Nilitaka kusema imani yao pia itakuwa sahihi hadi pale mungu atakapo onekana?"Sahihi pale hadi pale" maana yake nini?
Unaniambia mimi niweke maneno yangu sawa wakati wewe ulichoandika hakieleweki?
Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?Mungu anachukia maovu ndio maana mwanzoni alimuumba mwanadamu hajui mema na mabaya. Lakini alimpa condition kuwa asile tunda la ujuzi wa mema na mabaya. Na akamwambia endapo atakula hakika atakufa. Binadamu akaamua kula tunda alilokatazwa na mungu akafunguliwa akili akawa anajua mema na mabaya, dhambi(mabaya) ndio yanayomchukiza mungu katika viumbe vyake. Hapo awali kulikuwa na direct connection btn humans and God yani God himself used to come down to earth to greet Adam and Eve every evening. Lakini walipodisobey the condition the direct link ikapotea, after that maovu yalizidi sana duniani to the point God alitaka kudestroy dunia yote aliyoiumba then anakuta mtu mmoja ambaye atleast anatenda mema akadestroy dunia flood Noah na familia yake wakasalimika.. Mungu afanya mpango wa salvation ambayo ndo itakuwa permanent solution to maovu akamjaribu Abraham kumsacrifice mwanae wa pekee willingly kuona kama Abraham ataweza kufanya hivyo Abraham akafanikiwa akapewa jina Baba wa Imani kitendo hiki ni muhimu coz kinaashiria jambo ambalo mungu atakwenda kulifanya yeye mwenyewe kupitia lineage ya Abraham Mungu anaenda kumtoa mwanae wa pekee Yesu kristo hii ndo iwe permanent solution ya maovu yaani kupitia damu yake yesu mungu anafanya the last covenant na binadamu this time you need to believe kile kitendo alichokifanya yesu msalabani na kuwa alifufuka.. KITU NACHOWEZA KUSHAURI WANAOBISHA UWEPO WA MUNGU NI KUMUOMBA MUNGU AJIDHIHIRISHE KWAKO KUPITIA YESU KRISTO NAYE ATAFANYA HIVYO. PERSONALLY NIMEMUONA YESU FOR REAL, HE EXISTS..NA NILIKUWA NON BELEIVER KAMA NYINYI. VINGINEVYO HAMNA JINSI..
Mkuu ziko vizuri kabisa.Habari za weekend mkuu, thanks kwa mchango wako.
Naona kuna ideology mbalimbali ulizonazo kuhusiana na Evolution. Inakuwa ni ngumu sana kuweza kuendana nawe pamoja katika mjadala.
Katika maisha yangu sijawahi kufundishwa uhusiana kati ya Evolution na Big Bang au Cosmic Evolution. Maana nimesoma evolution as Evolution katika core yake.
PIa theory ya evolution haina mahusuano na dating ila inatumia dating kufanya comparisons sometimes. Datings hiyo ni part nyingine kabisa na errors zake sio errors za Evolution. Hizo errors zinaweza kutokea, ndio maana kuna absolute na relative datings.
Pia evolution haina uhusiano na Kuelezea origin of life. Evolution sio theory ya origin of life, bali ni theory inayoelezea origin of species. Nampa sana points Darwin kwa kuita kazi yake "Origin of Species" lakini wapinzani ndio wanaosema amezungumzia origin of life na kuanza kumpinga bila kusoma kazi yake.
Ninaomba kama tutajadiliana tujadiliane bila Mythologies Na conspiracies. Tujadili kama wasomi na nina imani una uelewa mzuri sana na utanisaidia.
Tuanze mwanzo ili kuondoa elimu isiyokwepo na tuelimishane vyema.
What is the theory of evolution.
Ni paradigm inayotazama historia ya viumbe katika dunia kutoka katika mageuzi yanayofanyika taratibu na kupelekea kutokea kwa aina nyingine ya kiumbe.
(Nimetumia kitabu cha Johnson M, 1999: Archaeological Theory: An Inteoduction. Oxford.)
Mpaka hapo katika simple definition, unakubali kuwa kuna mageuzi yanayofanyika taratibu katika viumbe?
