Western Propaganda Turns Mugabe into a Tyrant

Western Propaganda Turns Mugabe into a Tyrant

Kama MUGABE NI DIKTETA..WHAT ABOUT MWALIMU?
TALKING ABOUT UHURU WA HABARI?

I guess unalinganisha machungwa na nazi. Utawala wa Nyerere kipindi cha vuguvugu la kilichoitwa "mapinduzi" na musuguano wa vita baridi; wakati huo, nchi zilizojiita za kijamaa zilikuwa na utaratibu wa kutaifisha vyombo vya habari na kumilikisha serikalini. Hili lilikuwa ni kosa kweli kama sote tunavyofahamu, lakini ni kosa lilitokana na mfumo ule siyo kosa la mtu mmoja.

Professor Moyo alifanya kazi wakati makosa hayo yatokanayo vuguvugu la mapinduzi yameshajulikana na wala wao hawakuwa wanafuata mfumo wa kijamaa, vita baridi nayo ilikuwa imekwisha; hii ni miaka ya tisini. Hata hivyo yeye alikuwa akifungia magazeti selectively, siyo kwamba magazeti yote yalitaifishwa. Mengine yalikuwa yakifungiwa kutokana na uhusiano wake yeye binafsi na mwandishi au mtangazaji. Kuna jamaa mmja Mutumwa Mawere alikataa kumkopesha Prof Moyo pesa, matokeo yake Mawere akafungiwa kipindi chake cha Television.
 
Mkandara,

Who is Mugabe oppressing - is it the western media or the citizens of Zimbabwe.

Who are dying in Zimbabwe - are they the so called westerners or the helpless peoples of Zimbabwe.

Who are being rendered homeless now in their own country - are they the British, Americans etc - or the sons and daughters of Zimbabwe.

Who are going hungry in Zimbabwe - are they some beings from space or the innocent children of mother Africa.



.

What is the basis for your judgement?, does your judgement stem on consequences or primary cause?.Why do you think it is legitimate for Laurent Nkunda to de-stabilize democratically elected government and kill innocent people and no one seems to be bothered including the impotent institution called African Union?.What is so special in Zimbabwen blood compared to Sudanese,Somalis or Congolese blood?.
 
LAND AND AGRARIAN REFORM
Resolving the land issue once and for all

The MDC has always recognized the need for land reform and has, since its inception,
called for reform and equity in land occupation and use. However,
the party rejects
completely the manner in which ZANU(PF) has pursued the land reform issue since
2000. In fact, it is the view of the MDC that this exercise has compounded rather
than resolved the land issue, and at the same time it has destroyed the core of the
national economy and its food system.

When the MDC forms the next government in Zimbabwe, it will accept neither the
status quo that existed prior to 2000 nor the position it will inherit after eight years
of mayhem and destruction by a criminal elite.

The MDC is fully committed to righting the historical imbalance in land distribution.
An MDC government will bring the land crisis to closure through a democratic
and participatory process that achieves equitable, transparent, just, lawful and
economically efficient distribution and use of land, both for agricultural and other
purposes. This policy statement lays out how an MDC government will attain these
objectives.

The MDC will establish a Land Commission under an Act of Parliament that will
create an independent, autonomous and professional body to oversee the land-reform
process in a new Zimbabwe. This Commission will conduct a comprehensive physical
and legal audit of land occupation and ownership in Zimbabwe as its first task.
On the basis of the outcome of this audit, the Commission will determine the status
and future of all existing settlement, the status of those holding title, and a method
of regularizing the situation without further dislocating farm output or disturbing
those in productive occupation of farm land.


The Commission will review all land-tenure arrangements so as to secure the rights
of those in productive occupation of farm land and of those who hold title at present
and wish to resume farming. New farmers in productive occupation of land who
currently do not have security of tenure will be offered leasehold occupation with
the option to purchase the land.

