
- Joined
- May 4, 2010
- Messages
- 9,243
- Likes
- 302
- Points
- 180

Rejao
JF-Expert Member
Joined
May 4, 2010



Rejao, hili linahitaji utaalamu wa mapenzi kweli? Ah bana .... Hebu jiulize wanaume waliooa Ghana wanaishiishije iwapo kwa wastani wanapata huduma ya ndoa mara moja ndani ya siku 28?
kwa hali ya kawaida kukaa kwa 28 days in average ndani ya ndoa bila kukutana ni ngumu sana.