What is the purpose of cheating????

MJ1 kuna posti yako hapo juu umejitahidi kuelezea sababu za kucheat but hakuna hata moja ambayo ni halali,pili mahusiano halali ni yale mliyokubaliana nyie hata kama hamjaenda kwenye nyumba za ibada!

Sweetheart, hakuna sehemu nimesema kuna sababu HALALI ya kuicheat! nimejaribu kusema sababu mbalimbali za kwa nini mtu anacheat! But NOT HALALI
 
MJ1 i got u sweetheart,bu what should we do?
 
There is no purpose of cheating.if ur partner doesn't sastify u, why dont u leave him or her 4 good? instead of cheating.
 
There is no purpose of cheating.if ur partner doesn't sastify u, why dont u leave him or her 4 good? instead of cheating.

Good idea Yasmin but is not that simple!
 
Kwanza napenda kusema kuwa,wakati najihusisha na masuala ya mahusiano sijawahi kucheat,so sikuwahi kujua sababu ya kufanya hivyo,kiumri nina miaka 3....So that nimeona mengi mpaka mimeamua kuuliza hapa jamvini leo,nimeshashuhudia na watu wakilalamika wengine mpaka wamejiua wengine wapo gerezani wengine maisha yakipata dhroruba(mimi pia nipo kwenye kundi hili thats why sitaki ndoa wala mahusiano ya kimapenzi)wengine wana vilema n.k kwa sababu ya cheating!Hivi wakati unafanya hayo unakuwa unawaza nini?Je ni kisasi,au ni kutokuridhishwa kimapenzi,fedha au ni nini?Nauliza coz malalamiko ya jambo hili na athari zake ni kubwa katika jamii yetu,hebu mnaocheat au mliofanya jambo hili mtuambie sababu japokua mpaka leo sijaona sababu ya msingi ya kufanya jambo hilo,pia mtakua mmewasaidia wale walioko kwenye uhusiano au wanaotaka kuanzisha mahusiano!Maana kama unataka kuondoa tatizo tafuta chanzo cha tatizo!

kwenye red hapo,mkuu Eiyer embu nikuulize,are you serious au unafurahisha baraza?
 
jamani tujibu swali,mchokoza mada kauliza,'what is a purpose of cheating',
jibu ni straight forward...'to have fun',period.
 
Bashaija,inaonekana hawa jamaa ni kibokoee!

wote hao wana Phd ya purukushani za malavidavi,ukitaka kujua uweledi wao kasome uzi wa RussianRoultte ulioleta sekeseke la kaboka mchizi humu mmu kidogo watu walazwe icu kwa presha , nadhani uzi huo unakimbilia kwenye kurasa hamsini na unaendelea.
 
Eiyer

Kuna wengine (wanawake) wanafanya kwa revenge maana wanasema there is no better way to get back at a husband who has cheated than to cheat. Na pia wanasema “hell hath no fury like a woman scorned.” Kuwa kama mume anataka kujua au kuweka that evil part ya mkewe (huku kwetu tunasema kila mtu anacho kichaa chake, sasa ukitaka kukureveal kichaa cha mwenzi wako mke let her doubt your fidelity.


Kuna sehemu nilisoma mfano wa mwanamke aliyekuwa so devoted, alitumia muda mwingi sana kuimarisha familia yake, kiuchumi na kijamii na aliiweka ndoa yake ikawa ya kwanza........siku alipomkuta mumewe na mwanamke mwingine, kwa hacra naye akalipiza kisasi kwa kujikoki kubadilisha kabisa life style yake...yaani alistop kabisa kuvaa zile Grandma's pants na kuhamia kwa Victoria's Secret; them Cassandras, akaingia kwenye urembo 100% na kisha kutafuta mwanaume wa pembeni wa kumwonyesha hizo lingeries!


KWa hiyo kina baba mnapokuwa mnacheat wake zenu, jueni kwamba, anawezaamua kukupa za “tit for tat.” na kama wanavyosema hakuna suprise ngumu kumeza kama kugundua kuwa your devoted wife has decided that what is “good for the goose, is good for the gander.”

.....hahahaha....for more information refer kwenye thread ya RussiaRoulette on ..nyumba ndogo..(jibu)
 
....lol,...haya sasa....!

mwj1 miaka saba iliyopita nilikuwa kwenye relationship na mwanamke anayejiskia hivyo...
kila jitihada niliyofanya kumhakikishia yeye ndio yeye, hata kufikia hatua ya mimi kugombana na
kutengana na familia yangu kumthaminisha yeye, bado tu hakujiamini...na akaendelea ku cheat zaidi
ya mara saba nizijuazo mimi mbu!...

mwj1....i did everything bana, everything unayoweza fikiria,
hapana bana...ni ujinga wake tu uliotukuka....lakini, amenisaidia sana kuujua ukweli kwamba
mwanamke asiyejiamini hafai asilani kuwa mke na wala simshauri yeyote kumuoa mwanamke wa aina hiyo!



