MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
MJ1 kuna posti yako hapo juu umejitahidi kuelezea sababu za kucheat but hakuna hata moja ambayo ni halali,pili mahusiano halali ni yale mliyokubaliana nyie hata kama hamjaenda kwenye nyumba za ibada!
Sweetheart, hakuna sehemu nimesema kuna sababu HALALI ya kuicheat! nimejaribu kusema sababu mbalimbali za kwa nini mtu anacheat! But NOT HALALI