What is the purpose of cheating????

wanaume tunajua wengi tunafanya hivyo coz ya tamaa dem mkali akatiza mbele yako jichole jichole,shingo shingole,ngozi rangi ya nazi kavu,afu watoto wa skuiz ukimuita tu kaja...and we all know skuiz hatutongozi ukiomba namba ya simu tu ukapewa tayari kitu na boksi everybody knows what next...all in all kucheat kati ya bf na gf haina shida coz hata huyo bf mnazini tu wazinzi wakubwa ....lakini ni shetani anafanya kazi yake datz why tunasaliti makoloni yetu...'mshikwa popote (GF,MKE,KIMADA) nae kama hana busara hachelewi kulipa kisasi'
 
Majoki,unataka kusema ukimkuta gf wako anapopolewa hautaumia kisa ni gf wako na sio mkeo?
 
KipimaPembe,trust me wivu hazaliwi nao mtu yoyote,wivu ni dalili ya kutojiamini,mtu anaejiamini hawezi kuwa na wivu!
 
Majoki,unataka kusema ukimkuta gf wako anapopolewa hautaumia kisa ni gf wako na sio mkeo?

kwanini nisiumie wakati kuna hisia za mapenzi kati yetu....em soma tena naona hujaelewa nimeandika nini
 
Ok,Majoki,tatizo ulihalalisha cheating coz haikuwahusu mke na mume,sasa hebu niambie,sababu za cheating zinafahamika tatizo hazishibi yaani hazihalalishi cheating hata kama ziigeshiba zisingeondoa tatizo,je tufanye nini?
 
Cheating is not a goal, and hence it has no purpose. cheating is the consequence of our inability to respect our promises to our partners. that is why it is a failure and nobody should be proud f doing it (or providing any type of support to them, other than how to get out of it)[/QUOTE

Guys cheating haijaanza leo, kila mtu usimuwazie kudanganya. Kuna wanaume/wanawake wazuri hawana hizo tabia. What to do ni respect kuona na kuolewa kwa kwenda mbele. Ukituuliza kwa nini tunasema uongo hatuna sababu muhimu.
 
Imezoeleka sana kusikia kauli kama "naweza nikacheat halafu bado nampenda mke/mpenzi wangu".Kauli kama hizi nashindwa kuzielewa kabisa.Either,wanaosema hivyo hawajui maana ya kupenda ama wanapotosha maana ya upendo ili kutafuta kuhalalisha wanachofanya.Nijuavyo mimi upendo ni hali ya juu zaidi ya utambuzi,utu na ufahamu.Nijuavyo mimi,Upendo unapokuwepo kunakua na viashiria,viashiria hivyo ni UTU,HESHIMA,USAWA,HEKIMA,UFAHAMU n.k.Tukija kwenye suala la ndoa.Ili ndoa isimame inahitaji vitu vitatu,Ngono,Mapenzi na Upendo,lakini kati ya vyote hivyo UPENDO ndicho kilicho kikuu.Kwa tafsiri yangu ya upendo ni vigumu sana ukamfanyia matendo hasi unaempenda,kwa kuwa utamheshimu na utajiheshimu pia na zaidi utakua na utu na usawa.Kucheat kwa mfano ni kinyume cha kumheshimu mkeo/mumeo,lakini ni kinyume cha kujiheshimu kwa kuwa kuwaonesha wanawake/wanaume mwili wako hovyo ni kujidhalilisha.Kucheat pia ni kinyume cha utu kwa kuwa kufanya ngono hovyo sio utu ni unyama,yaani hiyo ni sifa ya wanyama.Kwa maana hiyo ni vigumu na haiwezekani ucheat halafu uwe unampenda mkeo/mumeo.Ukisema unampenda basi either hujui maana ya upendo au kama unajua unajaribu kuhalalisha uovu wako.Sasa huu ni msimamo wangu na mtazamo wangu,lakini haimaanishi niko sahihi,hebu wewe ulietofauti nami niambie mawazo yako,ni kweli unaweza kuitoa HAKI ya mwenza wako halafu ukawa UNAMPENDA??
 
