UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 17,501
- 8,797
Iweje yale uyatakayo wewe ndiyo yawe perfection?Ni kweli tunayapenda kwa sababu yaliyopo sasa hayana perfection. Kama Mungu ameumba imperfection ina maana hata yeye ni imperfect being.
Iweje yale uyatakayo wewe ndiyo yawe perfection?Ni kweli tunayapenda kwa sababu yaliyopo sasa hayana perfection. Kama Mungu ameumba imperfection ina maana hata yeye ni imperfect being.
Na mimi nimekuuliza. Imani yenu itakuwaje sahihi kabla ya kuthibitishwa?
Nikisema nakuja nyumbani kwako, nikiwa na imani kwamba upo nyumbani, nikafika na kukuta haupo nyumbani umeenda shamba, imani yangu kwamba upo nyumbani ilikuwa sahihi?
Kwa nini ufikiri imani yenu itakuwa sahihi hadi Mungu atakapoonekana wakati imani yenu ina contradiction?
.....Rudia tena kusoma comment ya mwanzo ya Kiranga hapo juu then tafakari halafu mjibu!!
Ohh!
Behaviourist njoo huku Kiranga anasema ukishathibitisha huwezi kuamini tena wakati wewe unasema unatakiwa kuamini baada ya kuthibitisha.
We are perfect ila tunazidiana concentration ya kitu.... vile vile interest pia inachangia. On the pitch messi ni hatari sana ila ya darasani mtupu. Si kwamba hana akili but hajali...au msingi mbovu.Iweje yale uyatakayo wewe ndiyo yawe perfection?
Kuamini maana yake nini?Ohh!
Behaviourist njoo huku Kiranga anasema ukishathibitisha huwezi kuamini tena wakati wewe unasema unatakiwa kuamini baada ya kuthibitisha.
How can i prove to you when your not looking?You have not proved God exists.
Options ambazo unadhani zinaweza kuchukua nafasi ya Intelligent designer or a Casual agent who transcend Space and time(Hap ndipo scientist walipokwamia ukijumlisha hadi ethiests scientists ). Mimi nampa Mungu na Huo ndio Ukweli.List ya nini?
Kwa sababu imperfection zilizopo zina hasara kwa maisha ya watu.Iweje yale uyatakayo wewe ndiyo yawe perfection?
Huyu jamaa nashindwa kuelewa kwamba ni mjinga haelewi au ni muhuni tu anaelewa halafu anang'ang'ania kujifanya mjinga.UHURU JR usikubali kugeuzwa geuzwa kama chapati wewe!!!![]()
![]()
.....Rudia tena kusoma comment ya mwanzo ya Kiranga hapo juu then tafakari halafu mjibu!!
![]()
Hivi Mungu aliwapa ajira ya kuwaambia watu wengine kwamba anaexist???How can i prove to you when your not looking?
Oh, are you showing a movie starring God now?How can i prove to you when your not looking?
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?Options ambazo unadhani zinaweza kuchukua nafasi ya Intelligent designer or a Casual agent who transcend Space and time(Hap ndipo scientist walipokwamia ukijumlisha hadi ethiests scientists ). Mimi nampa Mungu na Huo ndio Ukweli.
Wewe hauko limited ya Space and time tu. Kwanza Unakuwa limited na Gravitational force. Ukijitahidi ukatengeneza apolo utaishia kuzurula mwezini, Ukijitahidi kidogo uttapata nafasi ya kwenda kwa members wa milk way galax napo ni kwa kutumia mitambo sio physically maana uko limited kwenye solar System na hata kuani tu huwezi kwenda.Kwa nini Mungu aniumbe nikiwa limited na time, space and matter?
mkuu,nini kinakufanya useme hana mwisho?Habari zenu wana JF. Leo nataka niwaletee ukweli ambao wapinga mungu kama Kiranga huwa hawauelewi. Swali hilo ni hili.
Swali: Je, kama Mungu yupo, nani alimuumba Mungu? (Au ametokea wapi?)