The MDC will also establish a system of compensation for displaced farmers that
will address their rights, make restitution for their losses, and ensure justice for
those whose basic rights, including the right to safety and security and life, were
violated. Those farmers who have been displaced and who no longer wish to resume
production will be dealt with fairly and within the same framework as all other
landowners. It must be noted that this is an extremely serious issue for any new
government that takes over after the next elections. Potential total claims for losses
by displaced farmers are thought to exceed US$8 billion and will, by the time the
transition takes place, be backed by several local and international court cases.

The MDC further recognizes that the dual economy, created in part by the existence
of separate land-tenure arrangements for commercial and communally occupied land,
must be addressed. The Land Commission will be required to examine the situation
in the Communal Lands and, in consultation with all stakeholders, address the need
for greater security of tenure of individual peasant farmers and communities.
Once these preliminary exercises are complete, the Land Commission will draw up
land-settlement plans for all farming districts in consultation with local stakeholders,
and will thereafter supervise their implementation with State assistance. These plans
will take full account of the need to provide security for new settlers, the restoration
of agricultural production and productivity, and a rapid reduction in rural poverty
and insecurity in all districts.


RESOLVING THE LAND ISSUE

Land involves social, legal and economic relationships. That being the case, there
should never be any ambiguity about land as a legal expression. Any future democratic
constitution must thus recognize property rights (private and State) and must
recognize land and its ownership as a basic ground norm, which will be consistent
with international conventions such as Universal Declaration of Human Rights and
the African Charter on Human and People's Rights. These basic rights and norms
in respect to title rights in agriculture have been consistently and violently violated
over the past eight years.


If land is a constitutionally protected human right, then its acquisition and distribution
must also be a constitutional issue. This means that the distribution of land for the
public good must be totally de-politicized and must not be subject to the whims of an
executive driven by political concerns. The task of redistribution and acquisition must
be entrusted to the Land Commission, duly set up by an act of Parliament, whose
majority members must be experts of integrity with guaranteed security of tenure.

The Commitment of the MDC

While respecting the historical, constitutional and legal rights of commercial
farmers, the MDC will not return to the pre-2000 land-ownership patterns, neither
will it condone the inequitable and aberrant land distribution that has resulted from


ZANU(PF)'s ‘fast-track land reform' process.

The MDC has always supported redressing the historical imbalance in the distribution of land, but is unreservedly committed to bring Zimbabwe's land crisis to closure through an inclusive,
participatory and professional process that seeks to achieve the equitable, transparent,
just and efficient distribution of land.

The MDC will insist that a sustainable land-reform and settlement programme is
administered effectively under the rule of law, and that the programme alleviates
poverty without compromising national agricultural production
. The MDC's
land-reform programme will be based on need and ability, and will revitalize
the economy, empower farmers, including women, enable the social recovery of
farming communities, and facilitate sustained productivity and growth in agricultural
production.

Land Tenure

Land will be held under one law for all the existing forms of ownership – private,
State and communal. Such law will be fully expressed in the new constitution in
order to give investors confidence and security. The MDC will ensure that there is
comprehensive land legislation in place that allows both for the private ownership of
land secured through title deeds and for community ownership of land, which may
be expressed in various forms, including registered rights. Married women will be
allowed to hold title deeds in their own right.

The MDC believes that the communal system should not be expected to be a
permanent feature of land tenure in the long term. The new system of land tenure
will be progressively transformed so as to break the dual economy that exists in
Zimbabwe. In the first instance the MDC will maintain freehold tenure where it
exists, and offer resettlement and small-scale farmers long-term leases with options
to secure title through purchase. Resettlement schemes operating with communal
grazing will be given the option of being replanned and demarcated into individual,
self-contained family farms. In the communal areas, rights over land and resources
will pass from the State to village or ward assemblies. In villages, land may be
surveyed and households issued with land registration certificates for residential and
arable land. All such reforms will be planned and executed by the Land Commission
with the participation and consent of local farmers and leaders.
Principles of Land Reform

The MDC's land-reform programme is based on the following principles:
* The historical imbalance in the pattern of land distribution must be
addressed urgently in a fair, lawful and transparent manner in order to bring
Zimbabwe's land question to closure.

