What is the purpose of cheating????

Hahah Lawyer, kwani kisukari si inamaanisha tamu tamu au?
Shem! kuna pia ile kisukari wataalamu wanaita Diabetic Mellitus (Dr Riwa atarekebisha spelling hapa). Hiyo inaaweza kusababishwa na mishtuko inayotokana na vitu kama sredi za JF, kushabikia Arsenal, kufumania, kupigwa vibuti sana, n.k.
 
Shem! kuna pia ile kisukari wataalamu wanaita Diabetic Mellitus (Dr Riwa atarekebisha spelling hapa). Hiyo inaaweza kusababishwa na mishtuko inayotokana na vitu kama sredi za JF, kushabikia Arsenal, kufumania, kupigwa vibuti sana, n.k.

dahhh, ....ebana acha kuninyanyapaa bana, mimi ni muathririka wa yote hayo!
 
Hahah loh hapa lazima roho ziume mbu maana sred nyingine inakufanya ujikute unakitoa kilichoko sakafu ya saba ya moyo! Mwe! Nafuu yako itakuwa kama huyo mwenzako hayupo JF....maana awezazizima moyo kwa confesions zako!

...kwa jinsi alivyonitenda na jinsi ninavyomchukia...haki ya nani hakuna ninaloweza fanya likatosheleza kupunguza machungu yake...acha tu ni confess hapa, inanisaidia kuutua mzigo...
 

...kwa jinsi alivyonitenda na jinsi ninavyomchukia...haki ya nani hakuna ninaloweza fanya likatosheleza kupunguza machungu yake...acha tu ni confess hapa, inanisaidia kuutua mzigo...
Hivi mkuu Mbu, zile what if? what if? hazikujii kichwani, au mamsapu hakuwa na upendo na wewe tangia mwanzo?

Yaani nakusudia zile, labda ningefanya hivi pengine isingetokea vile,mfano : yaleiti ningemnunulia mkufu wa zahabu pengine angenithamini n.k
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hivi mkuu Mbu, zile what if? what if? hazikujii kichwani, au mamsapu hakuwa na upendo na wewe tangia mwanzo?

Yaani nakusudia zile, labda ningefanya hivi pengine isingetokea vile,mfano : yaleiti ningemnunulia mkufu wa zahabu pengine angenithamini n.k

lol....e bana wee...kama nilivyomjibu mwj1...naamini nilifanya yote niliyopaswa kufanya, haikuwezekana...basi!
mwj1 kapotelea wapi tena...lol? nilitaka nimuombe ushauri hapa kwa muono wake wa 'women are from venus'
 
Kwanza napenda kusema kuwa,wakati najihusisha na masuala ya mahusiano sijawahi kucheat,so sikuwahi kujua sababu ya kufanya hivyo,kiumri nina miaka 3....So that nimeona mengi mpaka mimeamua kuuliza hapa jamvini leo,nimeshashuhudia na watu wakilalamika wengine mpaka wamejiua wengine wapo gerezani wengine maisha yakipata dhroruba(mimi pia nipo kwenye kundi hili thats why sitaki ndoa wala mahusiano ya kimapenzi)wengine wana vilema n.k kwa sababu ya cheating!Hivi wakati unafanya hayo unakuwa unawaza nini?Je ni kisasi,au ni kutokuridhishwa kimapenzi,fedha au ni nini?Nauliza coz malalamiko ya jambo hili na athari zake ni kubwa katika jamii yetu,hebu mnaocheat au mliofanya jambo hili mtuambie sababu japokua mpaka leo sijaona sababu ya msingi ya kufanya jambo hilo,pia mtakua mmewasaidia wale walioko kwenye uhusiano au wanaotaka kuanzisha mahusiano!Maana kama unataka kuondoa tatizo tafuta chanzo cha tatizo!

