mojoki
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 1,314
- 290
wanaume tunajua wengi tunafanya hivyo coz ya tamaa dem mkali akatiza mbele yako jichole jichole,shingo shingole,ngozi rangi ya nazi kavu,afu watoto wa skuiz ukimuita tu kaja...and we all know skuiz hatutongozi ukiomba namba ya simu tu ukapewa tayari kitu na boksi everybody knows what next...all in all kucheat kati ya bf na gf haina shida coz hata huyo bf mnazini tu wazinzi wakubwa ....lakini ni shetani anafanya kazi yake datz why tunasaliti makoloni yetu...'mshikwa popote (GF,MKE,KIMADA) nae kama hana busara hachelewi kulipa kisasi'