Jibu: Mungu ana sifa ya kutokuwa na mwanzo wala mwisho, hivyo hilo swali halina mantiki. Pia tufanye kuwa Mungu ameumbwa, kwa hiyo logic ni kuwa aliyemuumba naye anatakiwa awe ameumbwa, na kuendelea. Hivyo ni wazi kuwa kutakuwa na miungu infinity kitu ambacho ni Illogical. Hivyo namaliza kwa kusema kuwa, Swali la Who Created God is an illogical question.
Unazoona Contradictions ni ukomo wa uelewa wetu(Stimulates learning and indepth study of the word of God). Ila katikati ya Ukomo huo ambmao umewekwa ili neno lake lisikukinai uishi ukijifunza hadi unakufa, ZInatosha kukufanya uwe Mtu salama mwenye mahusiano bora na Muumba wako.Siyo yanadhaniwa kuwa na contradiction.
Yana contradiction ambazo hujaziondoa.
Wewe unaleta information nyingi ambazo ni useless.Hayo maelezo yako unahisi yamejibu swali langu?Wewe hauko limited ya Space and time tu. Kwanza Unakuwa limited na Gravitational force. Ukijitahidi ukatengeneza apolo utaishia kuzurula mwezini, Ukijitahidi kidogo uttapata nafasi ya kwenda kwa members wa milk way galax napo ni kwa kutumia mitambo sio physically maana uko limited kwenye solar System na hata kuani tu huwezi kwenda.
Sasa Mimi ninaongelea space ambayo hata diameter yake ni haina namba ya kibinadamu. Nikisema TRILLIONS OF LIGHTYEARS bado hata galax ya milk way sijaivuka. na kuna billions of galaxies. What to you want beyond space. Enjoy that Which God gave you including your Mind freedom
Hapo Kiranga alikuwa anazungumzia usahihi wa imani na ni baada ya kuamini jambo,hivyo uthibitisho utahitajika ili kujua usahihi wa imani baada ya kwisha amini hilo jambo.UHURU JR usikubali kugeuzwa geuzwa kama chapati wewe!!!![]()
![]()
.....Rudia tena kusoma comment ya mwanzo ya Kiranga hapo juu then tafakari halafu mjibu!!
![]()
Hiyo habari ni "Deus ex machina".Unazoona Contradictions ni ukomo wa uelewa wetu(Stimulates learning and indepth study of the word of God). Ila katikati ya Ukomo huo ambmao umewekwa ili neno lake lisikukinai uishi ukijifunza hadi unakufa, ZInatosha kukufanya uwe Mtu salama mwenye mahusiano bora na Muumba wako.
Hujaelewa au huelewi ulichulizaWewe unaleta information nyingi ambazo ni useless.Hayo maelezo yako unahisi yamejibu swali langu?
Iweje yale uyatakayo wewe ndiyo yawe Perfection? Hivi ndiyo nilivyouliza.Kwa sababu imperfection zilizopo zina hasara kwa maisha ya watu.
Wewe huoni jinsi ambavyo matetemeko ya nchi na hurricanes zinavyouwa watu na kuharibu vitu vilivyotafutwa kwa gharama kubwa? hizo siyo imperfection za kuumbwa kwa dunia?
Kiranga ameshajibu swali lako hapa chini mkuu!!Hapo Kiranga alikuwa anazungumzia usahihi wa imani na ni baada ya kuamini jambo,hivyo uthibitisho utahitajika ili kujua usahihi wa imani baada ya kwisha amini hilo jambo.
Ila wewe unasema kabla ya kuamini jambo unatakiwa uthibitishe kwanza.
Hebu muweke sawa kwanza Kiranga.![]()
![]()
![]()
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
........siyo vizuri mimi kujaza server za JF wakati umeshajibiwa!
Kuamini maana yake nini?
Tuanzie hapo kwanza.
Hutakiwi kukubali kitu kwamba ni cha kweli kabla ya kuthibitisha, ingawa unaweza kuamini kitu chenye mantiki kabla ya kukithibitisha kama mimi ninavyoamini jua litachomoza kesho.