Duh! nimesoma vibaya au ? Rosemarie anamtafuta Uncle Rukus ? talk of opposite's attract. Kajaa tele kule Jukwaa la Wakubwa na kwakuwa hupiti kule ni vigumu kuonana.uncle rukus mbona sijakuona siku nyingi?
uncle rukus mbona sijakuona siku nyingi?
Duh! nimesoma vibaya au ? Rosemarie anamtafuta Uncle Rukus ? talk of opposite's attract. Kajaa tele kule Jukwaa la Wakubwa na kwakuwa hupiti kule ni vigumu kuonana.
Tumbo lote hilo ukose kuwa celeb bana lol!Nipo ndugu, nilipotea siku mbili hizi mtaani kwangu kulikuwa na msiba mkubwa sana......Eeh hivi kumbe Rukus nae ni celebu?
Nafuta kauli na kuomba radhi kwa usumbufu wowote uliotokea na chochote kilichoelekea kushusha hadhi ya Uncle Rukus hapa Jey Efu au kwa hawa ma-guest ambao kutwa kuchwa hushinda nasi hapa wakila chabo.Mny'kiti naomba muongozo; sheria zetu zina tamka wazi kuwa kuwa ni kosa kwa mshirika kutoa kauli ya kuudhi zidi ya mshirika mwenzake.kifungu # 21,B.hivyo basi Namtaka ndugu Uporoto ufute kauli yake......
Haya tunaweza kuendelea na mjadala......Aisee umecheck ile thread kule chumba cha mwisho bondeni?Yule mrembo ametutoka majuzi, hali ni mbaya sana mtaani kwangu maana hakuwa mchoyo kabisa iliwakarimu wazee kwa vijana kulingana na mahitaji yao...Tumbo lote hilo ukose kuwa celeb bana lol! Nafuta kauli na kuomba radhi kwa usumbufu wowote uliotokea na chochote kilichoelekea kushusha hadhi ya Uncle Rukus hapa Jey Efu au kwa hawa ma-guest ambao kutwa kuchwa hushinda nasi hapa wakila chabo.
Haya tunaweza kuendelea na mjadala......Aisee umecheck ile thread kule chumba cha mwisho bondeni?Yule mrembo ametutoka majuzi, hali ni mbaya sana mtaani kwangu maana hakuwa mchoyo kabisa iliwakarimu wazee kwa vijana kulingana na mahitaji yao...
Haya tunaweza kuendelea na mjadala......Aisee umecheck ile thread kule chumba cha mwisho bondeni?Yule mrembo ametutoka majuzi, hali ni mbaya sana mtaani kwangu maana hakuwa mchoyo kabisa iliwakarimu wazee kwa vijana kulingana na mahitaji yao...
Hii ilikuwa taarifa kwa ajili yangu ipotezee dear.uncle rukus naomba ufafanuzi kwenye hili
Haya tunaweza kuendelea na mjadala......Aisee umecheck ile thread kule chumba cha mwisho bondeni?Yule mrembo ametutoka majuzi, hali ni mbaya sana mtaani kwangu maana hakuwa mchoyo kabisa iliwakarimu wazee kwa vijana kulingana na mahitaji yao...
Cold Tusker huu ni msiba mkubwa si mchezo unaambiwa binti alikuwa mkarimu bila mfano.Ha ha haaaa Uncle Rukus... Msiba mkubwa?
yeh! Uncle Rukus jitokeze, tonakosa mambo yako ya IT.uncle rukus mbona sijakuona siku nyingi?
uncle rukus mara ya mwisho tulionana kwenye post moja ya mambo ye net,nilikumis sana mkuu,nilikuwa nafikiri labda na wewe umebadili id!
Nadhani Uporoto amekujibu, maana hata nikikufafanulia utashindwa kunielewa maana nasikia huna ufunguo wa icho chumba cha bondeni.uncle rukus naomba ufafanuzi kwenye hili
Hii ilikuwa taarifa kwa ajili yangu ipotezee dear.
Uncle vp?nakumbuka uliahidi kushusha mapics zaidi ya kilichokuwa kinatokea BBA zaidi ya ile Ernest na yule dada yetu lkn hukufanya hivo mkuu,, kulikoni?
Ha ha haaaa Uncle Rukus... Msiba mkubwa?
yeh! Uncle Rukus jitokeze, tonakosa mambo yako ya IT.