UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 17,501
- 8,797
Najivunia kutokuogopa kuuliza swali kwa kuona nitaonekana mjinga au nina upeo mdogo.Kuna imani tofauti, imani isiyothibitishwa inapothibitishwa inaacha kuwa imani, inakuwa ujuzi.
Ulichoambiwa ni kwamba usikubali kitu kama ukweli mpaka ukitibitishe kwanza.
Umeelewa?
Hujathibitisha kwamba Mungu yupo. Huwezi kuthibitisha. Na zaidi, umeelezwa jinsi Mungu wako alivyo na contradiction.
Kwa nini unaendelea kuamini kitu chenye contradiction ambayo huwezi kuiondoa?
Hebu eleza vizuri hizo imani tofauti,maana ni jambo jipya kutoka kwako.
Lakini pia Behaviourist hajazungumzia kukubali jambo bali alizungumzia kuamini jambo...nakumbuka ulisema kuna tofauti ya kuamini na kukubali.
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app