BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Hahahahaaaa boflo huo mkwala wa tembo tu!!! hapo asogei kabisa....na jamaa wanamalizaKama ni mimi....ningekomaa na ule msemo usemao: "Ni halali nzi kufia kidondani" Je wewe utafanya nini????????????
View attachment 63040
huyu tembo nae viipiiiii.....?
Anakata handas eehhh!!!
We bwana Boflo una mambo!