Wezi wenye 'leseni ya kukuibia' Kariakoo

Wezi wenye 'leseni ya kukuibia' Kariakoo

Mimi sio mtaalam wa sheria za bongo
Kwa kweli Polisi sio kazi yao hiyo
Ni sawa Polisi kukwambia ulete vielelezo kuwa hiyo ni simu feki
Tumezoa kwenda polisi na kusema yule mwizi na kutegemea polisi wakurupuke tu wakamkamate, labda kwa kuhonga sawa
Utakuta walishakamata wengi lakini wakakosa ushahidi mahakamani, na kesi nyingi kupigwa chinina hayo maswali ndio waliulizwa lete ushahidi wa TBS
 
Mimi sio mtaalam wa sheria za bongo
Kwa kweli Polisi sio kazi yao hiyo
Ni sawa Polisi kukwambia ulete vielelezo kuwa hiyo ni simu feki
Tumezoa kwenda polisi na kusema yule mwizi na kutegemea polisi wakurupuke tu wakamkamate, labda kwa kuhonga sawa
Utakuta walishakamata wengi lakini wakakosa ushahidi mahakamani, na kesi nyingi kupigwa chinina hayo maswali ndio waliulizwa lete ushahidi wa TBS

Wewe ndo wale wasiojielewa..

Kazi ya polisi ni kuzuia uhalifu wa aina zote

Unaelewa maana ya organised crime?

Unaelewa maana ya financial crimes

Polisi hata brokers wa stock exchange wakivunja sheria wanatakiwa kuwachunguza
Na kuwakamata na kuwapeleka mahakamani..

Kama kitu hujui nyamaza
 
wanaopenda kitonga lazima wapigwe halafu k/koo kuna maduka mengi tu makubwa au ingia china plaza mtu anaacha anataka slope

Wewe ndio washamba wenyewe
China plaza kuna maduka mengi tu yanauza used kama mpya..
Na unaweza pigwa hata humo China plaza

Kwa taarifa yako wenye maduka mengi hapo Kkoo walifungua branch humo China plaza
Unajiona unajua kumbe hujui
 
Katika moja ya mashirika ambayo wananchi hawayafurahii ni police, utendaji wao umekua ukilalamikiwa miaka nenda rudi, serikali nadhani haijui ku deal na hilo shirika, no clue on what skills set, competencies required for its employees...
 
katika moja ya mashirika ambayo wananchi hawayafurahii ni police,utendaji wao umekua ukilalamikiwa miaka nenda rudi,serikali nadhani haijui ku deal na hilo shirika,no clue on what skills set,competencies required for its employees...

Kwanza kunahitajika reforms

Kuwe na units maalum za organised crime

Kama FBI hivi...

Kuna siku ntaanzisha threads maalum ya kushauri reform polisi

Mfano unaweza kukuta umeibiwa ubungo
Ukimkuta mwizi wako posta na hukutoa taarifa polisi inabidi uende ubungo Kwanza kutoa taarifa

Outdated kabisa hizi sheria
 
Wewe ndo wale wasiojielewa..

Kazi ya polisi ni kuzuia uhalifu wa aina zote

Unaelewa maana ya organised crime?

Unaelewa maana ya financial crimes

Polisi hata brokers wa stock exchange wakivunja sheria wanatakiwa kuwachunguza
Na kuwakamata na kuwapeleka mahakamani..

Kama kitu hujui nyamaza
Hivyo ndio nimesema tumezoea tu kwenda polisi na mashtaka ya kipuuzi kama haya ndio maana hawajishughulishi mpaka ulete vielelezo

Muda umepita sana bado mna akili ya kizamani, Kama huna ushahidi kuwa hiyo ni simu feki, unapoteza muda wa polisi

Na si kazi ya polisi kuchunguza hiyo simu kuwa ni feki. Ni mamlaka ya viwango tu ndio kazi yao. Polisi wanahusika only kwenye hela za bandia tu.

