LUCKY BANANA
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 461
- 226
mkuu angalia kauli zako usisahau na wewe unadada mama wadogo au mashangazi na mabinamu wamejazana nyumbani
Kigezo kikubwa cha ndoa yoyote ile ni 6*6. Ndiyo maana mahanithi hawaruhusiwi kuoa. Kama unachukuwa mke kwa vigezo vingine basi huyo unanunua mtumishi wa ndani same mtumwa au business partner. A wife must be consumative on bed. Period!Duu! Kama kigezo chako kikubwa cha kuoa ni activeness ya kwenye 6*6, basi pole sana. Mke au mume ni zaidi ya hicho kigezo chako.
Yaani wanadhani wao ndo wako salama zaidi!!! Hajifikirii kwanini wamama watu wazima wanatafuta vijana wadogo? Miaka inavyoenda wanaume mpo kwenye risk kubwa ya kupungua nguvu... Wanawake wanafanyaga kuvumilia tu!!! Wasio na uvumilivu wanatafuta vitoto vidogo viwagegede...Ungejua tuu ukidunda 40s mzee anahitaji kick ili aamke usingejishebedua kihivyo, tena kama ww ndio wale wa vilaji au chips mayai ujue hata 40 ufiki mzee atakua anagomea mlimani hawezi panda mpaka mwisho
Haina shida. Lakini elasticity ya k yake ni nzuri kuliko ile ya ajuza mwenye 30Ivi mnadhani kila mwanamke anabadilisha tu wanaume hovyo eenhe!!! Unaweza kuta mtoto ya 18 kaingiliwa na midudu aina nyingi kuliko ata huyo mdada wa 30
Mahanithi hawaruhusiwi kuoa??? Who said that?Kigezo kikubwa cha ndoa yoyote ile ni 6*6. Ndiyo maana mahanithi hawaruhusiwi kuoa. Kama unachukuwa mke kwa vigezo vingine basi huyo unanunua mtumishi wa ndani same mtumwa au business partner. A wife must be consumative on bed. Period!
mkuu sijui unamiaka mingapi lkn ukweli ni kwamba mwanamke si 6X6 only unahitaji mwanzamke mwenye akili ambaye atapanga maisha atakayrku na ushirikiano n wewe akianguka mmoja mmeanguka wote sio kitu kimoja tu ur total wrong dogo fanya researchKigezo kikubwa cha ndoa yoyote ile ni 6*6. Ndiyo maana mahanithi hawaruhusiwi kuoa. Kama unachukuwa mke kwa vigezo vingine basi huyo unanunua mtumishi wa ndani same mtumwa au business partner. A wife must be consumative on bed. Period!
"Kiukweli sina mpango wa kuoa mwanamke ninaye lingana naye umri. Maana mwanamke mwenye 30 yrs sana sana amebakiza miaka 10 tu ya kuwa active kwenye 6*6. Baada ya hapo K inaanza kusinyaaa
Mimi nina 30 mpk nikafikishe 60 huko ni leo? Kwahiyo unakuja unajishebedua, unajituma lkn mie moyo wangu upo kwa mdada mwenye 21.
Nashindwa kukuambia ukweli kwamba mm naburudika tu kwako, maana jinsi unavyo shoboka nahisi ukiambiwa utapiga yowe la nguvu na kuzimia kabisa.
Wito kwa wadada wenye umri mkubwa tafuteni wazee wa miaka 60 wanaotaka kuongeza wake. Vijana huwa tunaongeza CV tu". Alijitapa mkware mmoja huku uswazi.
Jumapili njema.
Mimi nna wasiwasi huyu hana hiyo miaka 30!!!mkuu sijui unamiaka mingapi lkn ukweli ni kwamba mwanamke si 6X6 only unahitaji mwanzamke mwenye akili ambaye atapanga maisha atakayrku na ushirikiano n wewe akianguka mmoja mmeanguka wote sio kitu kimoja tu ur total wrong dogo fanya research
Kigezo kikubwa cha ndoa yoyote ile ni 6*6. Ndiyo maana mahanithi hawaruhusiwi kuoa. Kama unachukuwa mke kwa vigezo vingine basi huyo unanunua mtumishi wa ndani same mtumwa au business partner. A wife must be consumative on bed. Period!
