Who is Benson Bana?

Who is Benson Bana?

Dk Burner sorry Bwana, jamani huu ulimi, Dk Bana ni watchdog wa thithiemu! Ni mtu alieamua kuidhalilisha taaluma yake, kweli kusoma kwingi huuchosha mwili, afadhali Dk Killian alikua anasoma matokeo yale kwa kutetemeka na kujitetea kua wao walifanya march ambapo Dk WA UKWELI alikua bado kupendekezwa kiti cha urais
 
Duh!
jamaa wameinajisi taaluma ya uhadhiri..
Yaani ni kilio na maombolezo kwa wanataaluma wengine wanaojitahidi walau kuwa makini katika kazi zao kwenye mazingira yetu Tanzania.
 
mh, Bana anahitaji msaada wa haraka kwenye uhandishi wa CV........

Hana cha ziada kuandika..yaani ni aibu anayejidai mwanazuoni anazeeka akiwa na publication 1 in decades. Nia aibu kwa kweli, kwa umri wake alitakiwa kupanda rank toka Dr na kuwa walau Associate Professor kama siyo full Professor. Yaani huyu ni kilaza wa kutupwa na hivyo sasa amekuwa kuwa opportunist ili agange njaa..period!
 
Kumbe mtu mwenyewe elimu yake msingi amesoma kwenye shule ya walemavu wakusikia(viziwi) kwenye shule ya Mugeza (School for the Deaf)
mwaka 1969 na hii shule imefunguliwa na kanisa miaka ya 1980, wakati yeye anasema amemalizia hapo masomo ya shule ya msingi,hapa nimepata shida kidogo kuelewa..

Naomba msome hii CV yake na msome na historia ya hii shule ya Mugeza,link yake hii hapa chini

Mugeza School for the Deaf



nakacho jiuliza huyu bw ni kiziwi? na kama siyo aliweza vipi kusoma shule ya viziwi?
 
Dr Bana amevuliwa nguo... lakini tumpongeze kwani historia yake inaonyesha amepitia mengi sana!!! Nasikitika sana kwamba Dr. Bana ameshindwa kufuata ushauri na kumuenzi aliyemleta mjini....

I wish jamaa angeenda tena kujifunza kutoka kwa Baregu
 
Zamani tulikuwa tunajua Chuo kikuu ni mahali wanapopatikana watu walioshiba hekima na busara yaani wanafanya vitu baada ya kusoma vitu vingi. Sasa pamegeuka mahali pa waganga njaa. Hivi wale waliomgomea mwinyi wakati ule wa cost sharering wako wapi siku hizi.

Nakubali ndugu yangu,
Kwa taarifa yako hakuna mtu anayependa kulamba miguu ya watawala kama wanazuoni wa vyuo vikuu katika nchi zetu maskini. Wanawaogopa watawala kiasi ambacho hakina mfano. Mashaka yangu yaliondolewa na mmoja wao ambaye katika kesi ya Mgombea Binafsi alitetea upupu wa serikali. Katika mkutano wetu mmoja pale Bwagamoyo mwaka 2005 alisema kuwa yeye "hana jimbo la kisiasa bali jimbo lake tumbo" Matendo yake yote yameegemea kulindwa maslahi ya watu wanaoidhoofisha na kuihujum nchi yetu. Hivyo kauli za Bana na wenzake wa REDET ni ushahidi mwingine wa njama kali za kuvuruga uchaguzi na kumtangaza kIWKWETE KUWA KASHINDA KWA ASILIMIA 71. INABIDI WATU KUJIPANGA KULINDA KURA NA KUHAKIKISHA KUWA ZINATANGAZWA SAWA SAWA NA KUJUMULISHWA KIUKWELI KWANI HAPO NDIPO WIZI UMEPANGWA KUFANYIKA MWAKA HUU.
 
Zamani tulikuwa tunajua Chuo kikuu ni mahali wanapopatikana watu walioshiba hekima na busara yaani wanafanya vitu baada ya kusoma vitu vingi. Sasa pamegeuka mahali pa waganga njaa. Hivi wale waliomgomea mwinyi wakati ule wa cost sharering wako wapi siku hizi.
Mimi ni miongoni mwao ambao Mwinyi aliturudisha nyumbani mwaka 1990 na mwaka 1992. kutufukuza kwake hakujanifanye niache kusema na kupigania ukweli na moto ni ule ule. Lakini wenzetu wengine wamekwisha tugeuka nao wanakula na mafisadi.
 