* The State has the authority to acquire land in the interest of the public good,
and to resolve Zimbabwe's land crisis by distributing land on the basis of
need and ability.

* Constitutionality and the rule of law are the basis on which a democratic
government will resolve the land crisis. Accordingly, citizens share the
fundamental right to the protection of their person and property and to be
selected for settlement regardless of their gender, race, ethnic origin, religion
or political opinions
.


* An inclusive consultative process that builds trust and confidence between
stakeholders and policy-makers is required to reach broad consensus on
the means to achieve the reform programme's policy objectives. Special
measures will be put in place to ensure the full participation of women in
this consultative process. All those affected by acquisition and settlement
decisions must be consulted and disputes settled in a court of law.

* The success of the programme is premised on sound land administration:
transparent and cost-effective land-acquisition, farmer-selection, landallocation
and compensation processes; the provision of basic infrastructure
and facilities; and adequate loans, training and services for settlers to farm
productively.

source; [media]http://www.mdc.co.zw/downloads/POLICIES%202008.pdf[/media]

Kwa kukumbusha tu ni kuwa ilani na kauli mbiu ya CCM inasema 'Maisha bora kwa kila Mtanzania'.
 
Last edited:
Ulisema tuna poteza muda ku discuss ya Mugabe. Au?

Wakati tunamsubiri Zitto afanye mambo huko bungeni jumatatu...Bado kumekuwa na floods za PROPAGANDA MACHINE!

Kwasababu nina UHAKIKA kuwa tumeshashinda...At least kwenye OPTION ya kumtumia KIKWETE KUVAMIA KWA KOFIA YA UENYEKITI WA AFRIKA...Ni muhimu kutoa darasa la HISTORIA ili KIZAZI KIJACHO KIJUE!
 
Hii taarifa ni kutoka katika moja ya invetigative journals.

View attachment 1730
Meli ya mizigo bandarini Durban.

Summary of documents showing an arms shipment from China to Harare

The file below contains 4 scanned documents in PDF form, presenting information on a recent chinese weapons shipment to Zimbabwe. The documents are dated between January 21st and 10th of March 2008.
Document 1 holds an arrival notification for the Ministry of Defence in Zimbabwe related to 77 tons of Arms shipped in 3080 cases from a shipper Poly Technologies (INC). Document 2 presents the commercial invoice from Poly Technologies related to that shipment, detailing a purchase of 3,004,755 rounds of different ammunition, from 7.62 shells to mortar bombs. Document 3 holds the Packing List for this shipment. Document 4, while being in very bad quality holds another confirmation of the shipment in form of the Bill Of Lading.

View attachment 1731

Ndio kama hivyo, ikiwa imeshushwa Angola itakuwa kwa mbinu gani?

Si walikuwa wanabisha?

Niliwaambia mmarekani anamilikiwa na mchina na mjapani!

AENDE HUKO AKAKUTANE NA ULE USEMI WA WEMBE MKALI...NGARAMBE ATAKALOKUTANA NALO HUKO!

NARUDIA TENA...MMAREKANI HATHUBUTU KUPIGANA NA MCINA KWANI HATA HAJUI VIZURI SILAHA ZAKE ZOTE!

ILA WANA INTELIJENSIA KUWA HIYO MUTU NI HATARI NA JESHI YAKE SASA NDIYO KUBWAREST!

NYIE MNAOPINGANA NA MIMI AMBAYE NAYAFUATILIA HAYA MAMBO HAPA US MNAKOSEA.

FIKIRIENI MARA MBILI.

MOJA WAPO YA HASIRA ZA WANANCHI WA HAPA NI UKWELI KUWA HATA WAO WAMESHAUZWA KWA MCHINA!

KAZI ZAO ZIMEHAMIA CHINA!

HAKUNA SIKU YA MUNGU WASIYOPEWA PESA NA MCHINA!