Dada zangu nimewashauri kuwa wakifikisha umri wa miaka 25 hawajaolewa wasiwaze kabisa kuolewa. Wajijengee maisha yao. Habari ya kwenda kwenye familia za watu halafu wiki ya kwanza tu mnaanza kutafuta dawa za kuamsha hisia za mapenzi, mara vilainishi vya K, mara sijui kusafisha mirija iliyozibwa na wajanja waliokuwa wanasimamia vidole kumpump wakati wa ujana ya nn kusumbua watu.mkuu angalia kauli zako usisahau na wewe unadada mama wadogo au mashangazi na mabinamu wamejazana nyumbani
Mimi nna wasiwasi huyu hana hiyo miaka 30!!!
Mwanamke nae akikubali kuolewa na wewe kwa kigezo cha 6*6 tu sijui itakuaje pale ambapo dudu yako itakaposhindwa kazi!!!
Ndo mana divorce zimeongezeka sana siku hizi!!! Watu tunakurupuka tu likija swala la kuoa!!! Wanaendekeza decisions za kimwili bila kushughulisha akiliNI
UJIELEWI, NI BORA UMUOE IN ACTIVE MKE KULIKO HUYO WA MIAKA 21, BY THE TIME UNA MIAKA 40 YEYE ANA 30, THEN ATAFUTA MWANAMME ACTIVE NA YEYE, MALIPO NI HAPA HAPA MDOGO WANGU. NA HUYO WA MIAKA 21, ANALELEWA NA UNCLE ZAKO WENYE MIAKA 45 - 50. MWANAMKE WA MIAKA 30 AMEJIFUNZA MENGI, AMEJUA MAKOSA YAKE NA ANAWEZA KUWA THE BEST WIFE EVER!!!!! ILA HAMSIKIAGI, NA HAMJIFUNZI MPAKA MUINGIE KWENYE SHIDA.
Risk tofauti na uzee. Ninachosema mwanamke mwenye 30 kibaolojia kishazeeka ktk masuala ya uzazi na ngonoYaani wanadhani wao ndo wako salama zaidi!!! Hajifikirii kwanini wamama watu wazima wanatafuta vijana wadogo? Miaka inavyoenda wanaume mpo kwenye risk kubwa ya kupungua nguvu... Wanawake wanafanyaga kuvumilia tu!!! Wasio na uvumilivu wanatafuta vitoto vidogo viwagegede...
Uliza mabinti wanaotembea na wababa watu wazima wawaambie mechi zao zilivyo!!!
Una very litle and wrong knowledge kuhusu mwili wa mwanamke!!! Soma kwanza kabla hujaelimisha wengineDada zangu nimewashauri kuwa wakifikisha umri wa miaka 25 hawajaolewa wasiwaze kabisa kuolewa. Wajijengee maisha yao. Habari ya kwenda kwenye familia za watu halafu wiki ya kwanza tu mnaanza kutafuta dawa za kuamsha hisia za mapenzi, mara vilainishi vya K, mara sijui kusafisha mirija iliyozibwa na wajanja waliokuwa wanasimamia vidole kumpump wakati wa ujana ya nn kusumbua watu.
Mwanamke mwenye 30 ushafanywa sana. Unataka nn tena?
Anachonishangaza ni kwamba point zake ni za kukisia!!! Hazina mashiko!!!Msamehe bure huyu hajielewi ...... hajitambui kabisa .... ni wa kuombewa!
Dada zangu nimewashauri kuwa wakifikisha umri wa miaka 25 hawajaolewa wasiwaze kabisa kuolewa. Wajijengee maisha yao. Habari ya kwenda kwenye familia za watu halafu wiki ya kwanza tu mnaanza kutafuta dawa za kuamsha hisia za mapenzi, mara vilainishi vya K, mara sijui kusafisha mirija iliyozibwa na wajanja waliokuwa wanasimamia vidole kumpump wakati wa ujana ya nn kusumbua watu.
Mwanamke mwenye 30 ushafanywa sana. Unataka nn tena?