Yah wengi wanahasira. Hebu jamani tuseme ukweli kabisa;
1. Ili watu turidhike na matokeo na kupunguza margin of error tunahitaji sample size ya kiasi gani?
Ni kweli sample size inavyokuwa ndogo zaidi margin of error inakuwa kubwa.
2. Hiyo sample tunayoipigia kelele hapa tunataka ichukuliwe wapi na kwa design gani?
3. Research nyingi pia zinaathiriwa na muda na financing. Hili limekaaje?
Maana watu tunalalamika lakini hatuna soln.
 
Hata polling ya JF imemshinda. Yeye anasample ya watu 2500 wakati JF zaidi ya watu 8000 wameshapiga kura kwenye poll.

Ushauri wa Bule kwa Bana angechukua takwimu za JF angeandika ripoti nzuri sana
Hii ya JF haipo bias??? Unaweza ukawa na sample hata ya watu 100,000 na bado ikawa bias. Selection ya sample ndio inamatter. Ingawa sample ndogo zaidi inakuwa na margin of error kubwa

utafiti ule umefanywa kwa watu 2500 tu kwa hiyo siyo sample nzuri bana hajui statistics, na data compilation inabidi akasome jinsi ya kuandaa mean{harmonic,weighted,geometric na average mean} then ndio arudi na REDET yake
Yaani wewe umechomekea huto tumisamiati ili watu waelewe nini? Duh JF kwakweli kuna watu!! Yaani katika approach za research na wewe umeona uandike hivyo.
 
Mr "Banwa" kama ndiyo hivyo, basi hii ya JF ina afadhali sanaaaaaa kwani ina 'sampo saizi' zaidi ya watu ulfu nane dunia nzima!!!! wakati ya bwana Banwa ina watu2600tu!!!!!

Anabanwa yule.....
 
Haya ndio matatizo tunayosema. Ina watu 8000 dunia nzima. Hata wale ambao si wapiga kura???

Mr "Banwa" kama ndiyo hivyo, basi hii ya JF ina afadhali sanaaaaaa kwani ina 'sampo saizi' zaidi ya watu ulfu nane dunia nzima!!!! wakati ya bwana Banwa ina watu2600tu!!!!!

Anabanwa yule.....
 
Sina mashaka na sample, kwani inafaa kufanya utafiti ambao unaweza kutabiri matokeo ya popln nzimalakini pamoja na haya kuna mambo ambayo hawakuweka wazi, ndiyo inawezekana wakawa waliohojiwa na dodoso wote ni wapiga kura, je wana umri gani (tambua hapa unaweza kuweka madaraja ya kuanzia 18-30 mf. hawa wengi ni wapiga kura wapya na hata kama hujui kusoma picha inajionesha wazi kuwa kuna mabadiliko makubwa ya wapiga kura wa sasa kwa hivyo si rahisi kusema kuwa Kikwete atapata 71% na Dr Slaa kumpatia hizo walizompatia.

Kwa wapiga kura wengi bila kujali mahali wanapotokea wanamfeel Dr Slaa kama kiongozi wa ukweli na hapa haiangaliwi sura ama ujana tena

Kuhusu huyu dr. bana nadhani anajihakikishia ulaji wa kuwa makamu mkuu chuo chetu kipya cha shy na dada killian kupachikwa pale musoma nadhani panawafaa kwa kujipendekeza ipasavyo
 
ni just person anayepelekwa na upepo wa ccccccccccccccmmmmmm
 
Kwa nje namuona kama kinara mpya wa wahadhiri vibaraka Tanzania...

Anayetafuta vyeo kwa kuidhalilisha taaluma yake...

Anayewatii mabwana zake kwa kudhalilisha tasnia nzima ya utafiti Tanzania...

Msomi bandia, anayedhililisha demokrasia Tanzania...

Kwa wale wanaomfahamu zaidi tabia na Historia yake, naomba wamuelezee "Dk." Benson Bana...

This is a home of great thinkers hatu intertain majungu!!, lete hoja zako tuzijadili siyo kuvamia watu bila sababu otherwise this is not your place andika makala kwenye Uwazi, Ijumaa n.k. Please dont let JF status down.
 