Imani yao nani?Nilitaka kusema imani yao pia itakuwa sahihi hadi pale mungu atakapo onekana?
Kinachoulizwa(kwa maana waulizaji ni wengi,wanaouliza).Ikiwa muulizaji ni mmoja na na ni kitu hakijawahi kuulizwa,wala hakuna anayeamini kuwepo hicho kitu,muulizaji ataonekana uelewa wake mdogo.Kama wewe unayeuliza rangi ya mwimbo wa Taifa.Kama kisichokuwepo hakiulizwi uwepo wake, mtu akiniuliza nithibitishe Mungu hayupo maana yake Mungu hayupo then.
Kama Mungu angekuwepo, isingewezekana kuuliza kama hayupo.
Kama kisichokuwepo hakiulizwi uwepo wake, tusingeweza kuuliza rangi ya wimbo wa taifa. Wimbo wa taifa hauna rangi lakini tunaweza kuuliza una wimbo gani.
Kama kisichokuwepo hakiulizwi uwepo wake, basi nisingeweza kuuliza mji mkuu wa nchi isiyokuwepo ya Maguluguja.
Hebu jifunze kufikiri upya maana inaonekana unawayawaya bila kuelewa misingi ya kufikiri vizuri.
Hujathibitisha kwamba Mungu yupo.
Kwa sababu huwezi.
Kwa sababu hayupo.
Kwa hiyo si kweli kwamba kila kinachoulizwa kipo.Kinachoulizwa(kwa maana waulizaji ni wengi,wanaouliza).Ikiwa muulizaji ni mmoja na na ni kitu hakijawahi kuulizwa,wala hakuna anayeamini kuwepo hicho kitu,muulizaji ataonekana uelewa wake mdogo.Kama wewe unayeuliza rangi ya mwimbo wa Taifa.
Tofautisha ya kinachoulizwa(waulizaji ni wengi) na anachouliza(muulizaji ni mmoja).Kwa hiyo si kweli kwamba kila kinachoulizwa kipo.
Wengi ni wangapi?Tofautisha ya kinachoulizwa(waulizaji ni wengi) na anachouliza(muulizaji ni mmoja).
Usitoe mfano ambao haupo,toka dunia ianze,haijawahi na wala haitatokea kuwako mtu mmoja tu ndio anayeamini uwepo wa Mungu..Mifano yako yote unayotoa ni kinyume na uhalisia.Wengi ni wangapi?
Kama Mungu yupo, halafu watu wote wa dunia wakaamini hayupo, mtu mmoja tu akaamini Mungu yupo, Mungu atakuwepo au hatakuwepo?
The feeble minded are challenged by abstraction.Usitoe mfano ambao haupo,toka dunia ianze,haijawahi na wala haitatokea kuwako mtu mmoja tu ndio anayeamini uwepo wa Mungu..Mifano yako yote unayotoa ni kinyume na uhalisia.
"How we determine right from wrong"The feeble minded are challenged by abstraction.
Mungu asiyethibitishika unayemsema yupo hujajua kwamba yuko kinyume na uhalisia?
By logical examination."How we determine right from wrong"
What is purported to be a contradiction is not necessarily a contradiction.By logical examination.
Your God is plagued by contradictions that show he cannot exist.
You have not proved that.What is purported to be a contradiction is not necessarily a contradiction.
If you think about it,you can see contradiction .
Why should someone try to prove to you something you are not believing exists? Either way he will try to prove it in a way you are not used to (Religious) or the one you are used to (Historical and Scientific) And Still you won't agree...Can you prove God exists?
Can you prove God exists?
One should try to prove something because it is unproven.Why should someone try to prove to you something you are not believing exists? Either way he will try to prove it in a way you are not used to (Religious) or the one you are used to (Historical and Scientific) And Still you won't agree...
Logic makes the omnipotent, omniscient and omni benevolent God impossible.
You have not proved that.
Why did an omnipotent, omniscient and omni benevolent God create a universe in which evil is possible while he could have created a universe in which evil is not possible?
DNA causes hereditary diseases.