Loh sasa wewe naona unataka kuturudisha kule kule. But ni kweli kuwa ukitaka kutatua tatizo ni vema kujua chanzo cha tatizo hilo. Najua ninawezakwenda tofauti na wengi but kwa mimi na mtazamo wangu nina haya ya kusema
1. Kwa cheaters ambao wana mahusiano halali i.e. Mume wa mtu na mke wa mtu : Hawa ni tamaa tu na kusema ukwelii wanawakosea sana wenzi wao wa halali!. Kusolve hili ni kujaribu kukidhiana haja za miili, akili na hisia zetu tuwapo na wenzi wetu na pia kuendelea kuomba hofu ya MUNGU itawale.
2. Kwa wale Mke wa Mtu na Serengeti boy - Tamaa na maadili mabovu (ya mama kutaka kutoka nje na mtoto/ mvulana n.e. ) nayo ni aibu na makosa kwa mume wa Mmama. Sina uhakika ila ninaamini pia kuwa kwa kijana wa aina hii anajitwika laana na mikosi tu,
3. Mue wa mtu na binti wa rika dogo lets say mwanafunzi au mfanyakazi but bado ni binti- Ukosefu wa maadili kwa wote mbaba na binti, na kuliondioa ni kuendelea kupreach na kupreach kwa mabinti zetu tuwafungue wajitambue.
4. Mume wa mtu na mdada ambaye ni aged na single/ widow/separated/divorced and the alike............Hapa ninashikwa na kigugumizi kwa sababu kuu moja
- Mwanamke wa aina hii, let say ashafikia 35 and above, alishakata tamaa ya kuolewa (wether aliharibu huko nyuma kwa makusudi au mfumo tu wa maisha ulimfanya akawa hapo alipo mf. masomo kwanza akasahau kuwa vyote vyaenda kwa pamoja, au hajabahatika tu kumpata mkweli wa kumwoa kifupi hana stable relationship. Ina maana at her age, kumpata tena mwanaume (wa age yake and above ambaye yuko single ni ngumu, ambaye amedivorce, ameseparate au ni widower, inakuwa ni ngumu kwa kuwa (ni fikra yangu pia)
- Ni wababa wachache wanaoweza kukaa muda mrefu baada ya either kudivorce, separate au kufiwa na mke bila kuoa mwingine! (So possibility ya mdada huyu kujipatia inakuwa ndogo kulinganisha na wanawake wa aina yao

Sasa ili tutatue tatizo la hawa kucheat na watu wa watu, tunawapa mbinu gani za kukabiliana na 'hali ya ubinadamu'? kama kweli tunasema binadamu hawezikaa muda mrefu pasipo ku-do. Ili asitoke na an occupied man au serengeti boy?

Eh sijui kama nimeeleweka maana na hii Ballantine kichwani!
 

...kwa jinsi alivyonitenda na jinsi ninavyomchukia...haki ya nani hakuna ninaloweza fanya likatosheleza kupunguza machungu yake...acha tu ni confess hapa, inanisaidia kuutua mzigo...

Dah Mbu umetendwa nini hicho kiasi cha kuumia namna hii? Usijekuta ni yale ya mimi kama mwanaume nacheat but mke wangu asithubutu!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Dah Mbu umetendwa nini hicho kiasi cha kuumia namna hii? Usijekuta ni yale ya mimi kama mwanaume nacheat but mke wangu asithubutu!!

...ahhhh, mwj1 wee...haya bana....pre judgements hizo...
leo umenikusudia balaa...basi nami acha niuachie upepo uvume
najua patatulia tu...
 
this is like the oldest question in the world and suprisingly we all know the answer but we are just too afraid or jst simply too ignorant to be vocal about it...cheating happens in rshps,and rshps are supozdly come from lov ..now this is where it all starts..naturally a human individual can have affectionate feelings to more than just one person,yes true.... so tht bf or gf or urs right now has feelings for othr guys/girls but she/he cnt tell u tht coz its prohibited by the rshp constitution...back to ure qstn..when one fails to ignore such natural feelings for othr guys/girls..then cheating happens...bottom line is...we are in rshps but we all love/lust/desire othr people ..only difference is ..we dont act on it

Thanks Charl, you said it rightly!
 
Is not that simple kawaida nyie hammaanishi mnachokisema,pia kwa upande wangu simuamini binti yoyote,hayajawahi kukukuta wewe?