Mr "Banwa" kama ndiyo hivyo, basi hii ya JF ina afadhali sanaaaaaa kwani ina 'sampo saizi' zaidi ya watu ulfu nane dunia nzima!!!! wakati ya bwana Banwa ina watu2600tu!!!!!

Anabanwa yule.....

Online sample is VIRTUAL didn't you know!!!
 
Kumbe mtu mwenyewe elimu yake msingi amesoma kwenye shule ya walemavu wakusikia(viziwi) kwenye shule ya Mugeza (School for the Deaf)
mwaka 1969 na hii shule imefunguliwa na kanisa miaka ya 1980, wakati yeye anasema amemalizia hapo masomo ya shule ya msingi,hapa nimepata shida kidogo kuelewa..

Naomba msome hii CV yake na msome na historia ya hii shule ya Mugeza,link yake hii hapa chini

Mugeza School for the Deaf



nakacho jiuliza huyu bw ni kiziwi? na kama siyo aliweza vipi kusoma shule ya viziwi?

Sijakuelewa vyema una maana walemavu hawawezi kufikiri au kufanya mambo ya maana. I think this is an insult, hoja yako ni ipi hasa?. Tell us issues siyo hisia!!
 
Kwa nje namuona kama kinara mpya wa wahadhiri vibaraka Tanzania...

Anayetafuta vyeo kwa kuidhalilisha taaluma yake...

Anayewatii mabwana zake kwa kudhalilisha tasnia nzima ya utafiti Tanzania...

Msomi bandia, anayedhililisha demokrasia Tanzania...

Kwa wale wanaomfahamu zaidi tabia na Historia yake, naomba wamuelezee "Dk." Benson Bana...

Huyu jina lake halisi siyo Bana, ni Lugim[Bana]. Ni mhaya wa Maruku, nyumbani na jirani na Baregu. Ila tofauti na Baregu, LugimBana ni mnafiki, mchoyo, mpenda ukubwa/vyeo na majivuno. Wakati wa mgomo wa 1990, LugimBana pamoja na jacob Tesha walipigwa vibaya sana na wanafunzi kwa tabia yao ya kusaliti wanafunzi wenzao.
Ninapoongea sasa hivi, ni muda kidogo imemaliza kuongea na Prof. Mukangara (siyo Mukandala), ambaye ni mjumbe katika Kamati ya uendeshaji wa REDET. Prof. Mukangara amenihakikishia kuwa kilichotangazwa kuwa matokeo ya utafitti wa kura za maoni ni uongo na kwamba hata wengi wa wajumbe wa kamati ya uendeshaji hawiungi mkono.
Hiyo ndiyo REDET; huyo ndiye LugimBana.
Sawasawa?
 
Mzee, with all due respect, I beg to differ. I am not a statistician, however, the little I know tells me that you need to define your sampling UNIT (the smallest population element where the measurements are going to be made) before you conduct your research. In this case, it is an individual person eligible for voting (more precisely also registered for voting and a higher probability of casting a vote!). The list of these units forms what is called a sampling frame. If the population is homogeniousy distributed (e.g. same age, education level, marital status, gender, etc, etc) a random sample of these units is adequate to be a representative sample. The question of how many units, is determined by the level of confidence (conventionally accepted at 95%, 99%, or 99.9%), variation (variance or Standard deviation) and the level of precision desired (OR acceptable error margin) conventionally kept at 0.05. THIS IS WHEN YOU USE A SINGLE STAGE SAMPLING.

In the citizen newspaper, the REDET sampling strategy involved a multistage (3-stage) sampling with 26 regions, 52 districts, 102 villages, 2,600 people interviewed! This is not a homogeneous population anymore. For this design, they needed to includein the formular, the design effect (3 stage stratification) and a factor called the intraclass correlation (ICC) which quantifies the extent of between-group variation (or within group homogeneity). The rough estimate I made suggests the they needed at least 91,800 units for this polls. Mind you, I have not included the possible confounding affects of such factors as age, education level, marital status, gender, etc.


Kijana Mween statistics ulipata grade gani? Mimi nakupa A, maana umeelezea vizuri sampling technique iliyotumika au iliyopaswa kutumika.
 
Back
Top Bottom