Nina miaka 13 tokea mpaka android imenikuta kwenye idara ya vitu vya mawasiliano.usipende kuaminisha watu kupaka mavi hapo kariakoo,taaluma yangu kubwa ni mawasiliano.
Karakoo ni sehemu ya vijana na wafanya biashara wanao fanya biashara kwa mitaji midogo,pili vitu vingi unavoviona ni wewe ukitaka copy unapata kwa kuwa wafanya biashara wa mambo haya wanataalamu kuendana na mtu hana taka nini.!
Simu kutoka south africa,dubai,hong kong,walio kuja nazo toka nje ya nchi na kuwapa watu wauze ufikisha pale kwa kuwa ni rahisi kuhuzika haraka.
Tokea nimekaa kariakoo nimeweza kumili iphone 2g,3g,3gs,4,4s,5,5s,6,6s,7,7s,8,8s,x,xr,xs max na kwa bahati na simu nyingi ambazo mtu itamchukua mda kupata kwa kuwa maduka makubwa ni bei.
Maduka yapo mazuri watu wapo wazuri ni wewe tu.
Na kariakoo ndio imezalisha vijana mnao waona wameenda pembeni sijui mwenge,sijui wapi kuanzisha viduka hata posta lakini bizaa wanatoa huku kariakoo