Mpaka TBS wathibitishe kuwa hilo duka linauza simu feki ndio watahusika. hii ndivyo ilivyo hata Uk, US, Europe popote.
 
Wewe ndo washamba wenyewe
China plaza kuna maduka mengi Tu yanauza used kama mpya..
Na unaweza pigwa hata humo china plaza

Kwa taarifa yako wenye maduka mengi hapo kkoo walifungua branch humo china plaza
Unajiona unajua kumbe hujui
Wewe mjanja sana ndio unashindwa kutofautisha simu mpya na used, usipende kislope utapigwa sana Karikoo hadi akili ikukae sawa
 
Daaaa nakumbuka mwaka juzi hapa walikuja dukani kukamata toner feki kama za milion 18 hivi...tuliyumba sana, zile wino namba 2 ukimshikia mtu hata kwa laki na ishirini hawwzijua kabisa na hapo unakuta dukan tumezinunua kwa elf 20 tu.

Karibuni kkoo
 
Daaaa nakumbuka mwaka juzi hp walikuja dukan kukamata toner feki kama za milion 18 hivi...tuliyumba sana,zile wino namba 2 ukimshikia mtu hata kwa laki na ishirini hawwzijua kabisa na hapo unakuta dukan tumezinunua kwa elf 20 tu.

Karibuni kkoo
Walikuja polisi??Au TBS??
 
Hivyo ndio nimesema tumezoea tu kwenda polisi na mashataka ya kipuuzi kama haya
ndio maana hawajishugulishi mpaka ulete vielelezo
Muda umepita sana bado mna akili ya kizamani,
Kama huna ushahidi kuwa hiyo ni simu feki, unapoteza muda wa polisi
Na si kazi ya polisi kuchunguza hiyo simu kuwa ni feki
Ni mamlaka ya viwango tu ndio kazi yao
Polisi wanahusika only kwenye hela za bandia tu
Mpaka TBS wathibitishe kuwa hilo duka linauza simu feki ndio watahusika
hii ndivyo ilivyo hata Uk, US, Europe popote
Nyie Dawa yenu ni kuwaroga kama yule Hakimu wa mahakama ya wilaya Kinondoni.
 
Karne hii bado kuna watu wananunua sim K/koo??huo ujinga wa kununua simu K/koo niliacha tangu 2010 baada ya kugundua hayo mnayoyasema.😁😁😁😁😁
Asilimia 80 ya simu Tanzania zinauzwa kutokea kkoo
Na wanauza hadi nje ya nchi
Zambia Malawi Comoro.. Hadi Zimbabwe na DRC wanakuja kkoo kununua vitu vingi ikiwemo simu...

Dawa ni kukomesha matapeli kuokoa biashara eneo hilo..
 
Hivyo ndio nimesema tumezoea tu kwenda polisi na mashataka ya kipuuzi kama haya
ndio maana hawajishugulishi mpaka ulete vielelezo
Muda umepita sana bado mna akili ya kizamani,
Kama huna ushahidi kuwa hiyo ni simu feki, unapoteza muda wa polisi
Na si kazi ya polisi kuchunguza hiyo simu kuwa ni feki
Ni mamlaka ya viwango tu ndio kazi yao
Polisi wanahusika only kwenye hela za bandia tu
Mpaka TBS wathibitishe kuwa hilo duka linauza simu feki ndio watahusika
hii ndivyo ilivyo hata Uk, US, Europe popote

Jukumu la mwananchi wa kawaida ni tu ku report crime imetendeka,

Sio kwamba leo amelizwa basi aende TBS..

Kesho basi aende tena police..

Huu ni usumbufu

NO!

Police wana wajibu, to work cooperatively na other Agencies, kuhakikisha uhalifu hautendeki na kama umetendeka na kuwa reported kwao..then wawajibike kuchunguza by involving other agencies wanaoweza kusaidia investigation...period,

Simply usiwatetee, police hawajui wajibu wao katika kumlinda mwananchi...
 
Back
Top Bottom