WhatsApp imepata tatizo gani ?

WhatsApp imepata tatizo gani ?

ila kwa wanaotumia aina nyingine zile za whatsapp hawajapata tatizo hili
 
Watanzania wameshinda pazuri aise🤣🤣🤣🤣🤣 nikweli mtoa mada
 
Mimi kwangu documents zinafunguka na meseji zinaingia na zinatoka ila picha na video ndo hazifunguki na status haziload I think leo Whatsapp inareact tu
 
Naona wadukuzi walishafanya yao, Facebook,WhatsApp, Instagram mambo ni ovyo,picha hazifunguki
 
Tanesco Kyela mbona mnataka umeme kila mara bila kutaarifu Wananchi ama ni mm tu ndo cpati taarifa hiyo ,wenye Kujua mtusaidie
 
Mara zote nimeitumia kwenye masuala yangu ya kiofisi kwa kutuma na kupokea documents , lakini leo zinagoma kufunguka kabisa , hata documents ninazotuma nazo zinagoma kufunguka huko ninakotuma , uchunguzi wangu umebaini kwamba lundo la watumia whatsapp nao wanapata tatizo kama langu .

Je kuna shida kubwa imetokea ambayo mimi sijaambiwa au nimechelewa kufahamu ?

Kuna tatizo...i'm sure soon wata-restore huduma
 
Mara zote nimeitumia kwenye masuala yangu ya kiofisi kwa kutuma na kupokea documents , lakini leo zinagoma kufunguka kabisa , hata documents ninazotuma nazo zinagoma kufunguka huko ninakotuma , uchunguzi wangu umebaini kwamba lundo la watumia whatsapp nao wanapata tatizo kama langu .

Je kuna shida kubwa imetokea ambayo mimi sijaambiwa au nimechelewa kufahamu ?
Hamia TELEGRAM hutajuta. Tatizo wabongo wamekariri kila mtu group la
WhatsApp
 
Back
Top Bottom