this is like the oldest question in the world and suprisingly we all know the answer but we are just too afraid or jst simply too ignorant to be vocal about it...cheating happens in rshps,and rshps are supozdly come from lov ..now this is where it all starts..naturally a human individual can have affectionate feelings to more than just one person,yes true.... so tht bf or gf or urs right now has feelings for othr guys/girls but she/he cnt tell u tht coz its prohibited by the rshp constitution...back to ure qstn..when one fails to ignore such natural feelings for othr guys/girls..then cheating happens...bottom line is...we are in rshps but we all love/lust/desire othr people ..only difference is ..we dont act on it

You nailed it bro
 
Sijawahi kukutana na binti mwaminifu!

Mimi Mwaminifu sanaaaa nimeshacheat mara 7 na sijawahi kukamatwa. hahahaahah:redface:! pole sana ila mpaka mwanamke anafanya cheating ni kuwa mumewe ameanza sasa yeye anafanya revange, na huwa inakuwa mbaya sana kwa sababu anafanya kwa hasira.
 
Imezoeleka sana kusikia kauli
kama "naweza nikacheat halafu bado nampenda mke/mpenzi wangu".Kauli
kama hizi nashindwa kuzielewa kabisa.Either,wanaosema hivyo hawajui
maana ya kupenda ama wanapotosha maana ya upendo ili kutafuta
kuhalalisha wanachofanya.Nijuavyo mimi upendo ni hali ya juu zaidi ya
utambuzi,utu na ufahamu.Nijuavyo mimi,Upendo unapokuwepo kunakua na
viashiria,viashiria hivyo ni UTU,HESHIMA,USAWA,HEKIMA,UFAHAMU n.k.Tukija
kwenye suala la ndoa.Ili ndoa isimame inahitaji vitu
vitatu,Ngono,Mapenzi na Upendo,lakini kati ya vyote hivyo UPENDO ndicho
kilicho kikuu.Kwa tafsiri yangu ya upendo ni vigumu sana ukamfanyia
matendo hasi unaempenda,kwa kuwa utamheshimu na utajiheshimu pia na
zaidi utakua na utu na usawa.Kucheat kwa mfano ni kinyume cha kumheshimu
mkeo/mumeo,lakini ni kinyume cha kujiheshimu kwa kuwa kuwaonesha
wanawake/wanaume mwili wako hovyo ni kujidhalilisha.Kucheat pia ni
kinyume cha utu kwa kuwa kufanya ngono hovyo sio utu ni unyama,yaani
hiyo ni sifa ya wanyama.Kwa maana hiyo ni vigumu na haiwezekani ucheat
halafu uwe unampenda mkeo/mumeo.Ukisema unampenda basi either hujui
maana ya upendo au kama unajua unajaribu kuhalalisha uovu wako.Sasa huu
ni msimamo wangu na mtazamo wangu,lakini haimaanishi niko sahihi,hebu
wewe ulietofauti nami niambie mawazo yako,ni kweli unaweza kuitoa HAKI
ya mwenza wako halafu ukawa UNAMPENDA??

duh!Eiyer!
 
There is no purpose of cheating.if ur partner doesn't sastify u, why dont u leave him or her 4 good? instead of cheating.

kunakua kuna vitu bado navitaka kutoka kwake ila tatizo usiku naomba mechi ananiambia kachoka, nimerudi nauliza wapi chakula ananinyooshea na mguu kile pale, kwann nisipate raha upande wa pili
 
Eti tigo wanasema experince the de..................
Mwisho wa siku ni upofu wetu tu!
 
Binafsi sioni faida yoyote ya cheating ni hasara tu. Nafsi ikusute sana kwanini umtende mwenzio hivyo, posibility ya kupata magonjwa, fumanizi likukute upigwe ka mbwa mwizi, uabike, ujishushie heshima, hii pia ni dhambi ya uzzinzi kwa leo ngoja niishie hapa

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom