When Women Take Charge..!

MwanajamiiOne, hivi kwa nchi za kiafrika hao Mali na Malawi wanaume ndio wenye say kubwa kwenye tendo la ndoa according to utafiti ukilinganisha na nchi zingine au utafiti ulifanyika based kwenye nchi hizo tu??

Duh!! Sijui maswali mengine nakuonea lol
 
Kuna thread ilianzishwa hapa ilisema men need it every 3 days and women every 7 days so yes, there is a difference. na kama unavo jua kuna vipindi we neetd it everyday (everytime) and some period we just need ice cream and visa cards... lol

aisee, kuna wengine wanahitaji hizo mambo kama dozi.
 
Nina wasiwasi na huo utafiti
Sina imani kabisa na article yenyewe
nadhani wameandika ili kuvutia wasomaji kwa kutumia cooked data
ni jambo ambalo si rahisi kuliamini
nimefanya kazi na waghana; haiwezekani kupata ile kitu mara moja kila baada ya siku 28.
labda kuwe na sababu maalum na mtu huyo awe mwaminifu wa hali ya juu.
lakini haiwezekani mnaishi wote ndani kisha ukaa 28 days bila bila.
may be kuwe na tatizo ambalo sidhani kuwa laweza kuwa la kudumu
 
MwanajamiiOne, hivi kwa nchi za kiafrika hao Mali na Malawi wanaume ndio wenye say kubwa kwenye tendo la ndoa according to utafiti ukilinganisha na nchi zingine au utafiti ulifanyika based kwenye nchi hizo tu??

Duh!! Sijui maswali mengine nakuonea lol
Hizo zilizotajwa hapo ndizo nchi ambazo zilihusishwa na utafiti na katika zile ambazo tendo linafanyika angalau once after 8 days ni hizo mbili ambazo katika kutafuta sababu possible for that iligundulika kuwa katika nchi hizo wanaume wanasay ya mwisho kwenye sexual matters ndani ya ndoa zao kuliko nchi kama Ghana ambako wanawake ndio wana say.
 
Nina wasiwasi na huo utafiti
Sina imani kabisa na article yenyewe
nadhani wameandika ili kuvutia wasomaji kwa kutumia cooked data
ni jambo ambalo si rahisi kuliamini
nimefanya kazi na waghana; haiwezekani kupata ile kitu mara moja kila baada ya siku 28.
labda kuwe na sababu maalum na mtu huyo awe mwaminifu wa hali ya juu.
lakini haiwezekani mnaishi wote ndani kisha ukaa 28 days bila bila.
may be kuwe na tatizo ambalo sidhani kuwa laweza kuwa la kudumu


Felix aksante kwa post yako. Angalau na wewe umeonyesha kutokukubaliana na utafiti huu. Labda tungepata picha halisi ya maisha ya ndoa za kighana,how stable are they, divorce rates zikoje na pengine cheating rates pia maana kusema ukweli haitally kabisa.

Wewe ambaye umeishi na waghana, je ni kweli wanawake zao wana say juu ya wanaume wao??
 
je kuwa na say ndo sababu tosha ya kuwa na data zilizowafanya kufikia conclusion na kuandika paper kama hiyo???
naomba kujua sample space na events zake kabla ya kujiridhisha katika hili japo nina maswali mengi tu ya kujiuliza
Aina ya watu waliohojiwa
Umri wa watu walohojiwa
Ukaribu kifamilia
Umbali kifamilia
Mazingira wanayoishi
Polygamy au monogamy
utamaduni wao katika hili n.k

Hizo zilizotajwa hapo ndizo nchi ambazo zilihusishwa na utafiti na katika zile ambazo tendo linafanyika angalau once after 6 days ni hizo mbili ambazo katika kutafuta sababu possible for that iligundulika kuwa katika nchi hizo wanaume wanasay ya mwisho kwenye sexual matters ndani ya ndoa zao kuliko nchi kama Ghana ambako wanawake ndio wana say.
 
je kuwa na say ndo sababu tosha ya kuwa na data zilizowafanya kufikia conclusion na kuandika paper kama hiyo???
naomba kujua sample space na events zake kabla ya kujiridhisha katika hili japo nina maswali mengi tu ya kujiuliza
Aina ya watu waliohojiwa
Umri wa watu walohojiwa
Ukaribu kifamilia
Umbali kifamilia
Mazingira wanayoishi
Polygamy au monogamy
utamaduni wao katika hili n.k


Felix vyoe hivyo vimeelezwa kwenye gazeti hilo na wamesema kuwa sample yao wameexclude vitu kama polygamy, na kuzingatia vitu ulivyovitaja, Mfano umbali kati ya wanandoa nayo imekuwa among the strong factors for such observed trend. Bahati mbaya sikuwezakuzishika hizo sample size but nyingi nimeona zinaanzia wanawake 3000. Kumbuka pia kitu walichokuwa wanatafiti ni kufanyika kwa tendo hilo ndani ya ndoa na si kufanyika au kutokufanyika kwa tendo hilo kwa wanandoa.

I just wish ningewezakuipata hiyo article tushee
 
je kuwa na say ndo sababu tosha ya kuwa na data zilizowafanya kufikia conclusion na kuandika paper kama hiyo???
naomba kujua sample space na events zake kabla ya kujiridhisha katika hili japo nina maswali mengi tu ya kujiuliza
Aina ya watu waliohojiwa
Umri wa watu walohojiwa
Ukaribu kifamilia
Umbali kifamilia
Mazingira wanayoishi
Polygamy au monogamy
utamaduni wao katika hili n.k
Hahaha! Mkuu ningekuwa nafanya mtihani haya maswali ningefeli yote lol! Salama lakini?
 
