Wezi wenye 'leseni ya kukuibia' Kariakoo

Uzi mzuri Sana!!

Hasa kwa Waha wa Kigoma.... Ushamba mwingi sana
Thubutu kuna muha katoa 1M kariakoo kajaza vyombo kwenye Fuso kaondoka,
Mwenye duka ndo anaanza kupaniki,mzigo umeshaondoka
 
Wewe ndio washamba wenyewe
China plaza kuna maduka mengi tu yanauza used kama mpya..
Na unaweza pigwa hata humo China plaza

Kwa taarifa yako wenye maduka mengi hapo Kkoo walifungua branch humo China plaza
Unajiona unajua kumbe hujui
Naona yupo sawa
Kariakoo kuna watu kati wengi sana(winga)

Ila China Plaza hawawaruhusu Mawinga
 
ni vijijini tu ndio hakuna machinga, Rais karuhusu hawa jamaa watapakae popote na wao wana Ofisi na magari ya kusambaza bidhaa za aina zozote, nakushangaa wewe hujawahi kupigwa changa la macho, hata kura kina Lissu wamekubali changa la macho sembuse CDM wametulia ndio maana nikasema karibu Kkoo Bundy wapo, ingawa na mm sikuitumia nachangamsha jukwaa bado nina kitochi x-tigi
 
Ina maana ni sawa na kinachoendelea kule gerezani?..maana stori tunazopata ni kuwa unaibiwa kifaa cha gari alafu unaenda kukinunua kule na maisha yanaendelea kama kawaida tu.
Au pale mnadani jirani tu na kituo cha msimbazi
 
Ni kweli kabisa hawa mabint hata ukiwakatalia bado wanakufuata nyuma kwa maneno mazuri sasa wenzetu wanatubishia naona hii biashara ni vijijini tu haipo tupo hapa kuhabarishana dunia inavyoenda sio mtu aingizwe mjini wakati JF ipo
cc @Majaribu2013
 
Ni kweli kabisa hawa mabint hata ukiwakatalia bado wanakufuata nyuma kwa maneno mazuri sasa wenzetu wanatubishia naona hii biashara ni vijijini tu haipo
tupo hapa kuhabarishana dunia inavyoenda sio mtu aingizwe mjini wakati JF ipo
Kuna siku nimeona wamepaki pale external wapo na kipaza sauti na Noah au siyo hao?!
 
Umakini ulio utumia ukajua ni simu fake ulishwandaje kutumia umakin huohuo hapohapo dukani ulipo inunua kabla hujaondoka? Au huwa hawaruhusu kukagua?
 
Naona yupo sawa
Kariakoo kuna watu krrrrrati wengi sana(winga)

Ila China Plaza hawawaruhusu Mawinga
Huyu anazingua yeye anaenda kununua simu chini ya mwamvuli anasema kariakoo mbaya hata akienda dubai atapigwa tu maana anapenda rahisi
 
Dawa ni kudeal na huyo tapeli,namfuatilia mpka anapoishi halafu badae atawapa majibu matapeli wenzake hakuna kwenda police
 

Na Tbs hahusiki na simu feki, ni FCC bro (fair competition commission)
 
Hapo lazima pawepo na ushirika Kati ya maduka hayo na baadhi ya watendaji wa kutatua kero za wananchi
 
mkuu umeongea vizuri vipi kuhusu tuhuma za mtoa uzi unalizungumziaje hilo?
 
Kuna raia wana akili kuliko hata maaskari tuliowapa dhamana ya kutulinda sisi pamoja na mali zao.
 
Kuna siku nimeona wamepaki pale external wapo na kipaza sauti na Noah au siyo hao?!
Ndio hao Mkuu kuna wavulana km watatu na wasichana watatu mmoja wa hao mabint anabakia kwenye siti ya mbele ya abiria, na dereva wao wanajiunga kupromote hizo bidhaa.

sasa hujui km utauziwa simu ya bundi ila unaletewa vikaratasi ujaribu bahati yako, na kucheza ni bure au buku, unaweza ambulia vocha au betri lkn nyingi ni simu, ukishinda huwezi jua ila wanakupeleka kwenye Noah unasikia huyu Bingwa kashinda nipe simu nimuelekeze .....................
ukigutuka unakuta unapewa Warrant na mawasiliano yao kabisa TRACE .....Co Ltd Kariakoo sasa nenda kadai fidia hakuna mtu. wewe waache iko siku wataingia tena choo sio chao, maana siku hiyo walikimbia
 
Basi itakuwa wamepiga watu wengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…