Wenye miaka zaidi ya 30, kitu gani unajutia kufanya/kutofanya kabla ya kufikisha miaka 30?

NACHOJUTIA MPAKA SASA KWANN NILICHELEWA KUOA ??? KUSOMA SANA PIA NI TATIZO LINGINE.... KUPATA HASARA KATIKA BIASHARA WALA HAKUKUNISTUA SANA KULIKO KUONA UMRI UNAKIMBIA KILA SIKU.MATOKEO YAKE MTOTO YUPO FORM SIX TAYARI UNA MIAKA 52
 
Kuoa alienizidi umri aisee natamani nimuache lakini sioni sababu ya msingi ya kumuacha
Nimekuwa interested hapa, natamani kusikia zaidi.

Na najua hata ukisema, utasema kile nilichokisikiaga humu nikabisha leo nayaona.
 
Sasa ulikuwa unasave ili iweje? The best way ya kuhandle pesa is through investing na sio kuweka tu zikae ndani. Umesoma vema kanuni ya time value for money?
 
Kutokuoa aisee maana nimetimiza 30 juzi tareh 26.4. Nina nyumba ila now ninaumwa basi nyumba nzima nipo peke yangu baba mzazi amefariki nina mama na babamdogo tu nao wanamajukumu yao basi dah nawaza ningekuwa na mke angenipa kampani kubwa sana.
Kwahiyo mzee unaumwa kila siku au una terminal illnesses?

Yaani unaoa ili ukimwa upate muuguzi sasa si ukakae hospital mzee?

Na yeye akiumwa je, atakuwa amevunja miiko ya ndoa au?
 
😔😔Nikiwa na Miaka 18, nilipata shavu Kwa kampuni moja, nilipata pes nyingi, ktk account nilikuw na kama M 3 hapo nina miez m 7 ktk kaz. Na ulikuwa ni mwaka 1 tangu nimehitimu Kidato cha 4

Sas sijui nizifanyie kitu gan, Nikamshirikish mzee, cha kwanz alinisihi ninunue kiwanja, Daaah..!! Mm akil ndogo niliamin sh M 3 haiwez maliz ujenz nikaon ananipotez 2,

Mungu anisamehe🙏, nilimjibu kwan ntakuw nalala kweny kiwanja !!?😔.
Mzee hakutak kuning'ang'aniza.

kulikuw kunanyumb aliijeng kwaajil y sis vijana, sas hakuimalizia(Finishing) m nikaon njia rahis nikamwomb chumba kimoja anipe akanipa nikafany finishing, Kwel palikuw pazuri saana

Mzaz n mzaz, kile chumba kilinikosanisha na ndugu zangu, maan kila kijan alitaka alale humo Kwa utaratibu wake bila masharti, ukweli tulipishana

pes zilizobaki ziliisha, Sikuw na plan maan umri mdogo sikujua kumanage pesa. Na akil/Elimu y mtaan sikuwa nayo

Sas nimekimbia home kuepuka kukosana nao, sijafikish Miaka 30, ila najitahid niweze kurekebisha hili kosa 🙏🙏
 
Back
Top Bottom