Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,445
- 25,733
usijali nipo nafanya maandalizi kukunasua kutoka kwa huyo mzeeLooh hapo ndo huwa simuelewi huyu Babu anatumia kizizi gani kutufumba macho...
Natambua sana kuwa humu ana mke na michepuko kibao ila sibanduki kwenye malabuku zake, nisaidie basi kunitoa kwake maana najiona nshafeli Homie...
You know we are cousins, don't let your cousin end up in polygamy relationship please....