Who is Benson Bana?

Who is Benson Bana?

Naona mnaniacha hoi, kwani mkwere si mtanzania? je anatofautiana vipi na mchagga, mhaya, mmakonde, mfipa, au mzaramo?
Nadhani hapa tunachanganya madarasa, au inamaanisha CCM ni ya wakwere siku hizi? :A S 13:

Kuna ile hoja nyingine iliwadhalilisha akinamamam baada ya mama mary kuchemsha kule Arusha...na watu wakawa wanasema ati wanawake ndivyo walivyo na viongozi wote wa kike wanakuwa wanapewa hizo nyadhifa kwa kiaina aina au (kulala na wakubwa?) vipi sijui.

Nadhani hii ni dhana potofu na haileti maana yeyote katika majadiliano ya ki mantiki! Huu ndiyo unakuwa unyanyasaji wa ki jinsia na kikabila ambao hautatusaidia watanzania hata kidogo!

Ninauhakika kuwa ugumu wa maisha ni wa watanzania wote katika kona zote za taifa, na tunapoanza kuelekezea lawama kabila au jinsia moja hapo ndo tunapoteza mwelekeo na kamwe hatutapata tunachikitaka yaani ukombozi wa mtanzania na kuleta ushindani wa kweli kisiasa!

Aluta!
 
Huyu kiukweli ni dk ila mfumo umeshamharibu. Hata kina dk kitila, mvungi n.k wangekuwepo ccm si ajab tungewashangaa
Huyo ndugu kwenye red yuko sawa sawa ki misimamo na Zitto Kabwe ambaye mimi namwona kisiasa ni kwishney! So kwangu Mimi Kitila sio mwana mageuzi.....anatafuta mkate wake kwa style ile ile ya kina Zitto
 
Mwita sample ya 2500 ni sample nzuri tu na ndo inayotumika na researchers wengi wanaotaka kujua 'nationwide agenda'...kwenye research unaruhusiwa kuchukua sample ya 5-10% ya popn. Hiyo walochukua ni approximately 6% so its allowed kisomi na sampling method walotumia pia concures with research methodology. Point to urgue labda hawaja-report data za ukweli..

what is the margin of error kwenye hii sampling, from 71% to 61% this is shame !!!, huu sio utafiti, ni uchakachuaji
 
Benson Bana PhD, ni mhadhiri na mwalimu aliyenifundisha Political Science/Public Administration UDSM, ni mwenyekiti mwenza wa REDET pia ni mshauri wa Rais ktk mambo ya siasa.. Kama binadamu ANAMAPUNGUFU YAKE!
 
Regia Mtema alisema kuwa siku hizi huwezi tofautisha mtu mwenye Phd na fist Degree wote thinking capacity yao ni sawa tu alikuwa anaamanisha wasomi kama hawa akina Bana,wabunge wa ccm wakaomba mwongozo upuuzi tu
 
Benson Bana PhD, ni mhadhiri na mwalimu aliyenifundisha Political Science/Public Administration UDSM, ni mwenyekiti mwenza wa REDET pia ni mshauri wa Rais ktk mambo ya siasa.. Kama binadamu ANAMAPUNGUFU YAKE!

Dah Mkuu una moyo, wenzio tulikuwa tunaogopa kujtambulisha kwamba tumefundishwa na huyo jamaa. Anyway tatizo lake ni lile la wasomi wetu wengi kukubali kulamba miguu ya watawala. Huyu jamaa kanifundisha kozi 4 pale UDSM. Tatizo lake ni upopo, mara atchukua msimamo huu mara ule kitu ambacho ni hatari sana kwa mwanataaluma. Yupo na mwingine DR NDUMBARO ambaye kahamishiwa ikulu kabisa baada ya kazi nzuri ya REDET pale UD naye ana matatizo hayohayo bila kumsahau Prof.Mkandambili (VC)
 
binadamu tunabadilika sana, mimi nimefundishwa na Dr. Bana, ni mwalimu mzuri sana, haya yanayotokea sasa ni matokeo ya pesa na mapendo ya madaraka

Kweli kbs kaka me alinifundisha public administration in tanzania nikiwa mwaka wa pili. Ingawa jamaa alikua na tabia ya kujikomba kwa mukandala mana full tym alikua anamsifia tu,ila ni mwalimu mzuri sana aise,me naweza kusema hapa ktk department ya pspa yeye ni among top 5 lecturers mana akikufundisha lazima utaelewa tu unlyk pple lyk mukandala na prof baregu
 
Kweli kbs kaka me alinifundisha public administration in tanzania nikiwa mwaka wa pili. Ingawa jamaa alikua na tabia ya kujikomba kwa mukandala mana full tym alikua anamsifia tu,ila ni mwalimu mzuri sana aise,me naweza kusema hapa ktk department ya pspa yeye ni among top 5 lecturers mana akikufundisha lazima utaelewa tu unlyk pple lyk mukandala na prof baregu

Mwalimu wa shule ya msingi yule bwana,anaandika ubaoni utaadhani anafundisha form one. but ni Mwalimu mzuri hana ule uchoyo wa KiPSPA
 
Hii picha inamaanisha nini? ni mgojwa au usafiri wa kawaida

Mkuu sijui kama its matter. Kama ni mgonjwa sidhani maumivu yatakuwa nafuu. Kama ni usafiri this is not 21st services. Tofauti kubwa hapa chini.
images
 
BOB marley aliwahi kuimba "emancipate yourself from mental slavery.........." benson bana bado yupo kwenye mental slavery hana idea za kisomi anapelekwa pelekwa na wanasiasa ka mlevi but sio yeye tu ni REDET yote including R S MUKANDALA.
 
anabahati kwenye CV yake hajaweka referees, bila shaka Kwenye Cv Zake zingine utakuta prof. Mukandara, J.k kikwete, Kinana, Yusuph Makamba ndo referees wake!!! sasa wapi na wapi REDET iwe independent??????



Hapo kwemye Italic hapo,mbona umewahi ku-conclude bila ya kuwaona hao uliokuwa ukiwatarajia.Hii kisheria tunasema "malice aforethought".Being intellectuals ebu tusiongozwe na dhana tujaribu kuwa rational and realistics katika argument zetu ili kusudi tusipotoshe jamii.Sampling iliyofanyika katika siasa inakubalika kama inapingwa ebu tupate uhalisia "kikwete" ama "silaa/Lipumba" mihandhara yao je ilipata kuhudhuriwa na 42m ama 21m ya watanzania?kama sivyo ilikuwaje mmoja aamini kuwa kamshinda mwenzie?
 
Oups, sampling! naona alienda kwenye makao makuu ya chama na ndio aka comeup no hizi results zake! au kama siyo hivyo alifanya kwa familia za viongozi!
 
benson bana ni jamaa aliyeenda shule mpaka PhD ila hakusoma na kama alisoma ameisahau hiyo shule kwa haraka mnoo.

ANAPENDA SANA UKUU na anatamani sana ukuu anamwonea wivu hata salma kikwete na YUKOTAYARI KUPORA NAFASI YA SALMA kitandani ilimradi anaahidiwa cheo
 
Wana jamvi huyu Benson Bana amekuwa akiipigia debe ccm chini ya utawala wa rais jk akitegemea kupewa angalau ukuu wa wilaya au ukuu wa mkoa, matokeo yake hadi sasa jk siku zake za kukaa ikulu zimebaki chini ya 350.Nampa pole jamaa huyu ndumila kuwili Bana Benson.
 
Siku zilizobaki bado ni nyingi sana. Mkapa aliwahi kumteua mtu saa za majeruhi
 
Back
Top Bottom