Mkuu Abdulhalim umesema ukweli mtupu jamaa (Bana) has never publish any article in any of the scientific journal be it international or national. I wonder if he can be promoted to senior lecturer. Basically he can be promote to senor lecturer because he doesn't have any publication. Hii ni kwa sababu wakati wenzanke wanafanya scientific inquiries yeye anatumiwa na jk kuchakachua kura za maoni.
Ukiangalia umri wake ni kwamba amezaliwa 1959 (minus some years baada ya kufoji umri) na sasa ana 51 years hana hata chapisho moja in both local and international journals. He has only 9 years to retire. Do you think he can be promoted to senior lecturer, associate professor and finally full professor? sahau. Huyu jamaa inaonekana ni kihiyo ndo maana hajui hata research methodology. CV yake imejaa uongo mtupu, example anadai machapisho yote ni FORTHCOMING, tell us one which is ready. Kwa sababu any one can write a CV with forthcoming nyingi zisizo na maana.
SHAME ON BANA and MUKANDARA
Ukiangalia umri wake ni kwamba amezaliwa 1959 (minus some years baada ya kufoji umri) na sasa ana 51 years hana hata chapisho moja in both local and international journals. He has only 9 years to retire. Do you think he can be promoted to senior lecturer, associate professor and finally full professor? sahau. Huyu jamaa inaonekana ni kihiyo ndo maana hajui hata research methodology. CV yake imejaa uongo mtupu, example anadai machapisho yote ni FORTHCOMING, tell us one which is ready. Kwa sababu any one can write a CV with forthcoming nyingi zisizo na maana.
SHAME ON BANA and MUKANDARA