." Benson Bana...



Chadema kazi mnayo kweli kweli. Kila mtu anayekwenda kinyume na nyie ni kibaraka.

Ni ufinyu wa mawazo kumuita Dk. Bana ni kibaraka na msomi bandia kwa kuwa tu eti taasisi anayoiongoza ya REDET haijasema kuwa Dk. Slaa atakuwa Rais.

Kwenu Professa baregu ndio wa maana na msomi kwa kuwa tu yeye ni mwana-CHADEMA.

Mimi siku zote nawaambia ndiyo maana CHADEMA haiwezi kuongoza nchio hii milele. Kamwe CHADEMA haitaweza kushika madaraka ya nchi hii. Ipo siku CCM inaweza kuondolewa madarakani lakini siyo na CHADEMA. Upinzani wa kweli utatoka CCM.
 
Believe me nimetoka kijijini si zaidi ya wiki moja iliyopita. watu wamebadilika hata wale wasiotarajiwa. CCM wauzoee ukweli huu na wajiandae kuondoka.

Bila shaka ulitoka kijiji kimoja pale Karatu alipozaliwa Slaa.
 
utafiti ule umefanywa kwa watu 2500 tu kwa hiyo siyo sample nzuri bana hajui statistics, na data compilation inabidi akasome jinsi ya kuandaa mean{harmonic,weighted,geometric na average mean} then ndio arudi na REDET yake

Kwakweli nimevutiwa na hoja uliyotoa ya kisomi kwelikweli, mimi ni nimevutiwa na mada hii inavyo endeshwa katika media na vijiwe mbalimbali sasa mtaaala hivi ili sample isiwe bias ilitakuwa jamaa watumie sample size kiasi gani?
 
Mimi simshangai Bana wala swahiba wake Mukandala. Labda mtaniona mkabila lakini kabila lao hawa jamaa ndivyo walivyo. Nimesoma nao sekondari na vyuoni, nimekuwa nao JKT, baadhi yao ni marafiki zangu wakubwa, naishi na kunywa nao mitaani, nilikaribia kuoa kule, nimefanya nao kazi,.....Hivyo ndivyo walivyo. Ni watu kujipendekeza, wanafiki kwa sana, wambea sana tu, hawana vifua na wako tayari kulisema lolote wanaloona litakuwa na manufaa kwao.
 
Mimi simshangai Bana wala swahiba wake Mukandala. Labda mtaniona mkabila lakini kabila lao hawa jamaa ndivyo walivyo. Nimesoma nao sekondari na vyuoni, nimekuwa nao JKT, baadhi yao ni marafiki zangu wakubwa, naishi na kunywa nao mitaani, nilikaribia kuoa kule, nimefanya nao kazi,.....Hivyo ndivyo walivyo. Ni watu kujipendekeza, wanafiki kwa sana, wambea sana tu, hawana vifua na wako tayari kulisema lolote wanaloona litakuwa na manufaa kwao.

WildCard:

Huwezi kuwa na rafiki mkubwa ambaye wakati huohuo ni mnafiki na mbea sana! Labda ulikuwa na maana nyingine!

Pia haya maneno uliyotumia "hawa jamaa ndivyo walivyo" ni too general to be true (nimekosa neno la kiswahili sahihi)!
 
WildCard:

Huwezi kuwa na rafiki mkubwa ambaye wakati huohuo ni mnafiki na mbea sana! Labda ulikuwa na maana nyingine!

Pia haya maneno uliyotumia "hawa jamaa ndivyo walivyo" ni too general to be true (nimekosa neno la kiswahili sahihi)!
Baba_Enock,
Ukishamjua mtu anaweza akawa rafiki yako mkubwa tu pamoja na mapungufu yake. Unachukua tu tahadhari za kutosha. Tunao na ni lazima tuishi nao. Tunaishi na magonjwa ya ajabu, hatuwezi kushindwa kuishi na kuwa marafiki na hawa jamaa. Tuwe wakweli tu kwenye nafsi zetu. Hawa jamaa ndivyo walivyo. Nakubali kusahihishwa kama wapo wachache ambao hawako hivo. Kwa niliowakwaza wanisamehe.
 
Mimi simshangai Bana wala swahiba wake Mukandala. Labda mtaniona mkabila lakini kabila lao hawa jamaa ndivyo walivyo. Nimesoma nao sekondari na vyuoni, nimekuwa nao JKT, baadhi yao ni marafiki zangu wakubwa, naishi na kunywa nao mitaani, nilikaribia kuoa kule, nimefanya nao kazi,.....Hivyo ndivyo walivyo. Ni watu kujipendekeza, wanafiki kwa sana, wambea sana tu, hawana vifua na wako tayari kulisema lolote wanaloona litakuwa na manufaa kwao.

WilCard, sikubaliani na hii generalization. Nina uhakika hata wewe huwezi kutoa sifa kama hizo kwa watu kama Prof. Baregu, Dr. Lwaitama, Prince Bagenda, nk.
 
Huyu Bana wa REDET sample yake bomu na hawa wa SYNOVATE nao pia hawaaminiki au sample yao nisawa na ya REDET?
 
WilCard, sikubaliani na hii generalization. Nina uhakika hata wewe huwezi kutoa sifa kama hizo kwa watu kama Prof. Baregu, Dr. Lwaitama, Prince Bagenda, nk.
Chunguza tu kauli, misimamo na matendo yao mmoja baada ya mwingine. Umekisoma kile kitabu cha Prince Bagenda juu ya JK?
 
