Tuombe isiwe attack tu... May be wanaupdate database etc... Ila why mpaka insta and fb?? Twittee is okay....
Mara zote nimeitumia kwenye masuala yangu ya kiofisi kwa kutuma na kupokea documents , lakini leo zinagoma kufunguka kabisa , hata documents ninazotuma nazo zinagoma kufunguka huko ninakotuma , uchunguzi wangu umebaini kwamba lundo la watumia whatsapp nao wanapata tatizo kama langu .
Je kuna shida kubwa imetokea ambayo mimi sijaambiwa au nimechelewa kufahamu ?
Hili n tatzo la kila mahali sio Tanzania tuJe mitandao imeanza kudhibitiwa Tanzania kama tulivyoelezwa awali ?
Au mmiliki ni mmoja hadi insta?Tuombe isiwe attack tu... May be wanaupdate database etc... Ila why mpaka insta and fb?? Twittee is okay....
Yeap hadi fbAu mmiliki ni mmoja hadi insta?

Hamia TELEGRAM hutajuta. Tatizo wabongo wamekariri kila mtu group laMara zote nimeitumia kwenye masuala yangu ya kiofisi kwa kutuma na kupokea documents , lakini leo zinagoma kufunguka kabisa , hata documents ninazotuma nazo zinagoma kufunguka huko ninakotuma , uchunguzi wangu umebaini kwamba lundo la watumia whatsapp nao wanapata tatizo kama langu .
Je kuna shida kubwa imetokea ambayo mimi sijaambiwa au nimechelewa kufahamu ?
nmefanya bado tatizo lipoRestart your phones