MCHINA MWENYEWE AKIKATAA KUMKOPA MMAREKANI BASI NA VITA YA IRAQ HAKUNA!

MUGABE AND SOME OF US SEE EYE TO EYE ON THIS WHEN IT COMES TO US AND CHINA.

UTAJIRI WA MAREKANI SI WA WATU BALI WA SERIKALI INAYOMILIKIWA NA MAKAMPUNI!

UCHINA WAO TOFAUTI!

ILA NA WAO MBINU YAO YA KUWAANGUSHA WAMAREKANI INAWEZA KUTIMIA KAMA WAMAREKANI WASIPOACHANA NA CORPORATE INTERESTS AMBAZO ZIMEPELEKEA DUNIA KUGAWANYIKA KWANI PESA NI MBELE KABLA YA UTU,UBINADAMU NA HATA UHURU!

HIVYO BASI....NARUDIA KAULI YANGU HII...KWAMBA KAMA TUKIKATAA KUMVAMIA MUGABE..THEN MMAREKANI MWENYEWE HATATHUBUTU KUPELEKA JESHI HUKO ZIMBABWE...NA NATO NAO WANASUASUA KWANI NI WAZI AFRIKA ITARUDI KWENYE VITA NYINGINE DHIDI YA MKOLONI!

HIVYO BASI WANATAKA KUTUTUMIA SISI WAAFRIKA!

WAKAJUA TUTAGOMA!

WAKAYATUMIA MAKAMPUNI HAYO HAYO YENYE KUHODHI SERIKALI ZAO KUWATEGA VIONGOZI WETU NA KUWAGEUZA MAFISADI ILI WAWATUMIE KWENYE MBINU HIYO YA AFRIKA HUSUSAN ZIMBABWE!

HVI KWELI KAMA MMAREKANI ANAPENDA HAKI YETU SISI WANYONGE...THEN BADALA YA KUHAKIKISHA KUWA KILIO CHETU KINASIKILIZWA NA RAISI WETU..KILIO CHA UFISADI KINACHOSHIRIKISHA MAKAMPUNI YA WAMAREKANI...THEN KWANINI WAMTUME ZIMBABWE NA WALA WASIMSHAURI KUUSHUGHULIKIA UFISADI ULIOZISHIRIKISHA NCHI HIZO MBILI?

JE WALIMTEGA?

TUNASUBIRI MAAMUZI YA KIUNGWANA ILI UWEZE KUINGIA KWENYE HISTORIA YA DUNIA YA WAZALENDO.

OPTION YAO YA MWISHO NI KUMPA TSIVANGARAI SILAHA!

NA WAKIFANYA HIVYO PIA TUPINGE!
 
Kama Mugabe ni mkombozi wa waafrika na kama anadai kuwa Tsa.. ni kibaraka, kwa nini asimwachie mtu mwingine kutoka kwenye chama chake ili agombee uraisi?

Ina maana Zimbabwe yote hakuna mtu mwingine but Mugabe pekee ndiye mwenye uwezo wa kupigana na "wakoloni"?

Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr ..... watu wasiojali masilahi ya wananchi wao ni mafisadi na Mugabe ni fisadi mkubwa.

Ukabila wa mwalimu..Umepelekea nchi yetu kuuzwa!

MREMA NI SHUJAA!

MWALIMU BADALA YA KUSAPOTI MAPINDUZI DHIDI YA UFISADI...ALIKUMBATIA UKABILA NA MASLAHI YA ccm!

Mna kumbuka alipomwambia Mrema...I can't let my county go to the dogs?

WHO IS THE DOG AND WHO IS A PUPPY?

ON TOP OF THAT...WHO IS A WOLF?

MREMA?

OR IS IT NYERERE MTUPU(MKAPA)?

Kuna wale waliojustify kauli hii ya ki DARWINISM kwa kusema hakumaanisha MBWA bali kuwa halitakii taifa matatizo!

