UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 17,500
- 8,797
Mie kuona maandiko yako ndiyo kuna thibitisha kwamba?Sasa hivi naandika tena. Naamini utaona maandiko haya.
Mie kuona maandiko yako ndiyo kuna thibitisha kwamba?Sasa hivi naandika tena. Naamini utaona maandiko haya.
Kumethibitisha kwamba imani yangu kwamba utasoma ni sahihi.Mie kuona maandiko yako ndiyo kuna thibitisha kwamba?
Waulize wanaomuamini Maana Mimi namuelewa.Hahahahaaa....whenever their so called God challenged about his/her existence, the use evolution as a shield. But if we keep evolution aside what do they have to say
Sasa kwa nini tumwamini Mungu badala ya kumwelewa?
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?Waulize wanaomuamini Maana Mimi namuelewa.
Imani Huja kwa kusikia neno la Mungu au Kusoma. Kuna maneno ameyasema miaka hiyo ya zamani, Yote scientific findings zinaonyesha kuanzia miaka ya 1998 kuwa ni sawa with proof. Lakini kabla ya hapo hakuna any writtings, wala reference kutoka kwa mwanasayansi, evolutionists, theorogians au mwanadamu yoyote isipokuwa wayahudi wachache walioyaandika kutoka kwa Mungu miaka kibao na yako kwenye bibilia. Hiyo ndio ilikuwa reference pekee duniani hadi kufukia hivi karibuni.
Kama watu wote wameumbwa na Mungu, kwa nini wawepo wanaomwamini na wengine wanaomwelewa?Waulize wanaomuamini Maana Mimi namuelewa.
Imani Huja kwa kusikia neno la Mungu au Kusoma. Kuna maneno ameyasema miaka hiyo ya zamani, Yote scientific findings zinaonyesha kuanzia miaka ya 1998 kuwa ni sawa with proof. Lakini kabla ya hapo hakuna any writtings, wala reference kutoka kwa mwanasayansi, evolutionists, theorogians au mwanadamu yoyote isipokuwa wayahudi wachache walioyaandika kutoka kwa Mungu miaka kibao na yako kwenye bibilia. Hiyo ndio ilikuwa reference pekee duniani hadi kufukia hivi karibuni.
Why must this causative agent be a being and not anything else?The universe itself prove it.
The universe itself proves it. Usisubiri uhakikishiwe wakati umezungukwa na evidence wewe mwenyewe ni evidence. Take time to study how the universe is fine tuned.
According to Space time theory. This fine turning is not possible unless there is causative agent, Intelligent, with knowledge, creative power and all these features are cannot be found in vain isipokuwa kwa personal being. Hapo ndipo dunia ilipofikia Sisi tunamalizia kwa kusema HUYO NI MUNGU na sio vinginevyo. Na current update katika discussion ya uwepo wa Mungu wanasayansi na ethiest scientist Baada ya Kugundua DARK ENERGY na Kuprove there is Intelligent being behind this. Wanabishana IS that being in personal or not sio kuwa Yupo au hayupo.
Hili umejibiwa vizuri huko nyuma lakini tatizo ni angle uliyokaa. Aliumba watu wenye free will. angeumba robots hata wewe hiyo akili unayotumia kuleta changamoto hizi ndogondgo ungepata wapi huo uwezo. Mshukuru kwa hilo piaUnaweza kuthibitisha Mungu yupo?
Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?
Kama kaumba watu wenye free will mbona hakuna mtu anayeweza kurudi backwards in time?Hili umejibiwa vizuri huko nyuma lakini tatizo ni angle uliyokaa. Aliumba watu wenye free will. angeumba robots hata wewe hiyo akili unayotumia kuleta changamoto hizi ndogondgo ungepata wapi huo uwezo. Mshukuru kwa hilo pia
Sasa Mungu yeye kaeleza kila kitu. Mfano mdogo tu, ungekubali Mungu yupo kama mabaya hayangekuwepo?
Kwahiyo ingetokea kutoisoma imani yako ingekuwa potofu?Kumethibitisha kwamba imani yangu kwamba utasoma ni sahihi.
Ulitaka nithibitishe imani.
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
Hili swali unajibiwa na jamaa zako watatu(ethiests) kwa umoja wao wakiwa kama Wataalamu Wa Physics walichogundua waliishia kusemaWhy must this causative agent be a being and not anything else?
If complexity must be created, then the creator must be more complex and must be created too. Where does this chain end?
God must necessarily need a creator too, and his creator a creator, ad infinitum, ad nausea.
Wapi nimesema nahitaji Mungu aonekane?Kwahiyo ingetokea kutoisoma imani yako ingekuwa potofu?
Kwa maana hiyo pia wanaoamini kuwa mungu yupo imani yao itakuwa sahihi pale ambapo mungu ataonekana?
Watu wamesema unknown agent.Hili swali unajibiwa na jamaa zako watatu kwa umoja wao wakiwa kama Wataalamu Wa Physics walichogundua waliishia kusema
"An unkonown agent (Beyond space and time) intervened in the evolution for the reason of its own" Wakihojiwa na mwandishi wa habari. Natafuta article yao yenye page 21. Usome ili uupdate upingaji wako maana wenzako wameshatoka huko wao wanataka kujustfy personality of GOd and not the existence because what they scientifially saw and prove blowed their mind
Hakuna niliposema wewe unahitaji mungu aonekane,nimekuiliza tu wanaoamini kuwa mungu yupo ina maana nao imani yao itakuwa sahihi pale ambapo atakapokuja kuonekana mungu? Kama ambavyo imani yako ya kuamini kuwa mie nitasoma post yako inathibitishaka kwa mie kuijibu.Wapi nimesema nahitaji Mungu aonekane?
Mungu atakapokuja kuthibitishika yupo.Hakuna niliposema wewe unahitaji mungu aonekane,nimekuiliza tu wanaoamini kuwa mungu yupo ina maana nao imani yao itakuwa sahihi pale ambapo atakapokuja kuonekana mungu? Kama ambavyo imani yako ya kuamini kuwa mie nitasoma post yako inathibitishaka kwa mie kuijibu.
Hebu yaweke maelezo yako katika hali ya kujibu nilichouliza kuwa wanaoamini mungu imani yao itakuwa sahihi pale hadi pale mungu atakapo onekana?Mungu atakapokuja kuthibitishika yupo.
Kuonekana watu wengine wsnamuona Mungu katika mauzauza yao kabla hawajapewa Valium kutulizwa.
Kuonekana hata jangwani maji yanaweza kuonekana katika mirage, lakini hilo halimaanishi maji hayo yapo.
Hujathibitisha Mungu yupo.
First thing first, on the average the cosmos is not crowded. To the contrary, almost all of space in the observable universe, more than 99%, is empty.
"Sahihi pale hadi pale" maana yake nini?Hebu yaweke maelezo yako katika hali ya kujibu nilichouliza kuwa wanaoamini mungu imani yao itakuwa sahihi pale hadi pale mungu atakapo onekana?
Halafu mie nisingejibu post je,imani yako ya kuwa mie nitaona post yako ingekuwa potofu?