What do you think the world will be like in 100 years?

wewe mipango ya dunia unaionaje.. Hali itakuaje miaka 100 ijayo kutokana na mipango hii?

kwa upande wa dunia kwa ujumla ndugu yangu napenda nikuambie hali itakuwa mbaya kwa sababu zifuatazo
1. Binadamu hatupendani na siku zinavyozidi kwenda makundi yenye uhasama yanaongezeka na watu wanauana kama wanyama
2. Magonjwa nayo hayako nyuma yanatumaliza kama mavuno bila shaka wewe mwenyewe unaelewa ni kwa kiasi gani magonjwa yanavyotufaidi na haionekani dalili ya tatzo hili kupungua bali linaongeza kasi
3. Kunamaendeleo mengi ya kisayansi ambayo yanachangia sana kuharibu dunia yetu na hili linaongezeka kila kukicha bila shaka hili linaeleweka
Hayo ndo machache ambayo nikajaribu kupiga picha ya miaka mia kwa dunia yetu yatakuwa yametuweka mabaya kuliko sasa, labda yatokee mabadiliko katika hayo
 
kwa upande wa dunia kwa ujumla ndugu yangu napenda nikuambie hali itakuwa mbaya kwa sababu zifuatazo
1. Binadamu hatupendani na siku zinavyozidi kwenda makundi yenye uhasama yanaongezeka na watu wanauana kama wanyama
2. Magonjwa nayo hayako nyuma yanatumaliza kama mavuno bila shaka wewe mwenyewe unaelewa ni kwa kiasi gani magonjwa yanavyotufaidi na haionekani dalili ya tatzo hili kupungua bali linaongeza kasi
3. Kunamaendeleo mengi ya kisayansi ambayo yanachangia sana kuharibu dunia yetu na hili linaongezeka kila kukicha bila shaka hili linaeleweka
Hayo ndo machache ambayo nikajaribu kupiga picha ya miaka mia kwa dunia yetu yatakuwa yametuweka mabaya kuliko sasa, labda yatokee mabadiliko katika hayo

kutokana na kukua kwa sayansi na teknolojia kukua kwa kasi UKIMWI unaweza kupona moja kwa moja pia magonjwa ya kimasikini kama malaria yanaweza kuisha.. Unaonaje hapo?
 
kutokana na kukua kwa sayansi na teknolojia kukua kwa kasi UKIMWI unaweza kupona moja kwa moja pia magonjwa ya kimasikini kama malaria yanaweza kuisha.. Unaonaje hapo?

hiyo yawezekana kabisa lakini vipi kuhusu uharibifu wa mazingira ambao unazidi kutokana ma kukua kwa teknolojia? Dunia yetu inazidi kujaa hewa za sumu kweli tutapona? Vipi kuhusu depletion of ozone layer we unahisi miaka mia baadaye hali itakuwaje?
 
I guess world's population will twice as it is today bearing in mind that current population is million times it was 100 years ago. Big nations will exercise colonialism over weak nations especially RESOURCEFUL ones. Signs can be seen even today.. some countries are in contracts for harnessing resources like minerals, oil, and gas in the name of propaganda "UWEKEZAJI"

Industrialization and mechanization will a major activity and Citizens of less developed nations will suffer much as they will have no formal employment. Their farms will be occupied or will be infertile due to industrial effects, every thing will be priced higher and life will really be tough to less economically endowed countries and their people.
Leaders of less developed nations will have no say any where and will be treated as chieves, watemis were treated by being offered little gifts to abandon interests of their people and work for interests of colonials.
Cultrure and education will be dominated by the nation that will be most powerfull.
Innovation and technology will be very high to the extent natural things including natural foods will be very little or none at all, much things will be synthetic ones
 
noana kulingana na population pressure inavyoongezeka afrika itakuwa ndio kimbilio hasa toka china tutegemee more than 30% ya citizens ni wachina. pia hali ya mtu mweusi itakuwa mbaya sana na tutaanza kupungua adoado kama red indians na waaborigine.
 
Sio mpumbavu, ni hoja tu hahaha.

Nahakika hakutakua na mtu mweupe wala mweusi. We are mixing up kinoma.

Watakao kuwepo watakua vizuri sana kwa maana ya technorojia ila hakutakuwepo na amani kama hivi sasa.

Pia mafisadi ndo kwanza watakuwepo kibao maana wanarithishana hofu ni asiye nacho ataendelea kutokua nacho
 
DAR-ES-SALAAM wote wanaoishi apo watakuwa mashoga mabasha na wasagaji 2,kazi zao zitakuwa kuimba huu mziki wao wa kipumbavu na na na na na ......................
 
Back
Top Bottom