Je matatizo hayo ndiyo hayo ya PINDA HAKI MIZWENGE YA SIRI YA JESHI NA UMWAGAJI DAMU?

Ni siri ya jeshi waliyoenda kuambiwa huko BUTIAMA KUWA KUNA WATU WASIPEWE NCHI NA HATA IKIBIDI JESHI LICHUKUE NCHI?

KUNA BAADHI YA MAKABILA AMA WATU FLANI FLANI TU NDIO WATAWALE?

HIYO ISSUE YA MKUU WA JESHI KUMTETEA MKAPA AMBAYE FAMILIA YA NYERERE IMEKATAA KUMTOA KUMVUA UANAFAMILIA WALIOMTUNUKIA WALIAMBIWA NINI NA MWALIMU KAMA SIRI YA JESHI?

WHAT WAS THE BUTIAMA DECLARATION?

WHAT WAS THE DOGS?
YANGU MACHO!
 
SWALI HILI NI KWA KILLANGO....KATI YA MREMA NA MKAPA WHO IS THE DOG?

Na kama mkikumbatia sera za ccm YA MAFISADI iliyokufa siku alipokufa mwalimu...THEN WHO IS REALLY TAKING OUR COUNTRY TO THE DOGS?
 
huyu Mzee Hana Dili. He Was A Hero To Me When He Was Inside. When He Agreed To Play Ball And Sell Out, Yaani Sijui Namwonaje Tu.
hivi Kwanini Hakuja Kwenye Mazishi Ya Nyerere? Kuna Mtu Kanikumbusha Hapa.

Mkapa Ni Nyerere Family!
Kwa Kifupi..mkapa Anaweza Kuandika Jina Lake Hivi...benjamin William Mkapa Nyerere!

Familia Ya Mwalimu Iliombwa Na Watanzania Kumuondoa Huko..wakakataa.

Issue Ni Kuhusika Kwa Mkuu Wa Majeshi Chini Ya Mkapa...musuguri!

Sasa Musuguri Ana Maslahi Na Meremeta!

Mkapa Kama Alikuwa Butiama...basi Musuguri Was Defenetly There...and If Not...then Uwepo Wa Mtupu Mwenyewe Uliwakilisha!

Kuuza Nchi Kwa Mkapa Aliyepigiwa Debe Na Mwalimu Labda Kulizua Tatizo Kwa Baadhi Ya Wazalendo Wa Afrika!

Trust Me Kuna Siri Nyingi Sana!

Mwalimu Hakuwa Kiongozi Mzuri Kabisa Tumeshagundua!

Hivyo Kumwandama Shujaa Wetu Wa Afrika Simply Because Of Mazishi Ya Mwalimu..then Mnamwonea!

Wamwondoe Mkapa Kwenye Familia Yake Ili Hishma Ya Mzee Wa Watu Irudi!

Hilo Dili La Ufisadi Lilianza Miaka Ya Kati Ya Tisini...south Afrika Imo Ndani....mandela Hakujua?
 
Britain and its allies are to blame for the problems in Zimbabwe. They want to impose Tsvangirai as the President of Zimbabwe, why? It is clear they want Mugabe out because they are aggrieved as a result of the land reform programme.

Had it not been for the sanctions imposed by Britain and its allies, no one will want to her about Tsvangirai in Zimbabwe. Britain is making a big mistake in their involvement because even if they prevail in doing so, the majority of Zimbabweans will not forgive them. They should shut up and concentrate on their own problems.

Even if they impose Tsvangirai as the President he will not last as he has no mandate to be the President of Zimbabwe. He is power hungry also.

..richard,hiyo avatar imetulia,wapi hapo,new mexico?

..sasa,huyo morgan si kwamba watu wanamtaka[hao uk]bali ndo pekee so far anayeonekana ataiweka zimbabwe kwenye transition. remember Laurent Desire Kabila?

..vyovyote vile ilivyo[ukweli wa nani,uongo wa nani]robert needs to step aside,awaache wazimbabwe wasonge mbele.
 