Who is Benson Bana...
Kwa nje namuona kama kinara mpya wa wahadhiri vibaraka Tanzania...

Anayetafuta vyeo kwa kuidhalilisha taaluma yake...

Anayewatii mabwana zake kwa kudhalilisha tasnia nzima ya utafiti Tanzania...

Msomi bandia, anayedhililisha demokrasia Tanzania...

Kwa wale wanaomfahamu zaidi tabia na Historia yake, naomba wamuelezee "Dk." Benson Bana...



Chadema kazi mnayo kweli kweli. Kila mtu anayekwenda kinyume na nyie ni kibaraka.

Ni ufinyu wa mawazo kumuita Dk. Bana ni kibaraka na msomi bandia kwa kuwa tu eti taasisi anayoiongoza ya REDET haijasema kuwa Dk. Slaa atakuwa Rais.

Kwenu Professa baregu ndio wa maana na msomi kwa kuwa tu yeye ni mwana-CHADEMA.

Mimi siku zote nawaambia ndiyo maana CHADEMA haiwezi kuongoza nchio hii milele. Kamwe CHADEMA haitaweza kushika madaraka ya nchi hii. Ipo siku CCM inaweza kuondolewa madarakani lakini siyo na CHADEMA. Upinzani wa kweli utatoka CCM.

Walioko Chadema wametoka wapi KANU..?
 
Mwita sample ya 2500 ni sample nzuri tu na ndo inayotumika na researchers wengi wanaotaka kujua 'nationwide agenda'...kwenye research unaruhusiwa kuchukua sample ya 5-10% ya popn. Hiyo walochukua ni approximately 6% so its allowed kisomi na sampling method walotumia pia concures with research methodology. Point to urgue labda hawaja-report data za ukweli..
A%20S%2013.gif


From my Kayumba math, watu 2600 kati ya mil. 30+ ni kama 0.0086666666666666666666666666666667%.
Hardly a good sample. 6% kulingana na mwalimu wangu wa hesabu za asilimia inapaswa kuwa watu milion 1.8
 
Baba yake alikuwa na wake wanne(bana),na wote aliishi nao nyumba moja.ndiyo maana akaitwa jina la utani bana.nadhani ameathirika kisaikolojia kutokana na mambo ya kupiga chabo
 
Yah wengi wanahasira. Hebu jamani tuseme ukweli kabisa;
1. Ili watu turidhike na matokeo na kupunguza margin of error tunahitaji sample size ya kiasi gani?
Ni kweli sample size inavyokuwa ndogo zaidi margin of error inakuwa kubwa.
2. Hiyo sample tunayoipigia kelele hapa tunataka ichukuliwe wapi na kwa design gani?
3. Research nyingi pia zinaathiriwa na muda na financing. Hili limekaaje?
Maana watu tunalalamika lakini hatuna soln.
Kuna mhe. mmoja amesema at least 6% percent. Kwa kuwa mimi siyo statician na kwa sababu hawakusema wanahoji wapiga kura bali wanachi, tunajua kuwa watanzania tuko kama Mil 30+. Kwa mahesabu ya haraka ni kama watu Mil. 1.8
Upo hapo?
 
Hivi mtu anawezaje kuwa Lecturer of the most prestigious university in the country wakati hana hata ka-'karatasi' walau kamoja kwene journal za kimataifa? Huu si ndio uchuro?
 
Hivi mtu anawezaje kuwa Lecturer of the most prestigious university in the country wakati hana hata ka-'karatasi' walau kamoja kwene journal za kimataifa? Huu si ndio uchuro?

Natumaini swali lako halimlengi Benson Bana. Fungua ukurasa wa google scholar kisha utafute kwa kutumia jina la Benson Bana utaziona kazi na machapisho yake katika international peer reviewed journals.

Lakini bado sikubaliani na utafiti wake wa kichakachuaji alioutoa kwenye hiyo REDET yake, hauna hata chembe ya sayansi ndani yake. Hata kama ni "kumtumikia kafiri upate mradi wako", naona hapa Dr Bana ameamua kuwa kafiri kabisa wa kitaaluma.
 
Natumaini swali lako halimlengi Benson Bana. Fungua ukurasa wa google scholar kisha utafute kwa kutumia jina la Benson Bana utaziona kazi na machapisho yake katika international peer reviewed journals.

Lakini bado sikubaliani na utafiti wake wa kichakachuaji alioutoa kwenye hiyo REDET yake, hauna hata chembe ya sayansi ndani yake. Hata kama ni "kumtumikia kafiri upate mradi wako", naona hapa Dr Bana ameamua kuwa kafiri kabisa wa kitaaluma.

Dr.Kithuku,

Of course nazungumzia in general lakini at the same time namzungumzia Bana. Leo nimeisoma hii CV ya bana nikakumbuka hili. Ukiangalia CV yake anasema alianza kuwa lecturer 2004 wakati hako ka pepa kake ka ngama kamekubalika 2006. Hivyo unaona kwamba timeframe zinapishana big time. Na hii sio issue ya huyu tu, kuna watu nawafahamu kwa majina ambao walienda kuwa malecturer UD wakati hawana publication ya kimataifa..its a fact.
 
Back
Top Bottom