Kwasababu ww unajitambua.Nmefedheheka mnoo......!
Sijui kwann nimesoma kilichoandikwa.
Regretssssss
Kwasababu ww unajitambua.Nmefedheheka mnoo......!
Sijui kwann nimesoma kilichoandikwa.
Regretssssss
Weeeweee. ...hahaAiseeee
Nimekupenda bure. Mungu azidi kukuongeza busara.Kuwa makini, siku utakapokuja jua tofauti ya "mwanamke" na "mke" isije ikawa too late!
Na mm nimeshangaa ujueWeeeweee. ...haha
Then ina mauz kweli alivyooandika. Angemuacha tu kimya kimya. Duuuh wakaka wengine jmn? Kwa hiyo humpendi mtu unakaa nae tu kumu enjoy? Either you are getting something from her or expecting to otherwise umeonyesha jinsi ulivyo na akili ambayo ni ya kivulanaUmeandika uongoooooo
Kama haumtaki sio lazima kuweuka na kuandika upupwu kusingizia.
Thanks mkuuMkuu..
Wewe endelea kufurahia 6*6 wenzako wanafurahia maisha ya furaha , ushirikiano na maelewano ya hali ya juu ndani ya familia. Ndoa ina ubabe wa siri hasa unapoitazama kwa jicho la la mwewe, jicho la tamaa ya ngono, jicho la kiswahili swahilii....
Tel himSo usipo waoa wewe ndio basi tena hakuna mwingine ataewaoa?. you look confused and desperate.