....lol, (ashakum si matusi)...ile midomo si ilitokana na swali bana? kuna mtu alisema ati tofauti ni nini kati ya nanihii ya mkewe na hiyo ya nje...sasa nami kumjibu kidiplomasia, nikamuonyesha hata midomo (hii ya kulia chakula) haifanani, sembuse nanihii ya mkewe na ya kimada?

ndugu yangu Mbu,hivi unamtofautishaje mwanamke anayejiamini na asiyejiamini?
 
wote hao wana Phd ya purukushani za malavidavi,ukitaka kujua uweledi wao kasome uzi wa RussianRoultte ulioleta sekeseke la kaboka mchizi humu mmu kidogo watu walazwe icu kwa presha , nadhani uzi huo unakimbilia kwenye kurasa hamsini na unaendelea.

Kumbee!Huo uzi nimeuona,nilikua nacheka tu,watu wakiwa wakweli humu tutaweza kupata jibu la kwenye huo uzi wa RussianRoultte!
 
Cheating husababishwa na tabia mbili ambazo binadam wote tunazo 'albeit' kwa viwango tofauti kati ya mtu na mtu. Envy na Jelousy. Envy ni ile hali ya kutamani kitu ambacho si chako, hata kama ulicho nacho ni bora kuliko kile kingine, ila envy hufanya wenye nayo kutamani kile kisicho kuwa chao. Envy huwafanya watu wengine wawe wezi, wachawi, n.k.

Jelousy au wivu husababisha watu kuwa overly protective na vitu vyao. Kwa sababu hiyo wengi wanakuwa hawajiamini katika mahusiano yao kwani kila wakati huona kuwa huyu wa kwake anachukuliwa na wengine na tendency ya kuwa overly protective humfanya mtu asijiamini. Kutojiamini ndo kunakosababishwa hizi cheating wengi mnaziita eti za kulipiza kisasi! Wakati mwingine huna ushahidi wa kutosha, ila basi tu.
 
Mzee sababu ni kama hizi
  • Mahusiano mabaya kati ya wapendanao
  • Kulipiziana kisasa hasa wadada (kwa wadada)
  • Kutokuridhishana faragha
  • Tamaa ya Pesa (kwa wadada)
  • Kukomoana (kwa wadada)
  • Tamaa ya vyeo au mchakato wa kupata kazi (Kwa wadada)
  • Mahusiano yaliyosababishwa na msukumo wa ndg au wazazi (hukuna mapenzi ya dhati kati yao)
  • Kuwa na mahusiano kama fashion
  • Kupenda usikopendwa
  • Tabia za baadhi ya watu
  • nk
Mkuu sababu ni nyingi sana na kuweza kuidentify watu wenye misimamo ya dhati ktk mahusiano si jambo jepesi hata kidogo. Unapohitaji kuingia kwenye mahusiano jaribu kujipa muda wa kutosha kustudy tabia za mtu na mwenendo wake, pia maombi kwa Mola ni jambo muhimu kuhakikisha kuwa hauhangukii ktk mikono ya maharamia wa mapenzi!
Pole and take care!
 
Kipima Pembe i apriciate what u've said but udhaifu wa mtu ni tatizo pale unaposababisha madhara kwa mtu mwingine,kama ni hivyo inatakiwa ipatikane dawa ya huo udhaifu ili madhara yasiwepo!
 
HorsePower,sasa unapocheat ndo matatizo hayo uliyoyataja ndo yanaisha au ndo unayaongeza?
 
Bahati mbaya sana envy na jelousy hazitibiki. Watu tunazo sababu tumezirithi kutoka kwa wezazi wetu. Tabia hizi hujitokeza kuwa dominant kutoka mtu hadi mtu, yaani mwingine ana envy (tafsiri sahihi ya kiswahili siijui) zaidi ya wivu. Hata wale wenye envy zaidi, viwango hutofautiana kutoka kwa mtu hadi mtu. Wengine wana wivu zaidi kuliko envy na hali kadhalika kwa viwango tofauti tofauti. Ila kuna levels ambazo zikifikiwa ni hatari. Kazi kwetu ni kujua wenzi wetu wana-score kiasi gani kwenye envy/jelousy? Hakujawa na standards, ila mambo haya huwa yanaonekana mapema tu tunapoanza mahusiano. Bahati mbaya, love/lust inatuzuia kuyaona na hivyo tunajikuta tumeshaingia kwenye mahusiano.
 
Back
Top Bottom