Kiu yangu ilikuwa ni kupata full version ya hii paper kabla sijasema lolote...Kumbe bado haijatoka...Anyway, nimeambulia haya hapa:

Increased Responsibility Could Lead to Decreased Sexual Activity Among Women
In Sub-Saharan Africa, women who are empowered to make household decisions tend to have sex less often. This is according to a study conducted by researchers at the Johns Hopkins Bloomberg School of Public Health. They examined the relationships between married women’s autonomy and the time since most recent sexual intercourse and found that women’s position in their household may influence sexual activity. The full article will be published in the October issue of the Journal of Sex Research and is currently featured online as an “editor’s choice.”
“A very consistent pattern was observed across all six countries we surveyed—as the number of decisions in which a women had the final say increased, the mean and median time since most recent sex also increased by three- to 100-fold,” said Michelle Hindin, PhD, MHS, lead author of the study and an associate professor at the Bloomberg School’sDepartment of Population, Family and Reproductive Health. “The more decisions a woman reported making on her own, as compared to joint decision making, the less likely she was to have sex and the longer it was since she last had sexual intercourse.”
Researchers analyzed nationally representative data from the Demographic and Health Surveys in Ghana, Malawi, Mali, Rwanda, Uganda, and Zimbabwe that asked survey participants to indicate the day, week, month and year they last had sexual intercourse. Survey participants were also asked to indicate the person in the household who typically had the final say on the following decisions: respondent’s health care, large household purchases, household purchases for daily needs and the respondent visiting family and friends. Researchers also examined socio-demographic and relationship factors such as age, wealth, parity, husband’s residence, and marital duration and found that most standard socio-demographic variables were not consistently associated with the timing of most recent sexual intercourse.
The majority of women participating in the survey reported sexual intercourse within the last month. Patterns of decision-making power varied by country, with husbands having the final say on more decisions in Malawi and Mali more than in other countries. Ghanaian and Rwandan women reported having the final say in more decisions than women in the other countries, whereas Zimbabwean women reported the most joint decision making. For men, making autonomous decisions was not related to the timing of most recent sex.

“Understanding how women’s position in the household influences their sexual activity may be an essential piece in protecting the sexual rights of women and helping them to achieve a sexual life that is both safe and pleasurable,” said Carie Muntifering, co-author of the study and student at the Bloomberg School. “The findings from this analysis contribute to our understanding of the frequency of sexual activity in sub-Saharan Africa and its relationship to household decision making. Additional studies are needed to further explore the strong association between women’s decision-making power and recent sexual activity that was found in our analyses.”
Media contact for Johns Hopkins Bloomberg School of Public Health: Natalie Wood-Wright at 410-614-6029 or nwoodwri@jhsph.edu.
 
DC aksante sana maana nilikosa muda wa kutafuta nikarely kwenye hiyo article ya The EastAfrican ambayo nayo iko incomplete. Shukran ngoja niisome vizuri ila kwa jinsi ilivyoelezewa kwenye gazeti na hapa inatoa picha tofauti hata kichwa cha mada hii ambacho ndicho kichwa cha article husika!

Kule wameiweka kama vile taking charge ya wanawake wanatake charge mpaka kwenye undungu wa shuka (if I may borrow Mbu's words) wakati hapa wanazungumzia increased responsibilities ingawa conclusion yao inarudi tena kwenye power of decision making ambacho ndio ugomvi wangu!
 
MJ1,

Pamoja na kuwa kuna distortion ya taarifa kwa kuangalia heading yako, kuna ukweli usiopingika kuhusu huo utafiti.

Kwa uzoefu wangu, kadri mwanamke anapokuwa na sauti zaidi ndivyo uwezekano wa mume kupata unyumba unavyokuwa mdogo sana. Sijui ni kwa nini ila huo ni ukweli. Halafu kwa watu ambao wamekaa na watu wa nchi za Scandnavia kama vile Denmark wataelewa zaidi ninachokiongelea!

Ila nadhani huu utafiti ulilenga kuoanisha kutingwa na kazi na hapo hapo mwanamke akawa na mamlaka juu ya kutoa au kutotoa....Kwangu mimi naona hapo ni kumwaga cheche za moto kwenye tank la petrol...Yaani mwanamke ambaye ana kauli ya mwisho juu ya unyumba halafu umpe kazi nyingi (nyie mnaita kuwa busy), huyo baba inabidi atafute pa kukimbilia haraka sana!!
 
DC aksante sana maana nilikosa muda wa kutafuta nikarely kwenye hiyo article ya The EastAfrican ambayo nayo iko incomplete. Shukran ngoja niisome vizuri ila kwa jinsi ilivyoelezewa kwenye gazeti na hapa inatoa picha tofauti hata kichwa cha mada hii ambacho ndicho kichwa cha article husika!

Kule wameiweka kama vile taking charge ya wanawake wanatake charge mpaka kwenye undungu wa shuka (if I may borrow Mbu's words) wakati hapa wanazungumzia increased responsibilities ingawa conclusion yao inarudi tena kwenye power of decision making ambacho ndio ugomvi wangu!

MwanajamiiOne, if I may ask….why are you enthused about this survey, study, or whatchamacallit?
 
Back
Top Bottom