SWALI HILI NI KWA KILLANGO....KATI YA MREMA NA MKAPA WHO IS THE DOG?

Na kama mkikumbatia sera za ccm YA MAFISADI iliyokufa siku alipokufa mwalimu...THEN WHO IS REALLY TAKING OUR COUNTRY TO THE DOGS?

..inaonekana unaichukia ccm kama ambavyo wazungu wanavyomchukia mugabe!

..just thinking out loud!
 
Wasiwasi wangu hilo litakuja Bongo muda sio mrefu kama hali hii itaendelea, na JK atatengua mikataba yote mibovu.

Mafuchila utabiri wako huu....Kama Kikwete naye yumo hapa jamvini...Jambo ambalo kwa hakika yupo...Nitafungua thread ya kumpa ushauri wa kizalendo.
Thread ambayo mawazo hayo yatatumika kama ushauri huo wa wazalendo!
 
Jana waingereza wamemnyang'anya Mugabe honorary knighthood waliyompa! Hii nayo tutasema ndiyo sababu hali ya Zimbabwe iko hivyo? Waafrika wakati wa Iddi Amin, waliwashutumu mataifa ya magharibi kwa kum'demonize'. Mwaka 1975-76 wakampa uenyekiti wa OAU na mwaka unaofuata(1977-1979) Uganda ikaingia kwenye United Nationa Commission on Human Rights, bila shaka kwa msukumo wa mataifa ya kiafrika. Wakati wote huo Idi Amin alichukuliwa kama shujaa ati kwa vile aliwafukuza wahindi.

Leo, wote tunashuhudia, ndugu zetu wakiteswa na kuuawa kwa sababu tu ya kusupport upinzani. Leo hii tunaangalia nchi iliyokuwa ni bread basket na moja ya mataifa yaliyoendelea katika afrika, wananchi wake wakigeuka kuwa omba omba na wauza vitambaa vya kushona nchini mwetu. Bado tunakataa kumwita mchawi, mchawi, ati kwa vile aliwanyang'anya wazungu mashamba akawapa cronies wake! Mugabe ni abomination na heri Mwenyezi angemchukua mapema awanusuru wananchi wa Zimbabwe.

..fundi,

..siwezi kuongea zaidi.
 
Kuna wale wanaotaka kuishusha hadhi ya MADIBA HAPA JAMVINI ETI KIFO CHA NYERERE...MKAPA NI MADIBA ALIMPA NCHI?
KWANINI KINA MAKONGORO WAMEKATAA KUMWONDOA KWENYE FAMILIA YA NYERERE KAMA KWELI MWALIMU NA YEYE ALIKUWA SAFI?
AMA HIYO NAYO SIRI YA JESHI?
 
Mafuchila utabiri wako huu....Kama Kikwete naye yumo hapa jamvini...Jambo ambalo kwa hakika yupo...Nitafungua thread ya kumpa ushauri wa kizalendo.
Thread ambayo mawazo hayo yatatumika kama ushauri huo wa wazalendo!

..bora umtumie sms au umwandikie barua.
 
Kuna Anayejua Story Ya Zambia,copper,kilimo,nyerere Na Kaunda?
Nani Anapanga Bei Za Vyakula Na Madini?

Mfano mzuri wa mwalimu ninaoukumbuka huu hapa...Kaunda alitegwa na MATAIFA YA MAGHARIBI.

Mwalimu alimkanya...Akamwambia ni shurti ujikite kwenye kilimo kama alivyokuwa akisema mwalimu kuwa SIASA NI KILIMO..

Mkoloni alipanga kurudi AFRIKA KABLA HAJABWAGA MANYANGA.
KINA MUGABE KWISHA GUNDUA!

Waliipandisha bei ya madini hayo ya copper ya Zambia na kumpa Kaunda KIBRI.

