Mimi sio mtaalam wa sheria za bongo
Kwa kweli Polisi sio kazi yao hiyo
Ni sawa Polisi kukwambia ulete vielelezo kuwa hiyo ni simu feki
Tumezoa kwenda polisi na kusema yule mwizi na kutegemea polisi wakurupuke tu wakamkamate, labda kwa kuhonga sawa
Utakuta walishakamata wengi lakini wakakosa ushahidi mahakamani, na kesi nyingi kupigwa chinina hayo maswali ndio waliulizwa lete ushahidi wa TBS
Kwa kweli Polisi sio kazi yao hiyo
Ni sawa Polisi kukwambia ulete vielelezo kuwa hiyo ni simu feki
Tumezoa kwenda polisi na kusema yule mwizi na kutegemea polisi wakurupuke tu wakamkamate, labda kwa kuhonga sawa
Utakuta walishakamata wengi lakini wakakosa ushahidi mahakamani, na kesi nyingi kupigwa chinina hayo maswali ndio waliulizwa lete ushahidi wa TBS