Masanja,
Mkuu hapa tena umezungusha.. huu mbuyu hatuwezi kuumaliza..
nachosema mimi ni kuhusiana na Wazungu jinsi wanavyotumia siasa za Uchumi..
Ni hawa wazungu waliotujenga imani kubwa ya kile kilichotokea Sudan for their interest in OIL..lakini tazama basi walipopewa contract Sudan imesahauliwa kabisa!... Congo mauaji kila siku haizungumziwi kwa sababu ahdi leo machimbo ya nchi hiyo wanaingia kama kwao na askari wa kukodishwa toka Ulaya wamewekwa.. Sisi waafrika hatulitazami hilo na hakuna mada humu ndani inazungumzia Congo, Sudan, Somalia wala Chad leo hii. WHY? kwa sababu mzungu hajasema kitu tena, huyu ndiye kiongozi wa hizi propaganda ambaye nyinyi mnashindwa kumtazama machoni..Kesho Mugabe alikubali deal na mzungu akarudisha ardhi nina hakika nyie nyie mtakuwa wa kwanza kumfagilia kutokana na maneno ya mzungu na pengine hata kusahau mabaya ya Mugabe kama mnavyosahau ya Sudan na Congo.
Umezunguzia Bashir na utawala wake ebu nionyeshe mada ama hoja hata moja uloweza kumzungumzia hata siku moja!..kwa nini hujafanya hivyo?... kwa sababu mzungu hajasema tena wala kuifanya issue. Leo unakuja hapa na kuonyesha kuwajali Wasudan kwa maneno yale yale yaliyosemwa na mzungu kama vile tunasoma biblia hapa.
Mkuu twende na hoja iliyopo hapa na useme ukweli wako kuwa mzungu anahusika ktk matatizo ya Zimbabwe, nje ya hapo unazuga tu... yaani aibu hata kusema mzungu anahusika na matatizo ya Zimbabwe mdomo umeshika ganzi jamani!
duh ama kweli safari ni ndefu..
Mkuu hapa tena umezungusha.. huu mbuyu hatuwezi kuumaliza..
nachosema mimi ni kuhusiana na Wazungu jinsi wanavyotumia siasa za Uchumi..
Ni hawa wazungu waliotujenga imani kubwa ya kile kilichotokea Sudan for their interest in OIL..lakini tazama basi walipopewa contract Sudan imesahauliwa kabisa!... Congo mauaji kila siku haizungumziwi kwa sababu ahdi leo machimbo ya nchi hiyo wanaingia kama kwao na askari wa kukodishwa toka Ulaya wamewekwa.. Sisi waafrika hatulitazami hilo na hakuna mada humu ndani inazungumzia Congo, Sudan, Somalia wala Chad leo hii. WHY? kwa sababu mzungu hajasema kitu tena, huyu ndiye kiongozi wa hizi propaganda ambaye nyinyi mnashindwa kumtazama machoni..Kesho Mugabe alikubali deal na mzungu akarudisha ardhi nina hakika nyie nyie mtakuwa wa kwanza kumfagilia kutokana na maneno ya mzungu na pengine hata kusahau mabaya ya Mugabe kama mnavyosahau ya Sudan na Congo.
Umezunguzia Bashir na utawala wake ebu nionyeshe mada ama hoja hata moja uloweza kumzungumzia hata siku moja!..kwa nini hujafanya hivyo?... kwa sababu mzungu hajasema tena wala kuifanya issue. Leo unakuja hapa na kuonyesha kuwajali Wasudan kwa maneno yale yale yaliyosemwa na mzungu kama vile tunasoma biblia hapa.
Mkuu twende na hoja iliyopo hapa na useme ukweli wako kuwa mzungu anahusika ktk matatizo ya Zimbabwe, nje ya hapo unazuga tu... yaani aibu hata kusema mzungu anahusika na matatizo ya Zimbabwe mdomo umeshika ganzi jamani!
duh ama kweli safari ni ndefu..