Ila hawakumwani KAUNDA kwani na yeye bado alikuwa rafiki wa MWALIMU aliyejidai kusema SIASA ETU HAZIFUNGAMANI NA UPANDE WOWOTE NA HUKU NI WAZI ALIWAKUMBATIA CUBA,RUSSIA,CHINA NK.
Kaunda alisahahu kuwa bei za madini zinapangwa na MKOLONI HUYO HUYO.

Na ndiyo maana wakanunua copper za kutosha halafu wakaishusha bei kwenye world market na kuanzia hapo UCHUMI WA ZAMBIA MNAJUA!

KAHAWA ZETU HIVYO HIVYO..SASA VIONGOZI WETU WAMEAMUA KUWAUZIA NCHI JUMLA NA WANANCHI NDANI YAKE!

Mwalimu alikuwa na wazo zuri ila hakuplay smart kama MADIBA!
WAKAWA WANAMTUNGIA SHERIA TU!

NA YEYE AKAJIPINDUA KWA FELINGS BINAFSI NA KUSEMA MKAPA NI SAFI NA HUKU AKIWA NA SAPOTI YA WANAMTANDAO.

Mwalimu pia alishasahu hata vyakula hivyo wazungu wanapanga bei.

Hatukuweza kuzalisha hata cha kututosha wenyewe kwani fedha za kodi ni za USALAMA WA MAFISADI na SIRI ZA JESHI.

HIVYO BASI...TANZANIA AMKENI NA MCHAGUE VIONGOZI WA KWELI WAZALENDO BILA KUJALI DINI WALA KABILA!

KIONGOZI ATAKAYESEMA KUWA YEYE NI MTANZANIA KWANZA...HALAFU KABILA LAKE NA DINI!

WATANZANIA AMKENI!
 
lets think deeply as zimbabweans, you wake up in the morning, you ccant fuel you car, bcoz there is no fuel at the petrol stations, think deeply, you want to buy just a bar of soup, you need at least to carry a 5kg of zimbawe dollars to the shop! think deply about one third of zimbaweans youth migrated to south africa! think deelpy about the sufferings of our brothers and sisters in zimbabwe! bcoz of mugabe, the old man!believing that he is hero! bcoz he .saved zimbabwe from colonialist!

but under colonialist, wazimbabwe walikuwa wanapanga foleni kupata mafuta ? were they carrying 5kg of their currency to buy a bar of soup? walikimbia nchi yao kama sasa?

franlky! matatizo ya sasa ya zimbabwe ni ya kujitakia kwa kukumbatia jongwe wao mugabe
 
lets think deeply as zimbabweans, you wake up in the morning, you ccant fuel you car, bcoz there is no fuel at the petrol stations, think deeply, you want to buy just a bar of soup, you need at least to carry a 5kg of zimbawe dollars to the shop! think deply about one third of zimbaweans youth migrated to south africa! think deelpy about the sufferings of our brothers and sisters in zimbabwe! bcoz of mugabe, the old man!believing that he is hero! bcoz he .saved zimbabwe from colonialist!

but under colonialist, wazimbabwe walikuwa wanapanga foleni kupata mafuta ? were they carrying 5kg of their currency to buy a bar of soup? walikimbia nchi yao kama sasa?

franlky! matatizo ya sasa ya zimbabwe ni ya kujitakia kwa kukumbatia jongwe wao mugabe

Na sisi ya kwetu ni ya kukumbatia nini? Jongwe letu sisi nani?
Mkapa ama ccm?
Ama kweli nyani haoni...
MATATIZO YETU YA KUUZWA KWA NCHI AMA KWELI NI YA MWALIMU KUTUTAKIA!
 
I Was Talking About Zimbabwe, Ya Kwetu Yanajulikana, Na Kwa Kweli Yanafanana. Kukumbatia Vitenge Na Pilau Kwenye Uchaguzi, Mpaka Tunawapeleka Akina Chitaliko Bungeni
 
BUNGE LITASAHAU MASLAHI YA JESHI AMA ccm?
Maslahi ya THE PEOPLE VIPI?
YANI USHAIDI NI NJE NJE!
 
Back
Top Bottom