UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 17,501
- 8,797
Kumbuka mie nimeuliza swali kutokana na jinsi ulivyothibitisha imani yako ya kuamini kuwa mimi nitaona post yako.Imani yao nani?
Mungu kuonekana maana yake nini?
Tushaona kwamba kuonekana kitu haina maana kipo.
Nimetoa mfano wa mirage jangwani.
Ushawahi kusikia habari ya mirage?
Uthibitisho wa imani yako kwamba mimi nitaona post yako,ni hadi mie nilipojibu post yako kwa kunukuu ndipo ikawa usahihi wa imani yako. Na ndiyo maana kwa mfano huo nikakuuliza ina maana na wanaoamini mungu imani yao itakuwa sahihi hadi pale mungu wanayemuamini watakapomuona au kuonekana ili ndiyo kuweza kujua kuwa imani yao ni sahihi?