NO Matter EIYER , kunikuta au kutonkuta my life goes on na sina sababu ya ku giv up as am still alive and i can make things happen
kwa kupata mume mwema....
huwa yakinikuta nasema ..kila jambo linatokea kwa sababu na kwa kuwa bwana yesu hutuwazia mema kila saa najua atafanya kwa wakati wake..
jipe moyo is not end of the world brother
 
...ahhhh, mwj1 wee...haya bana....pre judgements hizo...
leo umenikusudia balaa...basi nami acha niuachie upepo uvume
najua patatulia tu...

Jamani pole nlitaka tu kukusaidia kuyeyusha hilo donge ulonalo darl kabla hujakabwa na maji bana! Forgive and forget please! Toa nafasi kwa wengine kufaidi pendo lako! Rudi kama zamani na kamwe usiseme experience hiyo imekufanya uwe Mbu mwingine tofauti na yule wa zamani! Its not fair kwako na kwa utakayempenda.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Jamani pole nlitaka tu kukusaidia kuyeyusha hilo donge ulonalo darl kabla hujakabwa na maji bana! Forgive and forget please! Toa nafasi kwa wengine kufaidi pendo lako! Rudi kama zamani na kamwe usiseme experience hiyo imekufanya uwe Mbu mwingine tofauti na yule wa zamani! Its not fair kwako na kwa utakayempenda.

Vitu vingine ni vigumu sana MJ1,hakuna anaependa kuumia!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
NO Matter EIYER , kunikuta au kutonkuta my life goes on na sina sababu ya ku giv up as am still alive and i can make things happen
kwa kupata mume mwema....
huwa yakinikuta nasema ..kila jambo linatokea kwa sababu na kwa kuwa bwana yesu hutuwazia mema kila saa najua atafanya kwa wakati wake..
jipe moyo is not end of the world brother

Vipi kama huyo Yesu amenipangia niishi peke yangu?
 
Jamani pole nlitaka tu kukusaidia kuyeyusha hilo donge ulonalo darl kabla hujakabwa na maji bana! Forgive and forget please! Toa nafasi kwa wengine kufaidi pendo lako! Rudi kama zamani na kamwe usiseme experience hiyo imekufanya uwe Mbu mwingine tofauti na yule wa zamani! Its not fair kwako na kwa utakayempenda.

....am extra careful....sasa nakwenda na natural insticts, sio kwa upofu kama zamani....
mapenzi sio mchezo mwema hata kidogo mwj1...

oooppppsss...tunatoka nje ya mada...swali ni what is the purpose of cheating...
 
MJ1 kuna posti yako hapo juu umejitahidi kuelezea sababu za kucheat but hakuna hata moja ambayo ni halali,pili mahusiano halali ni yale mliyokubaliana nyie hata kama hamjaenda kwenye nyumba za ibada!
 
Kwanza napenda kusema kuwa,wakati najihusisha na masuala ya mahusiano sijawahi kucheat,so sikuwahi kujua sababu ya kufanya hivyo,kiumri nina miaka 3....So that nimeona mengi mpaka mimeamua kuuliza hapa jamvini leo,nimeshashuhudia na watu wakilalamika wengine mpaka wamejiua wengine wapo gerezani wengine maisha yakipata dhroruba(mimi pia nipo kwenye kundi hili thats why sitaki ndoa wala mahusiano ya kimapenzi)wengine wana vilema n.k kwa sababu ya cheating!Hivi wakati unafanya hayo unakuwa unawaza nini?Je ni kisasi,au ni kutokuridhishwa kimapenzi,fedha au ni nini?Nauliza coz malalamiko ya jambo hili na athari zake ni kubwa katika jamii yetu,hebu mnaocheat au mliofanya jambo hili mtuambie sababu japokua mpaka leo sijaona sababu ya msingi ya kufanya jambo hilo,pia mtakua mmewasaidia wale walioko kwenye uhusiano au wanaotaka kuanzisha mahusiano!Maana kama unataka kuondoa tatizo tafuta chanzo cha tatizo!

ndg katika mahusiano ujadanganya ujapata ukisema kweli shauri yako
 
Back
Top Bottom